TAKUKURU chunguzeni Wizara ya fedha (Hazina) huenda imetengeneza mfumo wa kuiba hela ya mafao ya watumishi wa umma

Ukistaafu mafao utakokotolewa kwa hiyohiyo michango pungufu matokeo utapata lump sum pungufu na monthly pension kidogo.

Mwajiri atakutaka wewe ndiye umpe kiasi cha hayo mafao kidogo uliyolipwa ili apeleke PSSSF kama michango ambayo yeye hakupeleka ili umaliziewe mapunjo ya mafao yako.

This country needs guns"- Wahenga.
 
Huu wizi ni system, na bahati mbaya awamu hii ndio umegeuzwa tabia, jamaa wanaiba na hawaogopi kwasababu wanajua aliyepo pale juu hajielewi wala hajitambui, ni kama mlevi aliyelewa chakari.

Tuna kiongozi dhaifu sana kuwahi kutokea kwenye hili taifa.
 
Unapeleka kesi ya ngedere kwa nyani? Unachekesha kweli kweli. Dawa ni kupigana tupate mfumo mpya wa uongozi pamoja na viongozi wenye nia ya kutumikia wananchi.
 
Siyo dhaifu bali na yeye ni mwizi. Hukusikia anawaambia kila mtu ale kwa urefu wa kamab yake? Anafanya makusudi ili 1. Na yeye apate kuiba 2. Asipate upinzani kwenye vyombo vya dola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…