Ndondocha mkuu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,490
- 2,965
KabisaaHilo ni jini, siyo binadamu wa kawaida huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaaHilo ni jini, siyo binadamu wa kawaida huyo.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]kwa hiyo MYele anamfukuzia Kibu
Makolo huwa hawana akili timamu, ni vichwa majiMakolo huwa mnafikiri bila vichwa ligi iko raundi ya Tisa hizo mechi 10 Mayele kafikisha lini?
Ahahaha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Akili siyo matakoo kwamba kila mtu anayo, haya ni mambumbumbu.Makolo huwa hawana akili timamu, ni vichwa maji
Pole sana[emoji23]utasikia mtu anavimba anasema unamujua mayelee wewe
Habari yako huko ulipoMayele si hatari jamani....
Mambo ya raundi ya pili yanatoka wapi tena?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Mkuu upo?Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Huko Yanga wenye akili ni wawili tu wote mliobaki ni mataahira tuAkili siyo matakoo kwamba kila mtu anayo, haya ni mambumbumbu.
JF ina vichaa aiseeeKi msingi kuna tofauti ndogo sana kati ya Mayele, Nchimbi, Sarpong na Yikpe
Takwimu ziendelee
Ningekuwa nimewahi kuiona hii comment yako nisingehangaika na wewe. Kumbe uliwahi kusema hivi?Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.