Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

Taja tabia yako/mazoea yako fulani hivi ambayo huyapendi na unasumbuka kuiacha/kuyaacha please don't be shy someone might give you a solution here

πŸ˜‚πŸ˜‚ Inawezekana pia husomi alama za nyakati kuna muda unakuwa smart kwanzia ongea mpaka vaa YAKO sasa labdah shida YAKO unaleta uswahili Mda wa ibada lazima watu wacheke badili mkuu

Hata mm nilikuwaga kama ww.....sema kuna mahali unafika watu sio wa utani kabisaa ndoo hayo maelezo yanaapply
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“ Yaan assume inatokea kipindi watu wana kuwa bored...
Sasa mimi nitaambiwa ni must niongee ili tuu watu wawe on mood ili process ziendeleee
 
Mimi kuwa serious sana halafu napenda kukaa peke yangu pia sina rafiki na sihitaji mambo yangu namaliza mwenyewe na kingine kinachonisumbua swala la kumtongoza mwanamke kwangu ni gumu coz naona kama naishusha value yangu yani ile kumfata she nakuanza blah blah mingi huwa naona naishusha hadhi yangu na kama nikijtahidi nikakutongoza ukachomoa ndio bac tena huwa sina muda wa kumbembeleza mtu
 
Mimi kuwa serious sana halafu napenda kukaa peke yangu pia sina rafiki na sihitaji mambo yangu namaliza mwenyewe na kingine kinachonisumbua swala la kumtongoza mwanamke kwangu ni gumu coz naona kama naishusha value yangu yani ile kumfata she nakuanza blah blah mingi huwa naona naishusha hadhi yangu na kama nikijtahidi nikakutongoza ukachomoa ndio bac tena huwa sina muda wa kumbembeleza mtu
Yaaani wee kiufupi ni don't care πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€πŸ€
 
Kupenda kucheka...Kila nikijitahidi kuacha nashindwa....Mambo serious lakini lazima kicheko kitahusika tu.....

Kulia....Oooooh!!! Hii ndiyo natafuta hata dawa ya kunisaidia niache/nipunguze......Sipendi....
 
Yaaani wee kiufupi ni don't care πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€πŸ€
Yeah..sijali hapa home washkaji huwa wanapenda kukaa nje kijiweni hapo kupiga stori ila mimi hapo kwa mwaka naweza kaa mara moja au mbili nikitoka job ni salam halafu ndani nahuwa sitaki mazoea sana na watu sina rafiki na hata ukitaka kuleta urafiki namimi ntakukataa tu kimtindo utajua tu mwamba ataki ushkaji
 
Kupenda kucheka...Kila nikijitahidi kuacha nashindwa....Mambo serious lakini lazima kicheko kitahusika tu.....

Kulia....Oooooh!!! Hii ndiyo natafuta hata dawa ya kunisaidia niache/nipunguze......Sipendi....
Wewe ni mtu wa 4 sasa kwenye hii jamii ya ambao kuwa seriously wameshindwa...πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Dawa yenu ipo jikoni.. mbona mtakua serious tuuπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ€
 
Yeah..sijali hapa home washkaji huwa wanapenda kukaa nje kijiweni hapo kupiga stori ila mimi hapo kwa mwaka naweza kaa mara moja au mbili nikitoka job ni salam halafu ndani nahuwa sitaki mazoea sana na watu sina rafiki na hata ukitaka kuleta urafiki namimi ntakukataa tu kimtindo utajua tu mwamba ataki ushkaji
Mara nyingi nyie watu wa usalama mnakuaga mpo hivo..πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Ndio ethic za kazi nini.. ?πŸ€“πŸ€
 
Sipendi hii tabia ya huku duniani kuwa charming…muda mwingi nakuwa happier.. ikitokea siku nakuwa busy + kimya na mambo yangu wanaonizunguka wanaanza kuuliza ninawaza nn? Nani kanikwaza… wanajua napenda Fanta 🀣 basi wanaanza kusema waninunulie fanta.
The same here jamani, Yani siku nikisema leo nitulie nijinyamazie....watu wanaanza kujistukia Kama wamenikwaza.
Muda wote nacheka, hata nikiwa na tatizo Yani nikimsimulia mtu anacheka🀣

I wish ningekuwa mkimya, mpole.
 
Mara nyingi nyie watu wa usalama mnakuaga mpo hivo..πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Ndio ethic za kazi nini.. ?πŸ€“πŸ€
Mkuu hii inakuaje coz mtaani wana wanadhani mi usalama na nishaiskia mara nyingi kuna sehem huwa napeleka nguo zangu kushonwa sasa hapo kuna wana huwa wanachoma sana nyasi, nikaja kuskia tetesi wale washkaj wakidai mi ni usalama na kila wanaponiona wanajawa na hofu na mbaya zaidi kuna mmoja aliokoto simu ya wizi bac mapai wakaja kuwadaka kama kuku washkaj mpaka leo wanajua mi ndio nilifanikisha ile mishen bac huwa nacheka sana
 
Na wengi wetu wenye tabia za kutokua serious ni group O 🀣🀣🀣
But why🀣🀣🀣? Yani Baba K anaweza kunikwaza akitarajia ntanuna nipasuke, halafu unakuta mi niko cool, akiniuliza umenisamehe, namjibu nimekusamehe....huwa haamini ananiambia huwezi kunisamehe kirahisi hivyo🀣🀣🀣🀣 kununa ndo kitu sijuagi🀣🀣🀐
 
Mkuu hii inakuaje coz mtaani wana wanadhani mi usalama na nishaiskia mara nyingi kuna sehem huwa napeleka nguo zangu kushonwa sasa hapo kuna wana huwa wanachoma sana nyasi, nikaja kuskia tetesi wale washkaj wakidai mi ni usalama na kila wanaponiona wanajawa na hofu na mbaya zaidi kuna mmoja aliokoto simu ya wizi bac mapai wakaja kuwadaka kama kuku washkaj mpaka leo wanajua mi ndio nilifanikisha ile mishen bac huwa nacheka sana
Ni wewe ...
πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ ukute upo kitengoni...
Na kama si hivo be social tuuπŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Natongoza wanawake bila mpangilio, natamani niache lakini najikuta nimerudia hali hiyo.
Bora wewe mkuu mimi kutongoza huwa siwez labda mwenyew uingie kwenye point zangu swala la kutongoza huwa naona kama naishusha value yangu
 
Mii nimestuka mapema mno.
Baada ya kusoma first comment yako..πŸ€“πŸ€“πŸ€
Walinifanya mpaka nikaacha kuvaa mavazi ya heshima kuchomekea kwa sana suruali ya kitambaa na shati za maana maana kelele zilikuwa nyingi saiz navaa model tishet na converse ile kiharakati kama vijana wa mjini saiz wamegeuza wanasema mi usalama naeishi kisela ili niendelee kupata habari za kitaa kiurahisi
 
Back
Top Bottom