Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Like million moja kwako mkwepu jr@mkwepu jr bila like ya huyu jamaa katika Uzi wako wowote ule basi,nyuzi zako ni batili..ana kipaji cha kusambaza upendo kwa ku like..
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wewe umeelemewa na chuki dhidi ya wanawake na huelewi kwanini Yesu Kristo alikuja duniani umeng'ang'ania sheria.Tatizo lako Ukristo umekuelemea. Hivyo lazima unione misguided
Hapana kiongozi usiongee kitu Kwa kudhania.. Kiufupi kila ninaloandika humu huwa ni ukweli na uhalisia asilimia mia mojampwayungu village uyu jmaa anakipaj cha kutunga vtu ktaa tunawaita wasimuliaj anaweza akakusimulia mitaa yote ya burund wakat anaish katoro geita [emoji1787][emoji1787]
Ivi kumbe.. Asante Kwa uongo wakoUkitaka UONGO nenda kwa Mpwayungu village!!! Sidhani kama ana mpinzani humu.
Nguvu unazotumia hapa Jf katika upuuzi ungewekeza kwengine ungekuwa umeajiriwa au umejiajiri mwenyewe , lakini unapambana na kitu ambacho hauwezi kukizima maana jitihada zako sawa na mtu kutia tone la mchanga kwenye bahari huku akijipa matumaini kuwa anaichafua bahari.Kijana wangu kaa utulie. Mimi nawanyoosha nyie mliozoea kukariri kuruani.
🤣🤣🤣 Ila dhambi hiziMafundisho ya ROBERT HERIEL mengi ni misguided hivyo anacho kipaji cha upotofu, FaizaFoxy ni mfia dini aliyefundishwa na kukaririshwa ujinga huku GENTAMYCINE akiwa na kipaji cha matusi.
Njoo hapa ununio uone maisha mazuri na utampenda Yesu. Tatizo nyie mmejazana maeneo hatarishi huko tandale, buguruni na temeke nzima.Nguvu unazotumia hapa Jf katika upuuzi ungewekeza kwengine ungekuwa umeajiriwa au umejiajiri mwenyewe , lakini unapambana na kitu ambacho hauwezi kukizima maana jitihada zako sawa na mtu kutia tone la mchanga kwenye bahari huku akijipa matumaini kuwa anaichafua bahari.
Uislamu hauthiriki chochote kwa thread zako na comments uchwara pambana ujijengee misingi imara katika maisha
View attachment 2399453
Kama na wewe unaishia Tanzania basi upo katika mazingira .Ushauri wangu kwako tumia mitandao vizuri kwa faida .Njoo hapa ununio uone maisha mazuri na utampenda Yesu. Tatizo nyie mmejazana maeneo hatarishi huko tandale, buguruni na temeke nzima.
Wewe umeelemewa na chuki dhidi ya wanawake na huelewi kwanini Yesu Kristo alikuja duniani umeng'ang'ania sheria.
Wenzenu kule Dubai na Qatar waliacha kukariri hicho kitabu cha mchongo wakapeleka vijana wasome Marekani na Uingereza na sasa hivi wanavuna matunda ya uwekezaji wao.Kama na wewe unaishia Tanzania basi upo katika mazingira .Ushauri wangu kwako tumia mitandao vizuri kwa faida .
Huyo Execute nahisi atakuwa mchungaji chipukizi maana amekuwa mfia dini sana kiasi ambacho anapoteza hata akili ya kawaida tu.
Hayo yanakusaidia vipi wewe kupata ajira/kujiajiri na kuendesha maisha yako?Wenzenu kule Dubai na Qatar waliacha kukariri hicho kitabu cha mchongo wakapeleka vijana wasome Marekani na Uingereza na sasa hivi wanavuna matunda ya uwekezaji wao.
Saudi Arabia kwenyewe mnakojazana anayeilinda nchi ni Marekani na hata ma prince wao wanasoma Marekani maana kitabu cha mchongo hakina dira.
Mimi sitafuti ajira. Nitaenda qatar kuangalia world cup na nitakutumia picha.Hayo yanakusaidia vipi wewe kupata ajira/kujiajiri na kuendesha maisha yako?
Really? Thank you for the compliment . You must be even smarter to spot that talent in me (joke).
Hello, Watu8!
Oh sawa. Mambo?Heyyy Paula...
Mimi kikristo sikiwezi mama...
Hahaha nimekusikia mkuuNashukuru kwa jicho lako.
Karibu kwa mwali apate mafunzo shatashata shurti baada ya hekaheka za maisha ukaliwazwa na wako mwanadani hata usingizi ukaja ukiwa unatabasamu.
Dunia ni yetu, Mapendo ni yetu, Mahaba ni kwa wateule....[emoji2957][emoji2957].
You do complement each other. Ba hizo akili zenu si mtatoa breed kaliLol, But why ?
Utakapokuja kuanzisha uzi usaidiwe buku tatu ya kula watu watafukua hili kaburi.Mimi sitafuti ajira. Nitaenda qatar kuangalia world cup na nitakutumia picha.