Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Ndioooooooo [emoji851]Unapuliza na puto kumbe khaaa
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndioooooooo [emoji851]Unapuliza na puto kumbe khaaa
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji119][emoji119][emoji119]
Kheeeeee [emoji2296]kumbe bado katoto ndio maana
Namsemea huyo huyo. Ubadilike na wewe mana sio kwa ule mtawanyiko.Sasa yule wa standa ya Dodoma unamsemaje?
Hivyooo eeh,Wewe ni pacha wa Ferguson [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤓🤓🤓🤓🤓 nashindwa sasaukiwa unaongea jaribu kuweka sura ya mbuzi na kukazia watu machoni
Sasa wewe unakuja kubadilika wakati ushasababisha mabalaa bora mwenzako napambana na moyo wangu, sikoromei watu kimbilio langu ni machozi[emoji23]Kuna tofauti kubwa ya ukali na kiburi au kinyongo, mimi nikikukoromea na a hasira zikiisha tunacheka, wewe sasa ndio tatizo unapaswa uombe sana ubadilike[emoji23]
Sasa shida inaanzia hapo 🤓🤓🤓🤓Ndioooooooo [emoji851]
Self-imageKama bandiko linavyojieleza sisi km binadamu tunatabia binafsi au mazoea fulani ambayo sisi wenyewe hatupendezewi nayo sasa huu uzi ni wa kila mtu kutaja tabia au mazoea yk ambayo unatamani uachane nayo ila imekuwa ngumu sana.
Tafadhali kuwa muwazi huwezi jua ukasaidiwa kupitia hapahapa jamii forum
Nianze na mm mimi, 'ninatabia fulani ya kukaa upweke yaani muda mwingi natamani kuwa peke yangu peke yangu mahusiano yangu mengi yanafeli sababu ya hii tabia yangu sijui itaachana nayo vipi'...?
Kujamba sio tatizo buddaa
[emoji2][emoji2][emoji2]
Kivipi tena, hebu nifahamisheSasa shida inaanzia hapo [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Kutafuna sio shida..Kivipi tena, hebu nifahamishe
🤣🤣🤣🤣 Sisi team stress free,But why🤣🤣🤣? Yani Baba K anaweza kunikwaza akitarajia ntanuna nipasuke, halafu unakuta mi niko cool, akiniuliza umenisamehe, namjibu nimekusamehe....huwa haamini ananiambia huwezi kunisamehe kirahisi hivyo🤣🤣🤣🤣 kununa ndo kitu sijuagi🤣🤣🤐
Kama nakufahamu sana tu au kama [emoji723] yako ni jina lako halisi basi una pacha wako sehemu huku ila yeye ni mluguruHapana. Mahusiano hayajawahi kunisumbua mpaka dakika Hii. Kwa Hilo nashukuru Mungu.
1. Nina utani na masikhara Hii inanifanya niwe Mcheshi.
2. Nina Stori za Uongo na kweli na Drama za hapa na pale. Yaani sipo serous.
Nikichukia ujue nipo kwenye igizo. Siwezi Kutoka. Ila Kwa sasa ndio najifunza ili nione nikifoka ninaonekanaje Kwa Watu. Na watu wananichukuliaje.
3. Mahusiano hayanisumbui Kwa sababu nachagua Watu wanaofanana Akili na tabia kama Mimi.
Sio tatizo kunikuta Mimi na Mchumba wangu tunarekodi video au kuleta drama za hapa na pale. Ishu ya wananchi wataonaje hiyo haipo juu yetu.
4. Uchokozi ni moja ya tabia yangu. Inayonisaidia kujua Akili na tabia ya MTU.
Kuchokozwa kwangu sio kesi Kwa sababu ninahimili na hasira zangu ziko mbali Sana.
Unavyonijua nikikoroma huwa kuna mtu anasimama mbele yangu!!!Sasa wewe unakuja kubadilika wakati ushasababisha mabalaa bora mwenzako napambana na moyo wangu, sikoromei watu kimbilio langu ni machozi[emoji23]
Hahaha halafu nikijawa na hasira nahisi nguvu ya ajabu ndani yangu.Namsemea huyo huyo. Ubadilike na wewe mana sio kwa ule mtawanyiko.
Kabisa😒mmh unaniogopesha
ndo ile unasema unataka kupasua mtu😆
Duuh tuko wengi kumbeBora wewe😂
Mimi navunja vitu aisee, naweza Hata kukurushia kitu ukaumia baadae ndio nitajutia😒
Yaani nakuwa mtu tofauti kabisa. Sio mwepesi kukasirika ila nikikasirika huwa mbogoDuuh tuko wengi kumbe
Ww ni wa kike au kiume?🤓🤓🤓🤓🤓 nashindwa sasa