Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Acha roho ya umasikini hiyo dsm bila watu wa kuja ingekua kama lindi..kama huna hela pisha wwnye hela wafanye yao...wazaramo dsm sio kwao tena bado pwani ina mapori mengi wakaishi huko.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wazaramo waliuza sanaaa unasikia upo kariakoo hapa kibosho,mawela
 
Mmmmmh....kuna jina hapo limenishtua[emoji848]
 
hans macha kama sio nyumba za wazaramo asingetajirika leo tunaambiwa hatuna akili leo amekuwa shareholder mkubwa crdb kwasababu ya wazaramo lkn tumepata matusi leo sis ni pimbi
Nyie ni pimbi na hamna akili..ndio mana mmeachia nyumba na ardhi kwenda kwa wenye akili.

Wakati watu wanawekeza kwenye elimu nyie mnawekeza kwenye viuno..kuweni wapole huu ndio ukweli mchungu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unashangaa huyo ana 10? Wapo wenye mpaka nyumba 60 hapo kkoo. Ndo maana nikisikiaga mnasema wakinga wameichukua kkoo nachekaga sana. Kitu nimejifunza kwenye haya maisha ni kuwa low key tu aisee ukiwa nacho
mchagga gani mwenye nyuma 60 k/kooo
 
mkuu lampard eletronics ni mtoto wa 90
bravo eletronics ni wa 80 mwishon mkuu hawa wapo kwenye vyama hivyo wanakopeshana mitaji na kuonyeshana viwanda huko china
 
alikuwepo jamaa anaitwa kuringe alipoingia magufuli alikimbia kwenda moshi ndio mwenye red stones club huyu p mushi wkt wa magufuli alikuwa kimya alipokufa anapandisha n=magorofa kama matatu kwa pamoja jiwe alikuwa yuko sahihi kuwachukia hawa jamaa
Matako yako. Umetawaliwa na chuki. Kuringe aheshimiwe sana
 
Safi umegonga msumari wa moyo
 
Wengi wanamadawa hao hizo Dili alikuwa nao Babu Sombeki wa Pale Moshi. Hata akikukopesha shilingi 1000 hutaweza rudisha hadi achukue Mali zako. Mungu atusaidie kwa kweli.
Kuna wakopeshaji wengine wachawi huwa wanaloga mkopaji ili asiweze kulipa wachukue mali zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…