Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 639
- 1,919
Soma Gazeti la Habari Leo jana, Mawasiliano kati ya Habari Leo gazeti na Bwana Hamduni Mkurugenzi wa TakukuruWeka source Tafadhali!
Sasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?Soma Gazeti la Habari Leo jana, Mawasiliano kati ya Habari Leo gazeti na Bwana Hamduni Mkurugenzi wa Takukuru
Sent using Jamii Forums mobile app
MwendazakeSasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?
Unamkumbuka afande Zombe!Aiseee wakipona wakatoe sadaka
vyombo vyote vilifahamu ila vilimuhofia Marehemu Pombe.Sasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?
Bwashee unauliza jibu...Sasa wakati anafanya jinai zote hizo vyombo vilikuwa wapi?
Sabaya hana wa kumrushia lawama maana vingi kafanya yeye na ushahidi upoUnamkumbuka afande Zombe!
Kidoti ndiye Nani tafadhali wengine majina mapyaWeka source Tafadhali!
Hii ya uchumba wa Ole na Kidoti ndio imenivuruga!
Bado unafikra za ujima uliopita amka sasa ni Utawa mpyaaHii umeitoa wapi?
Isije kua ni kama kule Twitter mnazushia satu huyu kasema hivi kumbe uongo.
Jiweeeeeeeeeee uje uone maovu uliyoyasimamia.Madaraka yamemponza.Atamkumbuka aliekuwa anampa kiburi.