Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Huna majukumu Bado,
Ukipata utaacha,I used to be like that.
 
Mazoea yalizidi
 
Kuna muda nawazaaaa afu nikishtuka naanza kujiuliza nilikuwa nawaza nini,hii tabia siipendi hivi
 
Yaani mpaka kwenye pochi nabeba, au nanunua kabisa hata nusu kilo na inaisha ndani ya dk 20 tu. Najitahidi kujizuia nashindwa
Yaaani shida sio mchele..
Ishu ni kuwa kumbe unakula officials..
Mpaka inafikia kipindi unanunua aiseee very serious πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Alafu makavu oooh
 
Pengine ntapata msaada hapa.
Mimi tabia nisiyoipenda ni kutokua serious na kufunguka sana yaani nikienda mahali sichelewi kuzoeana na mtu kirahisi yaani hiyo inapelekea mda mwingine naona watu hawanieshim labda ama wananichukulia poa (cjui) lakini sipendi vile ambavyo nazoeana na watu kirahisi, sipendi vile ambavyo nachekacheka lakini nimeshashindwa kujicontroo nifanyeje jamani ili kubalance Mambo, nicheke panapostahili na pasipostahili Basi nibakie kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…