The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
- Thread starter
- #101
ila si wanatokea huko huko ?Tambala ni wamatengo kiasili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila si wanatokea huko huko ?Tambala ni wamatengo kiasili.
kinyungu ni wa wapi mkuu?Kinyungu
😂😂😂Wapare haomimi nilikutana na elirehema daah yule kenge alikuwa na akili darasani 😀🙌🏻
Nlikutana nae Moja tuSidueli Bado..
Ila Tryphone wapo Kuna Mshkaji wangu mmoja anaitwa Hivyo
Nimesoma Bachelor na jamaa anaitwa ProcesiusNendeni uhayani mkajionee majina ya kigiriki. Tena yale ancient greek name. Washenzi wanamisifa hao eti
Respilius, achilius, hadi Hercules 🤣🤣
Iringakinyungu ni wa wapi mkuu?
Aisee kama ni wakinga shkamooni🙌🏻 Kuna sehemu inaitwa mwanagati dsm daaah zile nyumba zilizojengwa kama hawafi vile ni wakinga tu hukoIringa
Mkuu hii sio Green city moja ?😀Mwakingafungafu Alipipi Mwasakafyuka Tusumile.
Ni jina moja au na baba na babu hapo?UTA UTUKUU UMBA.
Green hiyo mzee🤣Mkuu hii sio Green city moja ?😀
Kweli mkuuMkuu hii kweli au unafurahisha😂🤣🤣
Germina wapo wengi sanaBageni
Geneviva
Germina
Kb you mean Kibaha? Huyu itakuwa Kibaha 2004-2006Gutman nilisoma nae olevel pale KB sijawahi kisikia hili jina tena