Taja kipaji chochote unachokiona kwa mwana JF mwenzako

Comrade Asante sana kwa 'Credits' zako hizi Kwangu na Kuniheshimisha kiasi hiki Kikubwa. Ubarikiwe zaidi.

Ukiona unatajwa na Kuonyeshwa Thamani yako hapa Jamiiforums kama hivi ni lazima uwe 'so proud' lakini pia Umshukuru mno Menyezi Mungu kwa Baraka zake.

Kwani kwa kuujua Upumbavu wa Mtu kama Execute hakumbariki na chochote sana sana alizidi tu Kumuongezea Utaahira ( Uwendawazimu ) wake wa Kutukuka.
 
Hapa lazima nikupongeze maana haujatukana. Yaani wewe ukiacha matusi utakuwa the best hapa jamiiforums.
Moja ya 'Character' ya Mtu Genius ( Brainiac ) ni lazima awe ama na Utukutu au Utundu fulani wa Kudumu ( Usiotatulika hata kwa Maombi ya Kanisani au Msikitini ) nashangaa 'authentic Moron' kama Wewe hapa Jamiiforums hili hujalijua japo unajifanya Umesoma.
 
Umerejea kwenye kipaji chako cha matusi.
 
Kwani kwa kuujua Upumbavu wa Mtu kama @Execute hakumbariki na chochote sana sana alizidi tu Kumuongezea Utaahira ( Uwendawazimu ) wake wa Kutukuka.
Hakika kipaji chako cha kutukana unakitendea haki vizuri sana.
 
Baada ya maelezo yako,ungewapa "wanamemba"(kiswahili ya Bukavu)nafasi ya kuwataja wanao "wainsipaya"!πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Hakika kipaji chako cha kutukana unakitendea haki vizuri sana.
Na kama hujui Kutukana Wewe siyo Kipanga ( Intelligent ) hivyo nakusihi ili nawe uwe kama Mimi Kiakili na Kiupeo anza Kutukana sawa?
 
Usinge mtaja taikon wa fasihi,nisingesoma Uzi wako.
 
Karibu unilambe Kasinde, maana kila mara nafanya fukuza utitiri wa sisimizi...

Watuuu weeeweeeeee.....!!!!!

Nimekaribishwa nilambe sukariiiiii.....!!!!

Asiye na mwana na aeleke jiweeeeee.....!!!!πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ€ͺ

Nakuja fastaaaa.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…