Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,850
Ushauri wa humu daaah [emoji23][emoji23]Anza kuchakata mbususu mchana na jion tena chakatia sebuleni, na hakikisha unatoa makelele mengi na kwasauti wakati wa uchakataji... Utarudi na mrejesho ndani ya siku mbili
Ndo ivoDunia ya sasa upendo umekwisha.Mimi napenda Sana wageni.
Shida nini kaka vumilia tu alafu anza kumtafutia kazi au mtoe mkapate moja baridi moja moto akueleze changamoto zakee uone kama atakataa kufanya kaziNi takribani wiki 2 zilizopitata nilipata ugeni wa kaka yake mke wangu na tulimpokea vizuri tu.
Alifika mida ya saa 2 bila taarifa na niwe muwazi kwamba hata mgao wa chakula ulivurugika.
Usiku ule ule tukiwa chumbani nilikuwa namhoji wife kwanini ndugu yake kaja bila taarifa ila nikapotezea nikijua labda atakaa siku 2 au 3.
Kuna vyumba vya wageni vimejitenga na nyumba kuu ndiko tulipompa hifadhi, na choo / bafu ni humo humo.
Sasa ni takriban wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye akitafuta hata shughuli, yani yupo tu.
Wife akimuuliza hali, yeye anasema kaja kutusalimia na binafsi sina tatizo na hilo bali huyu ni mtu mzima ambaye pengine ilibidi awe anafanya shughuli za kumuingizia kipato.
Huku kwingine daah changamoto sanaHaya mambo uchagani huwez yakutaa..japo wengi watasema ni uchoyo ila ni tabia ilijijenga tu
Acha ushamba wewe kodi shamba uanze kulima huyo ndiyo umepewa msimamiziNikiwa kama kivhwa cha familia, nyumbani kwangu ni sheria zangu, na linapokuja swala la sheria kwa wageni huwa zimekazwa mno kwa wageni wa kiume ambao ni miaka 28+ maaana hawa tayari ni wanauume na asili yetu ni kupambana ili kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu.
Ni takribani wiki 2 zilizopitata nilipata ugeni wa kaka yake mke wangu mwenye miaka 33
Alifika mida ya saa 2 bila taarifa na niwe muwazi kwamba hata mgao wa chakula ulivurugika, namjali sana house girl wangu namchukilia kama mwanafamilia na wife alikuwa kapata ugeni, hivyo ilibidi niende kula mgahawani.
Usiku ule ule tukiwa chumbani nilikuwa namhoji wife kwanini ndugu yake kaja bila taarifa ila nikapotezea nikijua labda atakaa siku 2 au 3.
Kuna vyumba vya wageni vimejitenga na nyumba kuu ndiko tulipompa hifadhi, na choo / bafu ni humo humo.
Sasa ni takriban wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye akitafuta hata shughuli, yani yupo tu.
Wife akimuuliza hali, yeye anasema kaja kutusalimia huwa nabaki kukuna kichwa tu
Asili ya sisi wanauume ni kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu
sasa navyomoona mwanaume mwenzangu yupo comfortable na hali ya kuwa tegemezi na hana tatizo lolote la kumfanya asishughulike, binafsi najisikia vibaya.
Unauhakika Ni Kaka yake wa damu?
Anaweza kuwa x wake wa zamani amekuja kukumbushia especially Kama mke Ni kabila tofauti na lako
mie nnao wawili tena uwezo wangu wenyewe wa kula ugali dona,na wanakatika mwezi wa 3 huu toka waje na hawajawahi kunambia wanaondoka na wala sitamani kuskia wakisema wanaondoka,na toka waje japokuwa uwezo finyu lakini hatujawahi shinda njaa kisa uwepo wao zaid tunaenjoi as a family.Nikiwa kama kichwa cha familia, nyumbani kwangu ni sheria zangu, na linapokuja swala la sheria kwa wageni huwa zimekazwa mno kwa wageni wa kiume ambao ni miaka 28+ maaana hawa tayari ni wanauume na asili yetu ni kupambana ili kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu.
Ni takribani wiki 2 zilizopitata nilipata ugeni wa kaka yake mke wangu mwenye miaka 33
Alifika mida ya saa 2 bila taarifa na niwe muwazi kwamba hata mgao wa chakula ulivurugika, namjali sana house girl wangu namchukilia kama mwanafamilia na wife alikuwa kapata ugeni, hivyo ilibidi niende kula mgahawani.
Usiku ule ule tukiwa chumbani nilikuwa namhoji wife kwanini ndugu yake kaja bila taarifa ila nikapotezea nikijua labda atakaa siku 2 au 3.
Kuna vyumba vya wageni vimejitenga na nyumba kuu ndiko tulipompa hifadhi, na choo / bafu ni humo humo.
Sasa ni takriban wiki ya pili sasa hatuoni dalili ya yeye akitafuta hata shughuli, yani yupo tu.
Wife akimuuliza hali, yeye anasema kaja kutusalimia huwa nabaki kukuna kichwa tu
Asili ya sisi wanauume ni kujitegemea......changamoto za kimaisha na harakati za kiupambanaji wakati mwingine zinapelekea kujikwaa lakini ni mwiko kukata tamaa kusimama kwenye asili yetu huku mipango na malengo vinabakia vichwani mwetu
sasa navyomoona mwanaume mwenzangu yupo comfortable na hali ya kuwa tegemezi na hana tatizo lolote la kumfanya asishughulike, binafsi najisikia vibaya.
π€π€π€ Mzee wako namuona anaingia mlango wa peponi. Hao watu waliondoka wenyewe bila kuambiwaWe jamaa ungekua ndo mzee wangu mbona ungekufa kama sio kuzirai kabisa,
Nakumbuka mwaka 2009 kipindi tupo shy town mzee alikuwa ni askari na familia yetu kiujumla ilikuwa na watu takribani 7 hvi mara akaja babu yetu na familia yake ya watu 6 kukaa home hapo hapo wazazi wa mke mdogo na mzee nao wakatia timu wakiwa na watoto wao wa2 haya kama haitosh kina binamu watoto wa shangazi nao hawa hapa wa 2 lets calculate 7+6+4+2=19 na mtu anaelisha familia ni mmoja tu broh ungekuwa wewe ungekufaga mazima na iliwachukua takribani miezi zaidi ya miwili mpaka kuja kuondoka.
Dah...acha tuu ndoa hiziii...Nini shida Bro. Jambo dogo hili mpaka uje umseme mke wako mitandaoni?
π€π€π€ Mzee wako namuona anaingia mlango wa peponi. Hao watu waliondoka wenyewe bila kuambiwa