kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Daaah jamaa kageuza story kabisa ili mtu au kabila lionekane baya.
Nipo hapa NEW VUNJO BAR AND RESTAURANT.Na wadau wakati nasoma hii story ndio wakasema yooote.
Wao walikopa pesa 1B kisha wakagawana ukoo mzima.wenye kuoa wenye kulewa wenye kununua magari na kila aina ya starehe walifanya.
Ss wakati wakurejesha umefika wanachafua taswila nzima ya mtu/kabila.
LIPENI DENI NA RIBA ZAKE.
Nipo hapa NEW VUNJO BAR AND RESTAURANT.Na wadau wakati nasoma hii story ndio wakasema yooote.
Wao walikopa pesa 1B kisha wakagawana ukoo mzima.wenye kuoa wenye kulewa wenye kununua magari na kila aina ya starehe walifanya.
Ss wakati wakurejesha umefika wanachafua taswila nzima ya mtu/kabila.
LIPENI DENI NA RIBA ZAKE.