Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ahahaahahah inamana....Hapana asee nisije kuonekana ni shida
Doooh aiseeeee ni uswazi pure wewe.
Sio 🤓🤓🤓🤓🤓
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaahahah inamana....Hapana asee nisije kuonekana ni shida
dah tabia ya utapeli hyoTabia yangu nikumuahidi mtu jambo nisiloweza kulitimiza,tena naweza kumuahidi kwakusisitizi hii tabia imekuwa sugu mno saana kwangu
Huwa najipanga kuiacha lakini najipata nashindwa kabisa
kitu ambacho najuwa kabisa siwezi ila naweza nikakuahidi
watu wangu wa karibu wananilakamikia saana kuhusu hii tabia ila kwangu imekuwa ngumu kuiepuka
Inategemea.. Nipo kati kwa kati 😁Ahahaahahah inamana....
Doooh aiseeeee ni uswazi pure wewe.
Sio 🤓🤓🤓🤓🤓
Mention hapa...Inategemea.. Nipo kati kwa kati 😁
Wanajuaje wakati maisha yangu ni secreti mi nikiwa ndani ujui na nikitoka ujui naweza kukaa ndani hata week nzima nisitoke nje. Kinachonitoa ndani ni simu za kazi sometime saa nane au tisa usiku unapigiwa simu uliamshe muda huo huo uende dodoma au moro yani kukikucha ukute tayari ushafika kitengoSawa sawa sasa hao hao wanaweza wanaweza kukuungia
Serious peopleTabia yangu sipendi dharau hasa kwa mtu niliyemzid umri?pili bahili,sipendi kucheka hovyo napenda kuongoza,
Duuuh.... aiseeeee weeeeh ni hatarereeWanajuaje wakati maisha yangu ni secreti mi nikiwa ndani ujui na nikitoka ujui naweza kukaa ndani hata week nzima nisitoke nje. Kinachonitoa ndani ni simu za kazi sometime saa nane au tisa usiku unapigiwa simu uliamshe muda huo huo uende dodoma au moro yani kukikucha ukute tayari ushafika kitengo
Ila sio usalama mkuu usiogope😀Duuuh.... aiseeeee weeeeh ni hatareree
Umri wako tafadhaliKutafuna Big G, yaan napenda Big G balaaa tena nikiwa busy najisahau naitafuna kama kindege huku napuliza na puto [emoji2960].... kuanzia utotoni Mama alikua ananisema sana niache hadi sasa ukubwani Mume nae ana kazi ya kuniachisha ila wapiiiii, anachofanya ni kuweka mkono wake na kuniambia niiteme imeisha utamu, ila baada ya muda nishamenya nyingine [emoji849]
Mnasema hivo hivoIla sio usalama mkuu usiogope😀
Unapuliza na puto kumbe khaaaKutafuna Big G, yaan napenda Big G balaaa tena nikiwa busy najisahau naitafuna kama kindege huku napuliza na puto [emoji2960].... kuanzia utotoni Mama alikua ananisema sana niache hadi sasa ukubwani Mume nae ana kazi ya kuniachisha ila wapiiiii, anachofanya ni kuweka mkono wake na kuniambia niiteme imeisha utamu, ila baada ya muda nishamenya nyingine [emoji849]
Umri wa kua Shangazi yakoUmri wako tafadhali
Mkuu acha tu inabidi ukung'ute gia usiku mnene kwa mwendo wa hatari mnapishana na maroli uwahi muda uliopangiwa kufika kitengo ukafanye jukumu lako aisee sio poaMnasema hivo hivo
🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
kumbe bado katoto ndio maanaUmri wa kua Shangazi yako
Wewe ni pacha wa Ferguson 🤣🤣🤣Kutafuna Big G, yaan napenda Big G balaaa tena nikiwa busy najisahau naitafuna kama kindege huku napuliza na puto [emoji2960].... kuanzia utotoni Mama alikua ananisema sana niache hadi sasa ukubwani Mume nae ana kazi ya kuniachisha ila wapiiiii, anachofanya ni kuweka mkono wake na kuniambia niiteme imeisha utamu, ila baada ya muda nishamenya nyingine [emoji849]
ukiwa unaongea jaribu kuweka sura ya mbuzi na kukazia watu machoniNifuate na mm mimi, 'ninatabia fulani ya kutokuwa serious yaani muda mwingi natamani kuwa serious lakini ni ngumu. Hata iwe kwa jambo la serious kiasi gani.
Imefikia kipindi hata napotoa wazo huwa wanaona funny ila mpaka wakae kwa mda wafikilie tena.
Hii sasa imekua changamoto mpaka kwenye mahusiano maana mtu anashindwa kujua nipo serious na mahusiano au nafanya utani.
sijui itaachana nayo vipi'...?
Nimejaribu ila nashindwa narudi pale pale.
Mbele za watu hata niseme niwe serious kiasi gani, basi kila nacho kiongea kinapokelewa tofauti
Watacheka tuu.
haijawahi tokea nikaongea mbele za watu dakika chini ya dakika 3 wasicheke.
Na sio kwamba nayoongea yanachekesha hapana.. au nina muonekano wa kuchekesha hapana.. au lafudhi hapana.
Zamani nilikua napenda ila.kwa sas naichukia hii hali maana kuna sehemu naona tafeli 🤓🤓🙌
Hata mtaani hapo.. kuonekana ni Mara ngapi kwa week.. maana sio kwa root hizo mkuu🤓🤓🤓🙌🙌🙌Mkuu acha tu inabidi ukung'ute gia usiku mnene kwa mwendo wa hatari mnapishana na maroli uwahi muda uliopangiwa kufika kitengo ukafanye jukumu lako aisee sio poa