Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Dah!!,Hao ni Wanyakyusa Nini??.We jamaa ungekua ndo mzee wangu mbona ungekufa kama sio kuzirai kabisa,
Nakumbuka mwaka 2009 kipindi tupo shy town mzee alikuwa ni askari na familia yetu kiujumla ilikuwa na watu takribani 7 hvi mara akaja babu yetu na familia yake ya watu 6 kukaa home hapo hapo wazazi wa mke mdogo na mzee nao wakatia timu wakiwa na watoto wao wa2 haya kama haitosh kina binamu watoto wa shangazi nao hawa hapa wa 2 lets calculate 7+6+4+2=19 na mtu anaelisha familia ni mmoja tu broh ungekuwa wewe ungekufaga mazima na iliwachukua takribani miezi zaidi ya miwili mpaka kuja kuondoka.
Wapare wachoyo sana, hata akiwa na vingi yaani hadi akupe anaumia kama anakata rohoKUNA JAMAA MMOJA WA KIPARE NAMJUA
KWAKE MLANGONI KUNA TANGAZO KABISA
KUHUSU NDG,WAGENI WAKIJA
KATIKA MAKAUZU HUYO NI KAUZU
AISE[emoji23][emoji23]
ova
Ufala huu sifanyi, utakuta alikuwa anaumia moyoni kimya kimya tuWe jamaa ungekua ndo mzee wangu mbona ungekufa kama sio kuzirai kabisa,
Nakumbuka mwaka 2009 kipindi tupo shy town mzee alikuwa ni askari na familia yetu kiujumla ilikuwa na watu takribani 7 hvi mara akaja babu yetu na familia yake ya watu 6 kukaa home hapo hapo wazazi wa mke mdogo na mzee nao wakatia timu wakiwa na watoto wao wa2 haya kama haitosh kina binamu watoto wa shangazi nao hawa hapa wa 2 lets calculate 7+6+4+2=19 na mtu anaelisha familia ni mmoja tu broh ungekuwa wewe ungekufaga mazima na iliwachukua takribani miezi zaidi ya miwili mpaka kuja kuondoka.
Naomba ufanye kitu kimoja mkuu.ni takribani wiki 2 zilizopitata nilipata ugeni wa kaka yake mke wangu na tulimpokea vizuri tu.
Alifika mida ya saa 2 bila taarifa na niwe muwazi kwamba hata mgao wa chakula ulivurugika,
Usiku ule ule tukiwa chumbani nilikuwa namhoji wife kwanini ndugu yake kaja bila taarifa ila nikapotezea nikijua labda atakaa siku 2 au 3.
kuna vyumba vya wageni vimejitenga na nyumba kuu ndiko tulipompa hifadhi, na choo / bafu ni humo humo.
sasa ni takribani wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye akitafuta hata shughuli, yani yupo tu.
Wife akimuuliza hali, yeye anasema kaja kutusalimia na binafsi sina tatizo na hilo bali huyu ni mtu mzima ambae pengine ilibidi awe anafanya shughuli za kumuingizia kipato
HahahahaWiki mbili mbona chache sana, mpe miezi mitatu bwana abadilishe upepo. Mgeni ni baraka, hakikisha anapata maandazi na mkate wenye blueband.
HahahahaFamilia zetu za Kiafrika hizi tuvumiliane, jamaa yuko holiday kwa dada.
Huu mtandao hua unawajinga wanaoleta furaha hahahahaAnza kuchakata mbususu mchana na jion tena chakatia sebuleni, na hakikisha unatoa makelele mengi na kwasauti wakati wa uchakataji... Utarudi na mrejesho ndani ya siku mbili
Mwanaume mlaze chumba cha watoto wa kiume na mke wake mlaze chumba cha watoto wa kike wawe wanakutana sebuleni tu na muda wa kula, wala hawawezi kukaa muda mrefu wataondoka.Week mbili tu unapiga kelele mkuu, sa Mimi kaja baba,mama na mtoto mmoja wa Dada wa kazi wakamaliza mwezi home unafanyaje