TAKUKURU: Tuhuma dhidi ya Ole Sabaya zinaibuka mpya kila siku kadri uchunguzi unavyoendelea

TAKUKURU: Tuhuma dhidi ya Ole Sabaya zinaibuka mpya kila siku kadri uchunguzi unavyoendelea

Hivi Babu Seya alifungwaje vile. Binadamu ni wabaya wanaweza kununua mpaka minor wakutolee ushahidi wa uongo. Yaani Sabaya alale na wanawake 40 na wote watokee kutoa ushahidi?!
Sawa lakini tuendelee
Michezo ya kikwete hiyo ya kucheza kwenye tope uku unatimua vumbi.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Yani huyu mtoto ameumiza sn watu.Asipofungwa watu hawatawaelewa.

Makonda pia
 
Yani huyu mtoto ameumiza sn watu.Asipofungwa watu hawatawaelewa.

Makonda pia
 
Uyu ndugu atatumika tu watu kulipa kisasi Chao kwa kua aliwajibika na kuziba mianya ya janja janja uko kaskazini.haiingii akilini DC akabeba bunduki kwenda kufanya ujambazi ,kulawiti wanawake 40 sijui , Ila nguvu ya wafanya biashara watakua wameungana kumteketeza uyu kijana baada ya kubanwa ipasavyo.Hii ndo tunaita Ana bahati mbaya
 
Back
Top Bottom