Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.02 ya waliokufa kwa Corona wako chini ya 50yrs, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Na kwa historia ya madiliktk nchi hii na hasa unaofika mwaka wa uchaguzi, Corona ni fursa kubwa kwa mafisadi.Ndio hao wanakuwa na pre-existing conditions za kiafya hivyo ikija Corona ni kama inakuja kuwamalizia tu, ila hao ndio wako ndani ya hiyo 0.2%
Kama nataka kukuelewa vile, Manake nahisi kila ugonjwa unaomkuta mtu, inategemea na Kinga za mwili wake zina uwezo gani wa kupamban na Magonjwa, Wengine wanaumwa Kichwa tu, au Marelia tu inamwondoa Duniani, Na hakunaga Ugonjwa wenye dawa hapa Duniani, isipokuwa magonjwa yote yana kipunguza makali tu, Sabab km kungekuw na Dawa zakuponya, Homa za mara kwa mara zisingekuwepo, ilitakiwa ukimeza dawa tu unapona mazima hauumwi tena,,, Na ndiyo maana hata wenye Ukimwi wanaendelea kuishi km waumwa Marelia na Bichwa vya mara kwa mara, ili mrad wanameza dawa, wasife.!!! KUFA NI KUTEGEMEA NA KINGA ZA MWILI WAKO ZINA NGUVU GANI YA KUPAMBANA NA MAGONJWA.Ungesoma hiyo habari hadi mwisho ungejua kuwa huyo kocha alikuwa ana kansa ya dam na muda hata hiyo corona inamkuta alikuwa mahututi..
Tena hiyo asilimia waloko chini ya 50 years ni wale ambao tayari wana magonjwa hatarishi kama kansa,wavutaji wa sigara kupindukia au wenye hali mbaya ya afya...
Na haizuiliki. We should let it run its course.Exactly, natural selection and elimination are the tools of evolution, we become a stronger species by pruning the weak genomes from the gene pool
Afya za vijana wa kitanzania anazijua wewe, mlo mmoja nao wa shida.Nimeashiria kwamba jinsi ilivyongumu kwa jogoo kutaga mayai ndivyo ilivyo ngumu kwa mtu wa umri wa chini ya50yrs kufa kwa Corona. Legeza ubongo basi khaa...
wabongo siunawajua kwenye ku-trend-isha vitu. baada ya mda itakuja mada ingine just wait...
Kama nataka kukuelewa vile, Manake nahisi kila ugonjwa unaomkuta mtu, inategemea na Kinga za mwili wake zina uwezo gani wa kupamban na Magonjwa, Wengine wanaumwa Kichwa tu, au Marelia tu inamwondoa Duniani, Na hakunaga Ugonjwa wenye dawa hapa Duniani, isipokuwa magonjwa yote yana kipunguza makali tu, Sabab km kungekuw na Dawa zakuponya, Homa za mara kwa mara zisingekuwepo, ilitakiwa ukimeza dawa tu unapona mazima hauumwi tena,,, Na ndiyo maana hata wenye Ukimwi wanaendelea kuishi km waumwa Marelia na Bichwa vya mara kwa mara, ili mrad wanameza dawa, wasife.!!! KUFA NI KUTEGEMEA NA KINGA ZA MWILI WAKO ZINA NGUVU GANI YA KUPAMBANA NA MAGONJWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Italy pia mkuu!
Huku kwetu kutoboa 60 kweli imekuwa shidah ma Babu zetu waliishi miaka mingi sana hii Dunia ina maharamia waona wafanya maisha yetu pengine yawe mafupi!
Maana sio nidham ya kula tu inayo fupisha masha yetu!!!
Jamii ambayo haina wazee ni rahisi sana kuyumbishwa!!!
Italian medic, aged 46, dies from coronavirusKuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Iko hivi Niko chini ya miaka 50 lazima nipanic, kwa sababu nimezungukwa na baba na Mama Nina wajomba Nina majirani wenye umri mkubwa tunaoshirikiana nao Sasa nikipata Mimi it means ntawaambukiza hao! Mbona ni simple logic sana! Au nyiye huko kwenu wote ni chini ya miaka 50! Yaani hongera sana kuzungukwa na vijana!
Jitahid kusoma jaman mnadanganywa kuhusu iyo corona sio serious kihivyo
Jamaa uuko sawa inawaua wazee na wenye upungufu wa kika mwilin wenye magonjwa kama sukar na presha ila kwa mtu wa kawaida chinya miaka 60 si rahis kufa kwa corona
Babu yako mzaa baba yako babu yake aliishi miaka mingapi!?
Mchezaji ganiTunawapenda wazee wetu.
Kuna mcheza mpira hali yake ni mbaya now, hii virus hata kama haita kuuwa ila chamoto utakiona.
Ndio hao wanakuwa na pre-existing conditions za kiafya hivyo ikija Corona ni kama inakuja kuwamalizia tu, ila hao ndio wako ndani ya hiyo 0.2%
Mkuu yule alikuwa na cancer piaKuna kocha wa Spain mdogo tu kwa umri miaka 21 amefariki.
Usijidanganye mkuu chukua tahadhari
Exactly