ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Defensive striker [emoji23][emoji23]Kibu kwa sasa anafanya kazi aliyotumwa uwanjani ndiyo maana akiwa fit ana uhakika wa kuanza katika kikosi cha Simba. Hakuna mwanasimba au kocha wa Simba anayemlalamikia kwa kutofunga magoli maana hilo siyo jukumu lake la msingi.
Mwenye offensive mindsetDefensive striker [emoji23][emoji23]
Duh!Kibu hata Ihefu hapati namba ni kwa vile Simba mbovu
Mawakala mna kaziMwenye offensive mindset
Tunazungumza factsMawakala mna kazi
Kitu gambaniView attachment 2584811
Anamshangaa wakati akiwapaga ubavu tu wachezaji wenu wala ugali na sukari, huwa wanapepea tu hadi refa anawaitia faulo wakati ni ishu ya misuli tu kuzidiana.Hadi jamaa anashangaa
Kwa hili niacheTunazungumza facts
Nayo hiyo pia ni hekimaKwa hili niache
Amebadili jina kuficha mikosi na upumbavu wake ila haisaidii kitu maaana akili ni zilezileHiki kijamaa bhana! Eti kimeamua kujiita Chama Baleke!
Kast seen inaonesha mara ya mwisho ilikuwa ni saa 4:57 dakika chache kabla Inonga hajapiga ile headerKwa hili niache
Niletegemea wewe ndio ungekuwa wakwanzaHuu uzi natumaini leo kutakuwa na updates mpya.
Leo takwimu zinasemaje?Amebadili jina kuficha mikosi na upumbavu wake ila haisaidii kitu maaana akili ni zilezile
Utabiri wangu umetimia Kibu hakuniangusha kitakwimu yupo vizuri na ameimprove chini ya utawala wa Rabertinho ,kamuambia wewe ni Messi wangu piga kazi.Niletegemea wewe ndio ungekuwa wakwanza
Haya wakusanye wenzako mjadili tena
Kuna mwenzako kajiita Azizi Ki, bora we ulivyokuwa na machale ulikuwa mbele ya muda kuiona hii aibuHiki kijamaa bhana! Eti kimeamua kujiita Chama Baleke!
Humu tunatumia fake IDs, kila mtu anaweza akatumia I'D kulingana na sababu yake binafsi.Mimi ni mtu mzima. Hivyo sina sababu ya kujiita jina la mtu yeyote yule hapa duniani. Jina langu la Tate Mkuu linanitosha.
Kwa hiyo kesho atakuwa anaongoza Simba?Uto leo ndo mwisho wa kuongoza ligi