Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

Taja Taasisi ya Serikali ya Tanzania ambayo ilipaswa ifutwe mara 1 bila majadiliano ya Bunge

Sijaiona bot 😃
Sehemu zinazogusa mwananchi wa kawaida nyingi zimejaa ubadhilifu tu
 
Habari!

Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.

Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.

Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.

Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Bunge lenyewe lifutwe na mahakama ....maana .....ngoja ninyamaze😷🤕
 
Bosi wa Taasisi zote ni Rais.Hakuna mtu mwingine tofauti na Rais anaweza kujiita bosi wa Taasisi zote.
 
Habari!

Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.

Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.

Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.

Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Mahakama ya Mafisadi
 
Habari!

Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.

Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.

Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.

Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Bassta
Bodi ya Filamu
TCRA
COSOTA (COOTA)
NDC....
 
ATCL ipigwe chini ni LIABILITY kwa taifa! Tuwaachie Private sector kama tulivyofanya kwenye mawasiliano! Tuache ndege ya Raisi Tu na nyingine tuigaie TAIFA STAR nyingine ikae ikikorishwa kwa watu binafsi na safari zao
 
Back
Top Bottom