Tetesi: Tajiri Alietekwa Anajiandaa Kueleza Dunia Kila Kitu, waandishi Kuitwa Muda wowote sasa

Tetesi: Tajiri Alietekwa Anajiandaa Kueleza Dunia Kila Kitu, waandishi Kuitwa Muda wowote sasa

Yani bavicha wananishangaza sana. Jamani adui yenu ni ccm hawa viongozi ni muda tuu. Magufuli is gone but ccm is still kuwafirigisha. Kuweni na agenda inayoeleweka. Ccm wanawajaza upepo kidogo kwa gia ya kuwa na mpasuko mnajaa, mnasahau agenda ya katiba mpya.
Lazima upambane na wadhalimu Kwanza Mana hata ukiwa na agenda bado utatekwa tu nahutakuwa na pakuongelea Kama kipindi Cha jpm ambapo ukichukua hata form tu wakati wa kumrudisha inabidi utumie mbinu nyingi vinginevyo utatekwa na kunyanganywa form Kama alivyofanyiwa ruge catherine
 
Moooo... Moooo... Mooooo...Bashite umeusikia huo mwangwii?
Haha! Kaka itanishangaza kama nawe utahadaika na miongozo ya hearsay!.. ni halali kusikilizia ila sitegemei uwe kipofu wa ufahamu ya kwamba dunia tuliyomo tunaongozwa na hadaa!.
Bila shaka karia ya hadaa unaifahamu vizuri,hicho ndicho nachokiona na wahadaiwa wameshahadaika unaenda kuwa muda wa vyombo vya habari kuuza na kununua..😀
 
Hahaa kweli wewe nyumbu. Mmepigwa chenga ya mwili mmejaa kila kukicha kumsakama magufuli the dead ambae hana madhara tena kwenu. Kama ccm sio mfumo mbona kila kiongizi akija analinda maslahi ya ccm na sio taifa? Unaakili kwenye masabuli ama?
Ili kuthibitisha uovu wa serikali ya CCM lazima uonyeshe uovu wa viongozi wake hata kama wanaliwa na funza kaburini! Ndiyo sababu nakuona unafikiri kama umekatwa kichwa na shingo yako imebeba debe tupu!
 
Kwa hiyo akishaongea inatusaidiaje sisi common wananchi?
 
wana mchango mkubwa sana kwenye umasikini wa WaTanzania na hujuma dhidi ya Tanzania kwa kigezo cha utanzania waliojivika huku kwa siri wakiwa na dual citizenship...
Leo nimefumbuka macho, kweli JF ni kisima cha waelevu! Ningeyajulia wapi haya mimi? Yaani wanatuchora? Daaaah
 
Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Moooo!
 
Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Nitakuwa wa mwisho kuamini hili
 
Back
Top Bottom