gorofa la hugo kisima liko barabara ya uhuru floor ya chini kuna equity bank mkuuHujielewi, Masawe anajenga nyumba ile kwa mkataba alioingia na huyo mama.Kwanza unaweza kujua nyumba ya kwanza Massawe Tumbo aliyoanzia umafia wake???.Halafu aliemuuzia Imma nyumba hana mamlaka ya kumtaka mnunuzi nini cha kufanya,angetaka hayo angemkubalia SSB kununua maana nae aliitaka ili aunganishe na ile nyumba yake ya Msimbazi aliyoinunua kwa Jairos Bidiyanguze pmj na ile nyumba ya pembeni ya mbokomu.Pia utambue kuwa Hugo hana nyumba mtaa wa Aggrey,bar yake hiyo unayoisema ipo mtaa wa mchikichi
hilo gorofa la mbokomu lenye hardware kabla aliweka mbokomu nyumba ya sheah mkubwa hapa nchin wewe unaona sawgorofa la hugo kisima liko barabara ya uhuru floor ya chini kuna equity bank mkuu
emma aliambiwa asiweke pombe kwa sababu ile ni nyumba ya sheah mkuu
huyo mbokumu naye alikuwa ni mwizi zaman mkuu akaiba sana chuma za wahindi mpka katajirika
tumejichangajaa lkn mkuu wa vitina sana kwa sababu ya vikao vyao vya jumapili mkuu huwezi kutoka
mnyeti akiwa mkuu wa mkoa wa manyara alipiga vyama vya ukabila marufuku na huku dar vipigwe bann na serekali
Mimi sijaalaaniwa mpaka nigeuze wizi na dhulma kuwa Kitega uchumi.
Halafu maisha yangu yananitosha , sihitaji kudhulumu MTU yeyote.
Huna akiliAkili na ujanja sio dhulma.
Hata Yakobo alimfanyia ujanja Esau Kaka yake akachukua haki ya uzaliwa wakwanza kisa njaa ya Kaka yake.
Ili uwe Tajiri itakupasa uweze kuwapiga katafunua Wajinga na wenye njaa bila uvumilivu.
Mataifa Makubwa yote yanafanya kama alivyofanyiwa mtoa mada
ATAKUWA NYUMA YA MAKONDATAJIRI WA KARIAKOO AJULIKANAYE KAMA PRIMI MUSHI KUNUNUA NA KUTAPELI NYUMBA ZA WATU K/KOO NA MAENEO MENGINE NCHIN YUKO NYUMA YA NAN?
Wanabodi kama uzi ulivyokaa hapo juu huyu ni mfanyabiashara wa vitengee karikoo lkn speed yake ya kuwafua watu nyumba K/Koo inatisha yuko nyuma ya nani ?
Kwasasa anamiliki zaidi ghorofa 10 Karikoo na nyumba za chini za kumwaga hapa miezi miwili iliyopita Maulid Kitenge alirusha habar mzee mmoja wa K/Koo akilalamika kutapeliwa ghorofa yenye floor 7 mtaa wa Nyamwezi na Narungombe je ni haki mtu kuchukua ghorofa K/Koo kwa deni la billion 1 je, Mushi yuko juu ya sheria?
Je, nyumba alochukua Kipata na Congo ni haki embu jamani tuangalie sisi wanyonge twende wapi
Hii dawa yakumkopesha mtu ili ukichukue alichoweka zamana ninayo.Wengi wanamadawa hao hizo Dili alikuwa nao Babu Sombeki wa Pale Moshi. Hata akikukopesha shilingi 1000 hutaweza rudisha hadi achukue Mali zako. Mungu atusaidie kwa kweli.
Ila ndio ukweli..haya maisha ukijifanya una roho ya huruma utabaki ukilia na tozo tu huku wenzako wakitamba na v8.Huna akili
Ebu tufafanulie vyema hii aina mpya ya utafutaji ya tumalizane ikoje??wengine hatujatoka mombasa.Daaah mdau uyo jamaa ni buree kabisa.wanapenda Bata kinoma noma hapa kkoo tunawatizama tu.mambo yakiwa magumu wanareta ukabila mala mwizi mala mchawi.
Aseme ukweli tu. Pesa ya mkopo ni for bznes tu. Wao wanaenda mpk sauzi kula maisha.
Kuna dogo mmoja kutoka kigoma yupo kkoo hii anapambana kinouma kwa style ya TUMALIZANE anapata pesa na mtaji unakua after 3 Yrs akiwa tajili ss hatuta shangaa.
Kaenda kenya [emoji1139] kujifunza kwa gharama zake jinsi ya ku impliment uku TZ alikaa mwezi mzima. Na imekubali TUMALIZANE. Watu wa mombasa wanaijua hii.
Itumie na wewe ili uache kuchunga ng'ombe.Hii dawa yakumkopesha mtu ili ukichukue alichoweka zamana ninayo.
Nitakutafuta soon nafungua ofisi ya kukopesha..usipo tajirika kwa wajinga huwezi tajirika kwa werevu.Hii dawa yakumkopesha mtu ili ukichukue alichoweka zamana ninayo.
Yuko wapi sasa huyo Magu wako, kiongozi unadeal na kabila we utakua huna ajili sawa sawa.magufuli mkuu alimweka lupango wkt wa jiwe alikuwa mpole kama nn
jiwe alikuwa huko sahihi alivyodeal nao
Mkuu unaanza kuwa commedianitumejichangajaa lkn mkuu wa vitina sana kwa sababu ya vikao vyao vya jumapili mkuu huwezi kutoka
mnyeti akiwa mkuu wa mkoa wa manyara alipiga vyama vya ukabila marufuku na huku dar vipigwe bann na serekali
Huna akili
Huwezi kuweka PESA juu ya chochote ukiwemo ubinadamu halafu ukawa na akili. Soon utainamishwa migombani ili upewe pesaHapa tunajadili Facts
Kati ya chifu mangungo na Carl Peter Nani Hana akili?
Mtu umesoma mpaka walau Kidato cha nne bado uwe mjinga uingie mikataba isiyoeleweka
Acheni imani potofu. Siku zote saa yoyote fedha za kukopa zina uwezekano mkubwa wa kuisha kwa sababu mara nyingi wakopaji wanakuwa hawana malengo maalum au kama wana malengo, ni yakwenye daftari na siyo uhasilia.Kuna nguvu za Giza haswa kwa watu wanaoweka pesa ndani yaani million 100 anaweka ndani ,unakopeshwa izo pesa hamna kitu utaenda fanyia na ukiingiza kweny mzunguko wa biashara unaimaliza kabisa mpaka inafika deadline huna hata mia utajibeba tu ...mikopo Ina laana ya ushetani ndani yake
Unatamba hapa hujalaaniwa ukipata ugonjwa serious unaohitaji hela unaishia kwenda kwa wachungaji na waganga kuombewa na kugangwa!!!Mimi sijaalaaniwa mpaka nigeuze wizi na dhulma kuwa Kitega uchumi.
Halafu maisha yangu yananitosha , sihitaji kudhulumu MTU yeyote.
Unakopa kwenda kumcheza mwali fedha utarudishaje?Kwa mlio tanzania ogopeni sana kukopa kwa wachaga na wakinga, hao watu hawafai hata kidogo. Pesa zao huwa ni za kichawi akikupa hata laki basi jua utashindwa tu kuirudisha na matokeo yake anachukua mali yenye thamani kubwa uliyoiweka rehani, kuna jamaa alikopa kwa mkinga milioni 2 kwa bondi ya hati ya gari aina ya noah yenye thamani ya milioni 14 miaka hiyo, ila cha ajabu jamaa aliitelekeza gari mpk ndugu zake walipoingilia kati kwenda kuikomboa , jamaa alipigwa kipapai aisahau kabisa gari yake