Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Hasira, kwangu hili tatizo linanisumbua sana natamani kuwa mtulivu hata kwenye wakati mgumu ila nikishakuwa na hasira nakuwa mtu tofauti kabisa 😒
Hapo naona nikujikumbusha kwa haraka ndio tiba yake kama umejua unahasira ni rahisi pia kudhibiti ingawa ni process ya muda mrefu..
 
Sipendi hii tabia ya huku duniani kuwa charming…muda mwingi nakuwa happier.. ikitokea siku nakuwa busy + kimya na mambo yangu wanaonizunguka wanaanza kuuliza ninawaza nn? Nani kanikwaza… wanajua napenda Fanta 🤣 basi wanaanza kusema waninunulie fanta.
 
Hasira, kwangu hili tatizo linanisumbua sana natamani kuwa mtulivu hata kwenye wakati mgumu ila nikishakuwa na hasira nakuwa mtu tofauti kabisa 😒
😂🤣 tatizo la wengi

Mimi mtu mpaka akimess up intentionally, napanick.. nikipanick nakuwa kimya.. simsemeshi. Hata akisemesha nakosa kabisa nguvu ya kuongea, nabaki namwangalia tu 🤣🤣

Hiyo hali inaweza dumu lisaaa lizima ama nusu saa.ikikata nasahau kabisa… tunaendeleza maisha
 
😂🤣 tatizo la wengi

Mimi mtu mpaka akimess up intentionally, napanick.. nikipanick nakuwa kimya.. simsemeshi. Hata akisemesha nakosa kabisa nguvu ya kuongea, nabaki namwangalia tu 🤣🤣

Hiyo hali inaweza dumu lisaaa lizima ama nusu saa.ikikata nasahau kabisa… tunaendeleza maisha
Bora wewe😂

Mimi navunja vitu aisee, naweza Hata kukurushia kitu ukaumia baadae ndio nitajutia😒
 
Nifuate na mm mimi, 'ninatabia fulani ya kutokuwa serious yaani muda mwingi natamani kuwa serious lakini ni ngumu. Hata iwe kwa jambo la serious kiasi gani.

Imefikia kipindi hata napotoa wazo huwa wanaona funny ila mpaka wakae kwa mda wafikilie tena.

Hii sasa imekua changamoto mpaka kwenye mahusiano maana mtu anashindwa kujua nipo serious na mahusiano au nafanya utani.
sijui itaachana nayo vipi'...?
Nimejaribu ila nashindwa narudi pale pale..
Mbele za watu hata niseme niwe serious kiasi gani, basi kila nacho kiongea kinapokelewa tofauti
Watacheka tuu..
haijawahi tokea nikaongea mbele za watu dakika chini ya dakika 3 wasicheke.
Na sio kwamba nayoongea yanachekesha hapana.. au nina muonekano wa kuchekesha hapana.. au lafudhi hapana...
Zamani nilikua napenda ila.kwa sas naichukia hii hali maana kuna sehemu naona tafeli 🤓🤓🙌

Hiyo ni Tabia YANGU.
Siwezi kuwa serious. Na utani wangu ndio u- serious wangu.
Muda wote nachukulia mambo simple, rahisi na majibu rahisi kwenye mambo magumu.

Naipenda Hali na tabia Hii Kwa sabymuda mwingi 90% ninafuraha.

Maisha nayachukulia kama mchezo Fulani hivi ambao hauhitaji u- serious.
 
Utani na masihara, mtu anaweza kunitongoza asijue km nimemkubali au nimemkataa. Nishatukanwa na men wengi baada ya kugundua simaanishi kile nilichowakubalia 🤣🤣🤣🤣
Niko hivo sipendi kununa, unaweza kukasirika me nikawa nacheka SITUNZI HASIRA
 
Hiyo ni Tabia YANGU.
Siwezi kuwa serious. Na utani wangu ndio u- serious wangu.
Muda wote nachukulia mambo simple, rahisi na majibu rahisi kwenye mambo magumu.

Naipenda Hali na tabia Hii Kwa sabymuda mwingi 90% ninafuraha.

Maisha nayachukulia kama mchezo Fulani hivi ambao hauhitaji u- serious.
Robert Heriel Mtibeli
Ujawahi pata shida ya kimahusiano kisa hii tabia yako .?
Wanaokuzunguka je huoni kuna fursa unaweza kosa kwa kukuchukulia wewe sio serious..?
Maana mimi hicho ndo kinafanya now nianze kuikataa hi hali
 
Utani na masihara, mtu anaweza kunitongoza asijue km nimemkubali au nimemkataa. Nishatukanwa na men wengi baada ya kugundua simaanishi kile nilichowakubalia 🤣🤣🤣🤣
Niko hivo sipendi kununa, unaweza kukasirika me nikawa nacheka SITUNZI HASIRA
Bado ujasema 😂😂😂😂😂😂
 
Hiyo ni Tabia YANGU.
Siwezi kuwa serious. Na utani wangu ndio u- serious wangu.
Muda wote nachukulia mambo simple, rahisi na majibu rahisi kwenye mambo magumu.

Naipenda Hali na tabia Hii Kwa sabymuda mwingi 90% ninafuraha.

Maisha nayachukulia kama mchezo Fulani hivi ambao hauhitaji u- serious.
Na wengi wetu wenye tabia za kutokua serious ni group O 🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣 Na nitasema tyuu!!
Sio shida zangu kabisaaa
Sasa hiyo tabia punguza...
Kuna watu tupo straight tutakuzabua serious..
Wee mtu anafanya serious wee unachukulia utani... ndo nini hii 🤓🤓🤓😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom