ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Huyo jamaa ni kiazi hatari, ujuaji mwingi kichwani empty spaceNingekuwa nimewahi kuiona hii comment yako nisingehangaika na wewe. Kumbe uliwahi kusema hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa ni kiazi hatari, ujuaji mwingi kichwani empty spaceNingekuwa nimewahi kuiona hii comment yako nisingehangaika na wewe. Kumbe uliwahi kusema hivi?
Bila shaka hapa ulikua unafoka mate yanakuchuruzikaNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Wazazi wako wamechoma rasilimali zao kulea lipumbafuView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hapo tatizo liko wapi?Ningekuwa nimewahi kuiona hii comment yako nisingehangaika na wewe. Kumbe uliwahi kusema hivi?
Ni hisia zako tuBila shaka hapa ulikua unafoka mate yanakuchuruzika
Nilijua tu lazima ufate meza yenye bia nyingiHuyo jamaa ni kiazi hatari, ujuaji mwingi kichwani empty space
Sasa hapo tatizo liko wapi?
Au unaona sio sawa kwasababu ya kiwango cha Kibu saizi kipo down?
Huu uzi ulikuwa unazungukzia nyakati ambazo Kibu anafanya vizuri kuliko MayeleWe Mzee Hujaacha Ubishi Na Wachezaji Wako Wa Tia Maji Tia Maji.[emoji23]
Kiherehere kwa mtoto wa kiume ni hatariNilijua tu lazima ufate meza yenye bia nyingi
Mlisema mafuta yame anza kujitenga na maji sasa bado mnahuo msimamo?Huu uzi ulikuwa unazungukzia nyakati ambazo Kibu anafanya vizuri kuliko Mayele
Lakini watu wamesubiri mpaka mwaka upite ndio waanze kunisuta
Lakini pamoja na hivyo bado hukomiKiherehere kwa mtoto wa kiume ni hatari
Tunatoa statistic kulingana na current perfomance ilivyo na ndio maana huu uzi sio wa leoMlisema mafuta yame anza kujitenga na maji sasa bado mnahuo msimamo?
Bahati nzuri nisha kuzoea una wewe na Genta tofauti ni ndogo sanaTunatoa statistic kulingana na current perfomance ilivyo na ndio maana huu uzi sio wa leo
Kibu hapitii nyakati nzuri na hilo linafahamika sasa kuhoji swali hilo ni some sort of ridiculous
Una akili sanaHuu uzi Moderator waupandishe juu uwe sticky thread au mods mnasemaje ?