computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
HeheheheheView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheheheView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lini kilikuwa up?Sasa hapo tatizo liko wapi?
Au unaona sio sawa kwasababu ya kiwango cha Kibu saizi kipo down?
Alichofanya Leo Mbeya, mhhhh!Kibu hajawahi kuwa mchezaji wa maana ni basi tu makolo huwa wanasifia visivyo na maana.
Yanga mmeniandama sana, afu huu uzi umekuwa ukifufuliwa pale tu ambapo Simba kafanya vibaya au Mayele kafanya vizuriLini kilikuwa up?
Huyu ni Said Sued "Scud" wa kizazi hiki.
Ligi bado mbichi Mkuu tusimalize maneno yote tuweke na reserveMpaka muda huu matokeo yaliyopatikana ni haya hapa:-
Kibu D aka Kibudenga magoli 0
Mayele Kalala Fiston magoli 8.
Hivyo naomba kuchukua nafasi hii kumpa tu Kibu Denis aka Kibudenga ushindi wa mezani. Maana nguvu na uwezo wa kushindana na Fiston Mayele, kwakweli hana.
Namuombea msamaha Uzi usijadiliwe Tena.Huu uzi napenda kuupitia nikiwa na stress maana unachekesha mno. Kongole sana mkuu OKW BOBAN SUNZU kwa kuleta madini adhimu humu.
Huna mke wa kupiga mida hii mpaka unahangaika na mipira?Aiseee jamaa yangu OKW BOBAN SUNZU wewe una mikosi balaa... kila thread ukianzisha kuhusu Simba unaangukia pua . Inabidi ukaoge baharini na kujifukiza mnooo.
AiseeHuna mke wa kupiga mida hii mpaka unahangaika na mipira?
Basi mtani umeniweza ....wacha niende kwa shemeji yako nikasikie rahaHuna mke wa kupiga mida hii mpaka unahangaika na mipira?