TAKUKURU: Tuhuma dhidi ya Ole Sabaya zinaibuka mpya kila siku kadri uchunguzi unavyoendelea

TAKUKURU: Tuhuma dhidi ya Ole Sabaya zinaibuka mpya kila siku kadri uchunguzi unavyoendelea

Madumbikaya

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2018
Posts
639
Reaction score
1,919
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Takukuru kila siku tuhuma za Ole Sabaya zinazidi kuongezeka na ndio maana bado anashikiliwa na Takukuru.

Sabaya na wenzake saba ambao alikuwa akishirikiana nao wanashikiliwa na Takukuru, Tuhuma zao nyingi ni za jinai.

Kila siku Uchunguzi unavyoendelea ndio mambo mengi ya tuhuma yanaongezeka na mengi ni jinai.

Wakati ukifika DPP atashauri nini kifanyike kuhusu Sabaya kutokana na Tuhuma ambazo kila kukicha zinaongezeka na nyingi ni jinai.
 
Hii umeitoa wapi?

Isije kua ni kama kule Twitter mnazushia satu huyu kasema hivi kumbe uongo.
 
Sasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?
Mwendazake

Mwendazake

Mwendazake aliogopwa, Alitisha

Thubutuuuuuuui nani angejaribu kumtikisa Mwendazake

Thubutuuuuuuuuu

Aliweka katiba mfukoni
Mkuu Wasiojulikana,
mmh Wangepotezwa woteeeee eeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Babu Seya alifungwaje vile. Binadamu ni wabaya wanaweza kununua mpaka minor wakutolee ushahidi wa uongo. Yaani Sabaya alale na wanawake 40 na wote watokee kutoa ushahidi?!
Sawa lakini tuendelee
 
Back
Top Bottom