Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Tabia yangu nikumuahidi mtu jambo nisiloweza kulitimiza,tena naweza kumuahidi kwakusisitizi hii tabia imekuwa sugu mno saana kwangu

Huwa najipanga kuiacha lakini najipata nashindwa kabisa
kitu ambacho najuwa kabisa siwezi ila naweza nikakuahidi
watu wangu wa karibu wananilakamikia saana kuhusu hii tabia ila kwangu imekuwa ngumu kuiepuka
dah tabia ya utapeli hyo
 
Sawa sawa sasa hao hao wanaweza wanaweza kukuungia
Wanajuaje wakati maisha yangu ni secreti mi nikiwa ndani ujui na nikitoka ujui naweza kukaa ndani hata week nzima nisitoke nje. Kinachonitoa ndani ni simu za kazi sometime saa nane au tisa usiku unapigiwa simu uliamshe muda huo huo uende dodoma au moro yani kukikucha ukute tayari ushafika kitengo
 
Wanajuaje wakati maisha yangu ni secreti mi nikiwa ndani ujui na nikitoka ujui naweza kukaa ndani hata week nzima nisitoke nje. Kinachonitoa ndani ni simu za kazi sometime saa nane au tisa usiku unapigiwa simu uliamshe muda huo huo uende dodoma au moro yani kukikucha ukute tayari ushafika kitengo
Duuuh.... aiseeeee weeeeh ni hatareree
 
Kutafuna Big G, yaan napenda Big G balaaa tena nikiwa busy najisahau naitafuna kama kindege huku napuliza na puto [emoji2960].... kuanzia utotoni Mama alikua ananisema sana niache hadi sasa ukubwani Mume nae ana kazi ya kuniachisha ila wapiiiii, anachofanya ni kuweka mkono wake na kuniambia niiteme imeisha utamu, ila baada ya muda nishamenya nyingine [emoji849]
 
Kutafuna Big G, yaan napenda Big G balaaa tena nikiwa busy najisahau naitafuna kama kindege huku napuliza na puto [emoji2960].... kuanzia utotoni Mama alikua ananisema sana niache hadi sasa ukubwani Mume nae ana kazi ya kuniachisha ila wapiiiii, anachofanya ni kuweka mkono wake na kuniambia niiteme imeisha utamu, ila baada ya muda nishamenya nyingine [emoji849]
Umri wako tafadhali
 
Kutafuna Big G, yaan napenda Big G balaaa tena nikiwa busy najisahau naitafuna kama kindege huku napuliza na puto [emoji2960].... kuanzia utotoni Mama alikua ananisema sana niache hadi sasa ukubwani Mume nae ana kazi ya kuniachisha ila wapiiiii, anachofanya ni kuweka mkono wake na kuniambia niiteme imeisha utamu, ila baada ya muda nishamenya nyingine [emoji849]
Unapuliza na puto kumbe khaaa
🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌
 
Kutafuna Big G, yaan napenda Big G balaaa tena nikiwa busy najisahau naitafuna kama kindege huku napuliza na puto [emoji2960].... kuanzia utotoni Mama alikua ananisema sana niache hadi sasa ukubwani Mume nae ana kazi ya kuniachisha ila wapiiiii, anachofanya ni kuweka mkono wake na kuniambia niiteme imeisha utamu, ila baada ya muda nishamenya nyingine [emoji849]
Wewe ni pacha wa Ferguson 🤣🤣🤣
 
Nifuate na mm mimi, 'ninatabia fulani ya kutokuwa serious yaani muda mwingi natamani kuwa serious lakini ni ngumu. Hata iwe kwa jambo la serious kiasi gani.

Imefikia kipindi hata napotoa wazo huwa wanaona funny ila mpaka wakae kwa mda wafikilie tena.

Hii sasa imekua changamoto mpaka kwenye mahusiano maana mtu anashindwa kujua nipo serious na mahusiano au nafanya utani.
sijui itaachana nayo vipi'...?
Nimejaribu ila nashindwa narudi pale pale.

Mbele za watu hata niseme niwe serious kiasi gani, basi kila nacho kiongea kinapokelewa tofauti
Watacheka tuu.

haijawahi tokea nikaongea mbele za watu dakika chini ya dakika 3 wasicheke.

Na sio kwamba nayoongea yanachekesha hapana.. au nina muonekano wa kuchekesha hapana.. au lafudhi hapana.

Zamani nilikua napenda ila.kwa sas naichukia hii hali maana kuna sehemu naona tafeli 🤓🤓🙌
ukiwa unaongea jaribu kuweka sura ya mbuzi na kukazia watu machoni
 
Mkuu acha tu inabidi ukung'ute gia usiku mnene kwa mwendo wa hatari mnapishana na maroli uwahi muda uliopangiwa kufika kitengo ukafanye jukumu lako aisee sio poa
Hata mtaani hapo.. kuonekana ni Mara ngapi kwa week.. maana sio kwa root hizo mkuu🤓🤓🤓🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom