TAKUKURU chunguzeni Wizara ya fedha (Hazina) huenda imetengeneza mfumo wa kuiba hela ya mafao ya watumishi wa umma

Huu wizi ni system, na bahati mbaya awamu hii ndio umegeuzwa tabia, jamaa wanaiba na hawaogopi kwasababu wanajua aliyepo pale juu hajielewi wala hajitambui, ni kama mlevi aliyelewa chakari.

Tuna kiongozi dhaifu sana kuwahi kutokea kwenye hili taifa.
aliwambia wale kidogo wasivembewe hatujawai pata kiongozi wa ajabu kama huyu...
 
Kuna mwezi mmja kwenye makato yangu haujasoma ,niliwahi andika barua kwa.mwajiri sijapata majibu ya Kwa nini nikatwe pesa harafu isisome kwenye michango.

Naunga mkono hoja,hili.lipo.na bila shaka wakubwa kabisa ndio wanufaika
 
Unaangaliaje hiyo michango kama imepelekwa PSSSF, ebu nisanue mimi huwa nafikiri michango inakatwa automatic na kuingia automatic PSSSF
Downlaod app ya PSSSF Playstore au Appstore.... Kisha fuata maelekezo ya kujisajili..
 
Kuna mwezi mmja kwenye makato yangu haujasoma ,niliwahi andika barua kwa.mwajiri sijapata majibu ya Kwa nini nikatwe pesa harafu isisome kwenye michango.

Naunga mkono hoja,hili.lipo.na bila shaka wakubwa kabisa ndio wanufaika
Bora wewe mwezi mmoja! Wengine miezi 18 mfululizo wanapeleka 5% tu badala ya 20%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…