TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Kapeleke hoja bungeni si mnaowawakilishi
 
Wewe mwenyewe mchafu jichunguze wewe kwanza ukiwa msafi ndipo unaanza kuwachunguza wengine waanze na kivuko cha Dsm Bagamoyo bilion 12 za Ndungai, bilion 251 wizara ya ujenzi na zingine nyingi huko CCM kwanza kabla hawajaenda popote
😂
Mkuu, Mimi hata nikiwa mchafu nachafukwa na Mali zangu binafs, namshukuru Mungu ktk Hilo, Mimi ninauhuru wa nitumie nini na Kwa kiasi gani leo, sina kizuizi

Ila hao tuliowaamini wanapoanza kutugeuka, tunalipa Kodi bafala ya kutumika kama inavyopasa, Wao wanaanzisha Miradi ya Matrecta na mashamba huko Ifakara, wanajinunulia magari kupitia migongo ya Vyama vyao, hao ndio wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu

Hatuwezi kuwa nchi ya hovyo kiasi hicho, ni Bora kabisa tusiwe na viongozi, maana viongozi waizi hatuwataki popote pale
 
Reactions: mmh
Huu ujinga bakia nao kwanza elezea zipo wapi bilion 12 alizochukua Ndungai kabla hatujauliza 10% ununuzi wa Ndege na miradi mingine
 
CAG alidanganywa kuna deni la chama linalipwa. Kumbe ni deni hewa ambalo mmiliki wa Chadema alijitengenezea. Acha Pccb wapate ukweli alafu watu waende lupango.
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Umeshabikia na hili ?! Mahojiano ya kina Lugora na pccb yalikomea wapi ?!.
 
Kabisa anakopesha wasiokopesheka anajilipa ndani kwa ndani
 
Kwamba Mashinji huyu anayesusiwa salamu na akina Halima atahojiwa kuhusu chama cha akina Halima.

Kama hakuna upigaji ni vizuri au huo upigaji umhusu Mashinji pia tofauti na hapo hana sababu ya kutokuwachomea!
Mashinji ni key witness. Maana alishuhudi ulaghai ukifanyika.
 
Wewe mwenyewe mchafu jichunguze wewe kwanza ukiwa msafi ndipo unaanza kuwachunguza wengine waanze na kivuko cha Dsm Bagamoyo bilion 12 za Ndungai, bilion 251 wizara ya ujenzi na zingine nyingi huko CCM kwanza kabla hawajaenda popote
Unalinganisha serkali na chama
 
Tunaamini ataifanyia kazi hata ile ripoti ya ufujaji wa fedha na mali za CCM. Ripoti hii alihusika kuchunguza na kuandika ndugu yetu Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally. Tunaamini hata mambo yale ya Mkuu wa wilaya ya Hai nayo yatachunguzwa tu. Hapo tutaona anatenda haki kweli kweli.
 
Hujui kazi ya CAG na TAKUKURU hizi shutma zinaukweli naona woga sana
 
Reactions: mmh
Lazima tukubali takukuru ni genge la ccm ule ushahidi wakina nasari na hizi kelele za wakina lijualikali zinatofauti gani? Badala ya kumsulubu mwizi wa fedha za umma kangi lugola wameachia huko kwa kuwa ni mwanachama mwenzao
 
Kuwa Nchi ya hovyo ni pamoja na kutafuna bilion 12 na Ndungai ni Taifa lipi Duniani wamewahi kutumia pesa nyingi kiasi hicho kwa matibabu ya mtu mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…