Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hapana, Mkurya nafikiri.Huyu muhaya
Muandishi wa Willy Gamba, vitabu vya riwaya za jasusi la Kitanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, Mkurya nafikiri.Huyu muhaya
Mama ake muhaya itakuwa, hizo ari nini nini wengi uhayaniNi mjita huyo kwa huo ubini wa Musiba
Huyo Tryphone ulisoma nae wapi?Tryphon
Sidueli
Shuleni🤔🤔 unataka kujua mkoa au levelHuyo Tryphone ulisoma nae wapi?
Tryphon na Tryphonia ni twins hawa, nilisoma nao primary.Tryphon
Sidueli
Nimesoma na hilo jina O-level.. wewe ulisoma wapi? Hata Mkoa tuShuleni🤔🤔 unataka kujua mkoa au level
Kweli watu Wana majina ya ajabu ukitaka kufahami Hilo Kuna sehemu nikienda kutoa ela wakala anaitwa sijui nani NJIWA yaan jina la babaaake ndo NJIWAMkuu hii kweli au unafurahisha[emoji23][emoji1787][emoji1787]