Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Watu tusiokasirika haraka nimegundua ni hatari sana.Yaani nakuwa mtu tofauti kabisa. Sio mwepesi kukasirika ila nikikasirika huwa mbogo
Mimi unaweza kukaa nami hata mwaka na ukajisemea moyoni mtu ndio huyu sasa.
Ngoja ziniwake sasa, ooh Mungu wangu..
Pili nimegundua, kadri umri unavyoongezeka na hasira zinapoa.
Kwasasa mimi nahisi nabadilika sasa.