Hii habri imejaa uwongo na wivu mkubwa kwa wahusika, salary scheme ya UCC ipo wazi kwa wafanyakzi wote, kuhusu Interview sioni tatizo maana kama ilifanyika maamuzi ni ya wajumbe na siyo ya mwenyekiti labda kdg kuhusu vyeti vyake lkn pia siyo lazima maana kama ana hiyon degree bado anastahili nafas.Kuwa na vyeti haimaanishi ndy kupewa uboss na wengine waolewe.Watz tuache wivu na masengenyo kwa wenzetu pindi wakifanikiwa
Watz
Watz