Taja kipaji chochote unachokiona kwa mwana JF mwenzako

Nashukuru kwa jicho lako.

Karibu kwa mwali apate mafunzo shatashata shurti baada ya hekaheka za maisha ukaliwazwa na wako mwanadani hata usingizi ukaja ukiwa unatabasamu.

Dunia ni yetu, Mapendo ni yetu, Mahaba ni kwa wateule....🤪🤪.
Kwahiyo siku hizi unajiamulia tu bila kuomba ruhusa ya babu wa Butiama?
 
Hujawahi Kunikubali hapa Jamiiforums hivyo ningeshangaa sana kama katika huu Uzi ungenipongeza.
Mimi sikukubali ila unapowatandika mautopolo unageuka kuwa mkombozi wangu wa mbinguni na duniani. Mitano tena kwa my fellow tablet
 
Ahahaha tatizo lako babu hutaweza mibinjuko hata nikikupea ?
Kajamaa wala hakana tabu hata ukipeana maana huondoki nayo
Nimekuelewa na tayari niko inbox nasubiria PM yako. Mambo ya mbinjuko tutayajua mbele ya safari
 

😂😂😂
Naamini hata mkeo angekuwa humu jamvini asingekutaja Kwa lolote.
Umeambiwa utaje watu wenye vipaji alafu Kwa akili yako ndogo ya nzi unataja wasio na vipaji. Nani alikuuliza?

Kwa nini usianzishe Uzi wa watu wasio na vipaji humu jamvini alafu ukawataja, lakini ulichokifanya hapa ni Akili ndogo ambayo kama ni mtihani umejibu OP.
 
Na mimi nifagilie kwa kimombo basi Paula. Mi nshachoka kufagiliwa kienyeji
In all seriousness though, you are extremely funny.
Being able to bring pleasure and happiness to those around you is a great skill to have. You can make people laugh and It's impossible not to like you.

Thank you, Asprin.
 
Mshana Jr mzee wa matambiko huyo.
 
@mkwepu jr bila like ya huyu jamaa katika Uzi wako wowote ule basi,nyuzi zako ni batili..ana kipaji cha kusambaza upendo kwa ku like..

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…