Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanaongea bila uzoefuMorogoro ya wapi sijui anaongelea huyo, eti sio kuzuri during rain season,wakati masaa mawili baada ya mvua kuisha kunakuwa kukavu hakuna tope kabisa,labda sokoni kutokana na wingi wa watu.yani hapa nanasi hadi 200 unapata,
Khantwe makubaliano tu, nitakutumia ticket ya Bombairder, VIP entrance ya Villa Ukapate Sato Choma hata mwenye Vikilo Vitano atakutosha pamoja na allowance kama za saloon, mavazi, Taxify, Accommodation na Meals kwa kipindi chote utakachokaa hapaNaomba nitaje ninaotamani kufika - Mwanza
Wakazi wakiwa Masikini wewe unauchukia mkoa?? Mbona hauichukii nchi yako masikini?? Halafu kwanini ufikie kwa ndugu au jamaa yako masikini? Maana hiyo Arusha ina Hotels kubwa tu, fikia huko halafu ulete ushuzi wako hapa.Arusha wakazi wengi ni masikin sana
Wakazi wakiwa Masikini wewe unauchukia mkoa?? Mbona hauichukii nchi yako masikini?? Halafu kwanini ufikie kwa ndugu au jamaa yako masikini? Maana hiyo Arusha ina Hotels kubwa tu, fikia huko halafu ulete ushuzi wako hapa.
Halafu wewe ni nani uwaone wenzako sio watu wa maan sababu wanaishi mkoa fulani? Kwahiyo Mwanza ulipo ndio kuna matajiri wote wenye maisha hata juu ya $10 kwa siku??
Khantwe makubaliano tu, nitakutumia ticket ya Bombairder, VIP entrance ya Villa Ukapate Sato Choma hata mwenye Vikilo Vitano atakutosha pamoja na allowance kama za saloon, mavazi, Taxify, Accommodation na Meals kwa kipindi chote utakachokaa hapa
Khantwe makubaliano tu, nitakutumia ticket ya Bombairder, VIP entrance ya Villa Ukapate Sato Choma hata mwenye Vikilo Vitano atakutosha pamoja na allowance kama za saloon, mavazi, Taxify, Accommodation na Meals kwa kipindi chote utakachokaa hapa
Mkuu huu ni wivu...yaani unanicrush kabla hata hajajibu 🙄🙄🙄🙄Humpend kabisa yaan umpandishe panga boy badala ya kumpandisha limdrimliner na unataka umpeleke vila badala ya kumpeleka malaika?
Kwahovyo hovyo sana yaanisijawah fika Dar na sina mpango nako.
Huijui Arusha vizuri wewe, kaa utulie huko kwenu Kakonko!!!Na selelereka nayo
Mimi sijawahi fika Kigoma na sina mpango wa kufika pia sijawahi fika Tabora na sina mpango wa kufika.
Najutia sana kufika Arusha maana ni mkoa choka mbaya kishenzi, nilitupa nauli zangu bure bora ningebaki Mwanza tu.
AhsanteKarbu kigoma
Achana na ticket na upuuzi mwingine we tuma tu nauli mzee babaKhantwe makubaliano tu, nitakutumia ticket ya Bombairder, VIP entrance ya Villa Ukapate Sato Choma hata mwenye Vikilo Vitano atakutosha pamoja na allowance kama za saloon, mavazi, Taxify, Accommodation na Meals kwa kipindi chote utakachokaa hapa
We fundi mkuusijawah fika Dar na sina mpango nako.
Kiukwel nilivofik kigoma nilihisi sio Tanzania mkuu yaan hakueleweki kiukwelMkoa umechoka kishenzi lakini wenyeji wala hawana habari