Hehwhw 2004 nilishakuwa mkubwa. Karibia Yan nasubiria majibu kwenda shule za juΓΉHahahaaa. Umefanya nimecheka aizee.
Jirani Mzee mwenzangu huyo. [emoji85][emoji85][emoji85]
Sisi age go atiii. Si nyie mmeanza la kwanza 2004 hukooo.
Hahahaa. Hivyo na wewe jirani ni mzee mwenzangu. Teh teh. πHehwhw 2004 nilishakuwa mkubwa. Karibia Yan nasubiria majibu kwenda shule za juΓΉ
komesha korona
Hahahaa. Hivyo na wewe jirani ni mzee mwenzangu. Teh teh. [emoji85]
yap kama kawaida boy enzi izo 1997 ndo tunang'oa nanga skonga iyo
St. John bosco sio ya kibaha lakni..Ohhh i once finished st john bosco too 2009
Sindanii atakua alikufundisha kupika Mangararumo. Baada ya Ramadhani hebu upike basi halafu unialike nije nionjeπ€ͺπ€ͺπ€ͺAiseee!! Nilikuwa na rafiki yangu anaitwa Sindanii yaani alikuwa nikienda kwao najifunza kuna ile salamu Takwenya hakafu anaitikia Iikoo pia nilikula sana Mangararumo. π π
Hapana aisee mi nilikuwa nabeba fagio na kidumu tena kila mmoja alikuwa na eneo lake ambalo kila akifika shule lazima liwe safi.
2009 nilihamia Ndala msufini ipo ShinyangaAiseee. Kipindi hiki Ngarenaro walikuwa washazigawanya zikawa mbili eee?
Mana mie kipindi nasoma ilikuwa moja tu.
Oooh!! Nadhani hujanielewa Mkuu yaani nauliza hiyo 2004 hadi 2008 bado shule ya Ngarenaro ilikuwa ni moja au walikuwa wameshaigawanya na kuwa shule mbili?2009 nilihamia Ndala msufini ipo Shinyanga
Hahahaaa. Ses hana shidda kabisa jirani japo kama anatupiga kamba hivi.Naaaam. Asante kwa kunitambua namimi kama mzee mwandamizi.
Namuona mzee mwazagu sosten
komesha korona
Huo ni uchokozi ujue Shadeeya. Yaani unataka unitoe kwenye Ukayumba unipeleke ushuani mtoto wa mkulima na mkwezi mieπ€ͺπHahahaaa. Ses hana shidda kabisa jirani japo kama anatupiga kamba hivi.
Mana hafananii kabisa na ukayumba.π π π
Mbona hufananii sasa?Huo ni uchokozi ujue Shadeeya. Yaani unataka unitoe kwenye Ukayumba unipeleke ushuani mtoto wa mkulima na mkwezi mieπ€ͺπ
Mamii wa ushuani hawajui kucheza kombolela, hawajui kupinga "ganda ganduka", hawajui kucheza "hakiombeki", hawajui kucheza mpira wa makaratasi(chandimu), hawajui kuruka kamba, hawajui kupinga "msingi bong'oa" hawajui kidali poo kalale nacho, hawajui "kula mbakishie baba", hawaju mchezo wowote. Washazoewea kucheza tennis, golf, swimming na gameMbona hufananii sasa?
Mi ntakuwekaga tu huko ushuani. Potelea pwete. πββοΈπββοΈ
Hiyo Paragraph ya kwanza imefanya nimebakia nacheka mwenyewe tu hapa. π€£π€£π€£Mamii wa ushuani hawajui kucheza kombolela, hawajui kupinga "ganda ganduka", hawajui kucheza "hakiombeki", hawajui kucheza mpira wa makaratasi(chandimu), hawajui kuruka kamba, hawajui kupinga "msingi bong'oa" hawajui kidali poo kalale nacho, hawajui "kula mbakishie baba", hawaju mchezo wowote. Washazoewea kucheza tennis, golf, swimming na game
Kwanza nikuulize Shadeeya waeza kuta wewe wakishua kabisaa unatuchemsha tu hapa. Ushawahi kucheza ready(nage), dama(lile la kuchora chini na kuruka na mguu mmoja), umeshacheza mdako? Kama hukuwahi kucheza wewe ni wa kishua tuπππ
Kama umecheza hayo basi wewe kweli Kayumba mwenzanguπββοΈπββοΈπββοΈπππHiyo Paragraph ya kwanza imefanya nimebakia nacheka mwenyewe tu hapa. π€£π€£π€£
Hamna mie nimecheza sana hiyo sijui rede tena Arusha miaka hiyo kulikuwa na rede inaitwa mateka. Na hiyo Dama sisi tulikuwa tunaita esta esta.
Huo mdako ndo usiseme kabisaa. π π π
Hehehehee!! Bora ukimbie tu Ses.Kama umecheza hayo basi wewe kweli Kayumba mwenzanguπββοΈπββοΈπββοΈπππ