Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa

Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.

Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki

Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Bila shaka hapa ulikua unafoka mate yanakuchuruzika
 
We Mzee Hujaacha Ubishi Na Wachezaji Wako Wa Tia Maji Tia Maji.[emoji23]
Huu uzi ulikuwa unazungukzia nyakati ambazo Kibu anafanya vizuri kuliko Mayele

Lakini watu wamesubiri mpaka mwaka upite ndio waanze kunisuta
 
Huu uzi ulikuwa unazungukzia nyakati ambazo Kibu anafanya vizuri kuliko Mayele

Lakini watu wamesubiri mpaka mwaka upite ndio waanze kunisuta
Mlisema mafuta yame anza kujitenga na maji sasa bado mnahuo msimamo?
 
Mlisema mafuta yame anza kujitenga na maji sasa bado mnahuo msimamo?
Tunatoa statistic kulingana na current perfomance ilivyo na ndio maana huu uzi sio wa leo

Kibu hapitii nyakati nzuri na hilo linafahamika sasa kuhoji swali hilo ni some sort of ridiculous
 
Tunatoa statistic kulingana na current perfomance ilivyo na ndio maana huu uzi sio wa leo

Kibu hapitii nyakati nzuri na hilo linafahamika sasa kuhoji swali hilo ni some sort of ridiculous
Bahati nzuri nisha kuzoea una wewe na Genta tofauti ni ndogo sana
 
Mpaka muda huu matokeo yaliyopatikana ni haya hapa:-

Kibu D aka Kibudenga magoli 0

Mayele Kalala Fiston magoli 8.

Hivyo naomba kuchukua nafasi hii kumpa tu Kibu Denis aka Kibudenga ushindi wa mezani. Maana nguvu na uwezo wa kushindana na Fiston Mayele, kwakweli hana.
 
Back
Top Bottom