TAKUKURU chunguzeni Wizara ya fedha (Hazina) huenda imetengeneza mfumo wa kuiba hela ya mafao ya watumishi wa umma

TAKUKURU chunguzeni Wizara ya fedha (Hazina) huenda imetengeneza mfumo wa kuiba hela ya mafao ya watumishi wa umma

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Huko Mbeya tumeona watumishi wa TRA wakichepusha hela ya umma kuingia kwenye mtandao wa watu binafsi na kupiga hela. Huko Arusha tumeona mkutano wa Makonda mwananchi mlipa kodi (Halmashauri ya Arusha) akilalamika kodi zinachepushwa na kuingia katika mtandao wa wapigaji na wala haziingii serikali kuu. Hata Rais katika hotuba zake aliwahi kusema kwa mujibu wa ripoti ya CAG mifumo ya ukusanyaji kodi haisomani.

Sasa mimi hebu niwaelekeze mahali palipo na wizi wa kuchepusha hela za michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma ni wizara ya fedha (HAZINA). Hakuna mwajiriwa hata mmoja ambaye katika utumishi wake anaweza kukuta hakuna kasoro ya malipo yake ya mwezi ya 20%. Utakuta miezi kadhaa wamepeleka pungufu au hakuna kabisa. Ukienda kudai malipo lazima uandike barua ya mapunjo na haya madai huwa hayalipwi kabisa! Utadai na kuandika barua mpaka unaamua kuacha na kukata tamaa kabisa!

Nina jamaa zangu wengi kabisa katika taasisi za umma hawakupelekewa 15% ya michango yao kwa zaidi ya miaka kadhaa. Walikuwa wanapelekewa 5% nyingine inachepushwa kusikojulikana. Wengine wamestaafu, kuachakazi, kufariki wamedai hela yao mpaka wamechoka. Hebu wahusika sijui TAKUKURU, PSSSF, NSSF sijui nini wawaangalie hawa jamaa wa HAZINA katika suala zima la michango ya watumishi.

Nina uhakika na wao wamejitengenezea kamfumo kakuchepusha na kuiba kiasi fulani cha michango kwa kila mtumishi wa umma. Nasema hivyo kwasababu ukienda kudai hulipwi mpaka utachoka! Ukienda ofisini kwao utaambiwa sijui nani na nani anahusika sijui hayupo sijui tutalifanyia kazi! NARUDIA! Michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma kwa ujumla inapigwa sana!
 
Inafikirisha. Ina maana sehemu zote serikali inapigwa na wajanja. Kwa ulivyoonesha kila mapato ya serikali kuna mfumo mwingine wa kuiba hela.

Yaani kama ndiyo hivyo basi Dkt Samia atakopa sana kisa mapato hayatoshi kumbe kuna wajaja wametega bakuri. Yaani wakijikana ni bora wahusika wauawawe kwa sababu wamemhujumu Dkt Samia miaka mingi tukijua anakopa hana hela kumbe kuna watu wanamfumo wa kupokea mapato.
 
Yaani! Sijui ni serikali au CCM ndo imeagiza hivyo? Yaani unakuta katika michango unayodai kuna kasoro ya million kadhaa! Sasa ukizidisha kwa jumla ya wafanyakazi si ni mabillioni ya hela? Na hili linafanyika kila mwezi! Kama mbinguni kupo, wataenda wachache! Mtu umelitumikia taifa bora ijulikane wazi ni kikokotoo! Lakini hata ulichostahili kulipwa unakuta kimepigwa mamillion kadhaa!
 
Inafikirisha. Ina maana sehemu zote serikali inapigwa na wajanja. Kwa ulivyoonesha kila mapato ya serikali kuna mfumo mwingine wa kuiba hela. Yaani kama ndiyo hivyo basi Dkt Samia atakopa sana kisa mapato hayatoshi kumbe kuna wajaja wametega bakuri. Yaani wakijikana ni bora wahusika wauawawe kwa sababu wamemhujumu Dkt Samia miaka mingi tukijua anakopa hana hela kumbe kuna watu wanamfumo wa kupokea mapato.
Ndo maana yake mkuu!
 
Ndo maana yake mkuu!
Inasikitisha sana tena sana. Inavyoonekana ni kama almost 70% ya mapato ya serikalini yanaibiwa na 30% ndiyo Dkt Samia anatamba nayo. Maana ukijiuliza inakuwaje na mifumo yote rais alalamike hakuna mapato? Kumbe kuna wajanja wametega mirija kila sehemu matokeo yake Dkt Samia anaitwa majina ya ajabu. Yaani huu ushauri wako mdau muhimu sana mi nilikuwa sijui ila hakika umeleta jambo la maana ili tusije mhukumu Dkt Samia kwa kukopa, tuanze kwanza na wezi hawa waadabishwe
 
Inasikitisha sana tena sana. Inavyoonekana ni kama almost 70% ya mapato ya serikalini yanaibiwa na 30% ndiyo Dkt Samia anatamba nayo. Maana ukijiuliza inakuwaje na mifumo yote rais alalamike hakuna mapato? Kumbe kuna wajanja wametega mirija kila sehemu matokeo yake Dkt Samia anaitwa majina ya ajabu. Yaani huu ushauri wako mdau muhimu sana mi nilikuwa sijui ila hakika umeleta jambo la maana ili tusije mhukumu Dkt Samia kwa kukopa, tuanze kwanza na wezi hawa waadabishwe
Samia ndiyo Rais anatakiwa ashughulikie na siyo kumtetea.
Rejea hapo nilipo bold.
 
Huko Mbeya tumeona watumishi wa TRA wakichepusha hela ya umma kuingia kwenye mtandao wa watu binafsi na kupiga hela. Huko Arusha tumeona mkutano wa Makonda mwananchi mlipa kodi (Halmashauri ya Arusha) akilalamika kodi zinachepushwa na kuingia katika mtandao wa wapigaji na wala haziingii serikalini kuu. Hata Rais katika hotuba zake aliwahi kusema kwa mujibu wa ripoti ya CAG mifumo ya ukusanyaji kodi haisomani.
Sasa mimi hebu niwaelekeze mahali palipo na wizi wa kuchepusha hela za michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma ni wizara ya fedha (HAZINA). Hakuna mwajiriwa hata mmoja ambaye katika utumishi wake anaweza kukuta hakuna kasoro ya malipo yake ya mwezi ya 20%. Utakuta miezi kadhaa wamepeleka pungufu au hakuna kabisa. Ukienda kudai malipo lazima uandike barua ya mapunjo na haya madai huwa hayalipwi kabisa! Utadai na kuandika barua mpaka unaamua kuacha na kukata tamaa kabisa! Nina jamaa zangu wengi kabisa katika taasisi za umma hawakupelekewa 15% ya michango yao kwa zaidi ya miaka kadhaa. Walikuwa wanapelekewa 5% nyingine inachepushwa kusikojulikana. Wengine wamestaafu, kuachakazi, kufariki wamedai hela yao mpaka wamechoka. Hebu wahusika sijui TAKUKURU, PSSSF, NSSF sijui nini wawaangalie hawa jamaa wa HAZINA katika suala zima la michango ya watumishi. Nina uhakika na wao wamejitengenezea kamfumo kakuchepusha na kuiba kiasi fulani cha michango kwa kila mtumishi wa umma. Nasema hivyo kwasababu ukienda kudai hulipwi mpaka utachoka! Ukienda ofisini kwao utaambiwa sijui nani na nani anahusika sijui hayupo sijui tutalifanyia kazi! NARUDIA! Michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma kwa ujumla inapigwa sana!
Mkuu! Unachosema ni kweli kabisa! Niliwahi kuajiriwa na taasisi za binafsi tatu na kadhaa za umma. Za binafsi kiwango ambacho hawakupeleka, hiyo mifuko ya hifadhi ya jamii ilivyowaendea (kampuni binafsi) na kuwatishia kuwapeleka mahakamani kwa mujibu wa sheria walilipa na mimi nikalipwa. Sasa kimbembe kipo nilipoajiliwa serikalini! Kiwango ambacho Hazina haikupeleka kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii hakijalipwa mpaka leo miaka zaidi ya 10. Ukienda kulalamika kwenye Mfuko wa PSSSF wanasema tumemwandikia barua Katibu Mkuu Wizara ya Fedha hajatujibu! Huu mwaka wa kumi! Ukiwauliza kwanini msimpeleke mahakamani kwa mujibu wa sheria na kama ambavyo mnafanya kwa sekita binafsi wanaanza kupiga chenga! Mimi nadhani katika upigaji wa wizara ya fedha kwa mafao ya watumishi wa umma wanashirikiana na mfuko wa PSSSF
 
Huko Mbeya tumeona watumishi wa TRA wakichepusha hela ya umma kuingia kwenye mtandao wa watu binafsi na kupiga hela. Huko Arusha tumeona mkutano wa Makonda mwananchi mlipa kodi (Halmashauri ya Arusha) akilalamika kodi zinachepushwa na kuingia katika mtandao wa wapigaji na wala haziingii serikalini kuu. Hata Rais katika hotuba zake aliwahi kusema kwa mujibu wa ripoti ya CAG mifumo ya ukusanyaji kodi haisomani.
Sasa mimi hebu niwaelekeze mahali palipo na wizi wa kuchepusha hela za michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma ni wizara ya fedha (HAZINA). Hakuna mwajiriwa hata mmoja ambaye katika utumishi wake anaweza kukuta hakuna kasoro ya malipo yake ya mwezi ya 20%. Utakuta miezi kadhaa wamepeleka pungufu au hakuna kabisa. Ukienda kudai malipo lazima uandike barua ya mapunjo na haya madai huwa hayalipwi kabisa! Utadai na kuandika barua mpaka unaamua kuacha na kukata tamaa kabisa! Nina jamaa zangu wengi kabisa katika taasisi za umma hawakupelekewa 15% ya michango yao kwa zaidi ya miaka kadhaa. Walikuwa wanapelekewa 5% nyingine inachepushwa kusikojulikana. Wengine wamestaafu, kuachakazi, kufariki wamedai hela yao mpaka wamechoka. Hebu wahusika sijui TAKUKURU, PSSSF, NSSF sijui nini wawaangalie hawa jamaa wa HAZINA katika suala zima la michango ya watumishi. Nina uhakika na wao wamejitengenezea kamfumo kakuchepusha na kuiba kiasi fulani cha michango kwa kila mtumishi wa umma. Nasema hivyo kwasababu ukienda kudai hulipwi mpaka utachoka! Ukienda ofisini kwao utaambiwa sijui nani na nani anahusika sijui hayupo sijui tutalifanyia kazi! NARUDIA! Michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii kwa watumishi wa umma kwa ujumla inapigwa sana!
Hii ni kweli 💯
 
Mkuu naona unielekeze namna ya kuangalia hayo malipo.. nafanyaje..
Ni mtumishi wa umma Niko taasisi fulani hapa nchini.
sign up online kwa kutumia credentials zako utaweza ku print statement uone vile hazina hawapeleki hela.

mimi naona last contribution ni feb 2024
 

Attachments

  • Screenshot_20240522-173548.png
    Screenshot_20240522-173548.png
    73.7 KB · Views: 9
Back
Top Bottom