Taja kipaji chochote unachokiona kwa mwana JF mwenzako

Taja kipaji chochote unachokiona kwa mwana JF mwenzako

Huyo Execute nahisi atakuwa mchungaji chipukizi maana amekuwa mfia dini sana kiasi ambacho anapoteza hata akili ya kawaida tu.
Kijana wangu kaa utulie. Mimi nawanyoosha nyie mliozoea kukariri kuruani.
 
Kijana wangu kaa utulie. Mimi nawanyoosha nyie mliozoea kukariri kuruani.
Nguvu unazotumia hapa Jf katika upuuzi ungewekeza kwengine ungekuwa umeajiriwa au umejiajiri mwenyewe , lakini unapambana na kitu ambacho hauwezi kukizima maana jitihada zako sawa na mtu kutia tone la mchanga kwenye bahari huku akijipa matumaini kuwa anaichafua bahari.

Uislamu hauthiriki chochote kwa thread zako na comments uchwara pambana ujijengee misingi imara katika maisha
 
Nguvu unazotumia hapa Jf katika upuuzi ungewekeza kwengine ungekuwa umeajiriwa au umejiajiri mwenyewe , lakini unapambana na kitu ambacho hauwezi kukizima maana jitihada zako sawa na mtu kutia tone la mchanga kwenye bahari huku akijipa matumaini kuwa anaichafua bahari.

Uislamu hauthiriki chochote kwa thread zako na comments uchwara pambana ujijengee misingi imara katika maisha
View attachment 2399453
Njoo hapa ununio uone maisha mazuri na utampenda Yesu. Tatizo nyie mmejazana maeneo hatarishi huko tandale, buguruni na temeke nzima.
 
Njoo hapa ununio uone maisha mazuri na utampenda Yesu. Tatizo nyie mmejazana maeneo hatarishi huko tandale, buguruni na temeke nzima.
Kama na wewe unaishia Tanzania basi upo katika mazingira .Ushauri wangu kwako tumia mitandao vizuri kwa faida .
 
Kama na wewe unaishia Tanzania basi upo katika mazingira .Ushauri wangu kwako tumia mitandao vizuri kwa faida .
Wenzenu kule Dubai na Qatar waliacha kukariri hicho kitabu cha mchongo wakapeleka vijana wasome Marekani na Uingereza na sasa hivi wanavuna matunda ya uwekezaji wao.

Saudi Arabia kwenyewe mnakojazana anayeilinda nchi ni Marekani na hata ma prince wao wanasoma Marekani maana kitabu cha mchongo hakina dira.
 
Wenzenu kule Dubai na Qatar waliacha kukariri hicho kitabu cha mchongo wakapeleka vijana wasome Marekani na Uingereza na sasa hivi wanavuna matunda ya uwekezaji wao.

Saudi Arabia kwenyewe mnakojazana anayeilinda nchi ni Marekani na hata ma prince wao wanasoma Marekani maana kitabu cha mchongo hakina dira.
Hayo yanakusaidia vipi wewe kupata ajira/kujiajiri na kuendesha maisha yako?
 
Nashukuru kwa jicho lako.

Karibu kwa mwali apate mafunzo shatashata shurti baada ya hekaheka za maisha ukaliwazwa na wako mwanadani hata usingizi ukaja ukiwa unatabasamu.

Dunia ni yetu, Mapendo ni yetu, Mahaba ni kwa wateule....[emoji2957][emoji2957].
Hahaha nimekusikia mkuu
 
Back
Top Bottom