raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Sijaiona bot 😃
Sehemu zinazogusa mwananchi wa kawaida nyingi zimejaa ubadhilifu tu
Sehemu zinazogusa mwananchi wa kawaida nyingi zimejaa ubadhilifu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha.Pole mkuu, ila saivi umepata kitengo ,Mambo yamekua supa
Ha ha ha kwahiyo shetani yupo kazini, a.k maafande kulakula [emoji23]Toka lini polisi , wakalinda Mali za raia
Wauleze Wanao chukua lost report kwa ajili mali zao kama waliwai kuzipata bila rushwa.
Polisi tz ni KAZI ya shetani
Amina kubwaYesu atosha
Bunge lenyewe lifutwe na mahakama ....maana .....ngoja ninyamaze😷🤕Habari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Pepo la ushoga linamtafuna Mpwayungu Toka atangaze kutafuta bwana akili yake imekua mbovu mnoKichwa cha uzi umekielewa kweli au ndoo akili kisoda
Mahakama ya MafisadiHabari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Ile Mahakama ilianzishwa kichoko sana that's why haina impact katika nchiMahakama ya Mafisadi
Ndo niniTANZANIA ISILOP
BasstaHabari!
Serikali ya TANZANIA ina taasisi nyingi, ni zaidi ya 450 kama sitakosea.
Kila taasisi iliundwa kwa lengo na dhumini maalumu, ingawa baadhi ya taasisi zimefeli kwa % nyingi kutkana na uongozi mbovu wa taasisi husika au kukosa fedha za kuiendesha.
Kuna taasisi hazifai kabisa, zimeonyesha failure kwa kiwango kikubwa. Zilipaswa zifutwe haraka hata bila majadliano ya Bunge.
Binafsi BASATA ifutwe haraka.
Unataka uwafute wazee wa ya kubrushi😂Jeshi la naniliu,hasa Hawa wa barabarani