Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Kuna tofauti kubwa ya ukali na kiburi au kinyongo, mimi nikikukoromea na a hasira zikiisha tunacheka, wewe sasa ndio tatizo unapaswa uombe sana ubadilike[emoji23]
Sasa wewe unakuja kubadilika wakati ushasababisha mabalaa bora mwenzako napambana na moyo wangu, sikoromei watu kimbilio langu ni machozi[emoji23]
 
Kama bandiko linavyojieleza sisi km binadamu tunatabia binafsi au mazoea fulani ambayo sisi wenyewe hatupendezewi nayo sasa huu uzi ni wa kila mtu kutaja tabia au mazoea yk ambayo unatamani uachane nayo ila imekuwa ngumu sana.

Tafadhali kuwa muwazi huwezi jua ukasaidiwa kupitia hapahapa jamii forum

Nianze na mm mimi, 'ninatabia fulani ya kukaa upweke yaani muda mwingi natamani kuwa peke yangu peke yangu mahusiano yangu mengi yanafeli sababu ya hii tabia yangu sijui itaachana nayo vipi'...?
Self-image
 
Mvumilivu sana ila nikifika kikomo nakuwa mbaya mno, nachukia vibaya na hasira zisizofutika kirahisi, mnaita kinyongo (najirekebisha lakini), ukali na mwenye maamuzi magumu imefikia hatua wanasema sifanani kbs na maamuzi yangu naonekana lege lege mwenye aibu ila ikifika muda wa kufanya maamuzi hata vidume vinakaa kando, hii nayo siipendi sana
 
But why🤣🤣🤣? Yani Baba K anaweza kunikwaza akitarajia ntanuna nipasuke, halafu unakuta mi niko cool, akiniuliza umenisamehe, namjibu nimekusamehe....huwa haamini ananiambia huwezi kunisamehe kirahisi hivyo🤣🤣🤣🤣 kununa ndo kitu sijuagi🤣🤣🤐
🤣🤣🤣🤣 Sisi team stress free,
Mpenzi wangu nikimwambia sikutaki tuachane, huwa haamini anajua niko kwenye utani.

Dada wa kazi kashanigeuza shogaake, likitokea jambo nyumbani atanipigia simu anaona km nitachelewa. Yani haniogopi kabisa eti, “Dada nna ubuyu umenikaba” 🤣🤣🤣🤣
 
Hapana. Mahusiano hayajawahi kunisumbua mpaka dakika Hii. Kwa Hilo nashukuru Mungu.

1. Nina utani na masikhara Hii inanifanya niwe Mcheshi.
2. Nina Stori za Uongo na kweli na Drama za hapa na pale. Yaani sipo serous.
Nikichukia ujue nipo kwenye igizo. Siwezi Kutoka. Ila Kwa sasa ndio najifunza ili nione nikifoka ninaonekanaje Kwa Watu. Na watu wananichukuliaje.

3. Mahusiano hayanisumbui Kwa sababu nachagua Watu wanaofanana Akili na tabia kama Mimi.

Sio tatizo kunikuta Mimi na Mchumba wangu tunarekodi video au kuleta drama za hapa na pale. Ishu ya wananchi wataonaje hiyo haipo juu yetu.

4. Uchokozi ni moja ya tabia yangu. Inayonisaidia kujua Akili na tabia ya MTU.
Kuchokozwa kwangu sio kesi Kwa sababu ninahimili na hasira zangu ziko mbali Sana.
Kama nakufahamu sana tu au kama [emoji723] yako ni jina lako halisi basi una pacha wako sehemu huku ila yeye ni mluguru
 
Sasa wewe unakuja kubadilika wakati ushasababisha mabalaa bora mwenzako napambana na moyo wangu, sikoromei watu kimbilio langu ni machozi[emoji23]
Unavyonijua nikikoroma huwa kuna mtu anasimama mbele yangu!!!

Sema tu ukweli
 
Namsemea huyo huyo. Ubadilike na wewe mana sio kwa ule mtawanyiko.
Hahaha halafu nikijawa na hasira nahisi nguvu ya ajabu ndani yangu.

Nikimaliza kukoroma najichukia, huwezi amini wale wa Dom wamenipiga chapa hadi leo😂😂
 
Back
Top Bottom