Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Tajiri wa Kariakoo ajulikanaye kama Primi Mushi kununua na kutapeli nyumba za watu Kariakoo na maeneo mengine nchini yuko nyuma ya nani?

Siku ukikopa halafu ukaweka bondi nyumba, halafu ukapata pesa ya deni lakini kila ukitafuta mhusika umlipe deni lake humuoni ndio utajua maana ya huu uchoko wa dawa ya deni in kulipa wakati huo umeshapoteza nyumba.
Na siku ukipoteza nyumba kwa kukopa vichochoroni namna hii ndiyo utajua kuna sehemu rasmi za kukopa kama benki.
 
Acheni imani potofu. Siku zote saa yoyote fedha za kukopa zina uwezekano mkubwa wa kuisha kwa sababu mara nyingi wakopaji wanakuwa hawana malengo maalum au kama wana malengo, ni yakwenye daftari na siyo uhasilia.
Baki na ujinga wako sikulazimish.
 
Mjinga anajigeuza kuwa mjanja na mjanja anageuzwa kuwa mjinga. Haya twende kazi!
Najua kuliko wewe .. jiulize mbona mwakinyo walizuie begi lake uingereza yaani wanaamini ushirikina we kijana wa kweny vumbi huamini😂😂😂..kajifunze muulize mkubwa kwenu hili swali we hujui kitu.
 
Daaah mdau uyo jamaa ni buree kabisa.wanapenda Bata kinoma noma hapa kkoo tunawatizama tu.mambo yakiwa magumu wanareta ukabila mala mwizi mala mchawi.
Aseme ukweli tu. Pesa ya mkopo ni for bznes tu. Wao wanaenda mpk sauzi kula maisha.
Kuna dogo mmoja kutoka kigoma yupo kkoo hii anapambana kinouma kwa style ya TUMALIZANE anapata pesa na mtaji unakua after 3 Yrs akiwa tajili ss hatuta shangaa.
Kaenda kenya [emoji1139] kujifunza kwa gharama zake jinsi ya ku impliment uku TZ alikaa mwezi mzima. Na imekubali TUMALIZANE. Watu wa mombasa wanaijua hii.
TUMALIZANE = ? Mkuu unatuacha kwenye mataa
 
TAJIRI WA KARIAKOO AJULIKANAYE KAMA PRIMI MUSHI KUNUNUA NA KUTAPELI NYUMBA ZA WATU K/KOO NA MAENEO MENGINE NCHIN YUKO NYUMA YA NAN?

Wanabodi kama uzi ulivyokaa hapo juu huyu ni mfanyabiashara wa vitengee karikoo lkn speed yake ya kuwafua watu nyumba K/Koo inatisha yuko nyuma ya nani ?

Kwasasa anamiliki zaidi ghorofa 10 Karikoo na nyumba za chini za kumwaga hapa miezi miwili iliyopita Maulid Kitenge alirusha habar mzee mmoja wa K/Koo akilalamika kutapeliwa ghorofa yenye floor 7 mtaa wa Nyamwezi na Narungombe je ni haki mtu kuchukua ghorofa K/Koo kwa deni la billion 1 je, Mushi yuko juu ya sheria?

Je, nyumba alochukua Kipata na Congo ni haki embu jamani tuangalie sisi wanyonge twende wapi
Ni bora achukue maghorofa yote tu. Mmeachiwa urithi mnashindwa kutumia majengo kuzalisha pesa, mnakuja kulialia hapa JF?
Tena naona hiyo bilioni moja amewapa nyingi sana. Alipaswa kuwapa milioni 500 na December akija Moshi atatueleza inakuwaje anakopesha kiasi kikubwa cha pesa kwa faida ndogo.
Pia nyie mnapaswa kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi kwa kujipatia bilioni 1 bila kuilipia kodi hata senti moja.
 
aisee mwenye mawasiliano na hao jamaa wanakopesha kuna jamaa anataa kuwasiliana nao aone uwezekano wa kukopa
 
Back
Top Bottom