Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Achana naye huyo ni mlevi tunamjua sisiWewe si uliwaomba Mods wabadilishe hiyo title
Siku ile aliyokuomba alikuwa tayari kapiga miwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana naye huyo ni mlevi tunamjua sisiWewe si uliwaomba Mods wabadilishe hiyo title
Haya leta takwimu za kwenye Derby kati ya Mayele na KibuHivi Mayele kwenye Derby ndio mlisema alikuwa ana injury hakuwepo?
Hii jamiiforums sio ya wahuni.Rudisheni title ya mwanzo hii uzi umepoteza ladha
Uhuni upi unazungumiziaHii jamiiforums sio ya wahuni.
Ningeleta lakini Derby ya mwisho mmoja hakuchezaHaya leta takwimu za kwenye Derby kati ya Mayele na Kibu
Title imerudishwa ilivyokuwa zamaniAchana naye huyo ni mlevi tunamjua sisi
Siku ile aliyokuomba alikuwa tayari kapiga miwa
Kumbe mods mnatunza risiti ,nimekumbuka na najutia maamuzi yangu.Wewe si uliwaomba Mods wabadilishe hiyo title
Ilikuaje mkuu ulitaka kuchomoa betriKumbe mods mnatunza risiti ,nimekumbuka na najutia maamuzi yangu.
Nisamehe sana wakereketwa wa uzi huu mimi nilisema kiutani ili mods wafiche aibu ya mleta uzi sikujua kuwa litachukuliwa siriazi hili swala.
Sawa wacha waridhikeTitle imerudishwa ilivyokuwa zamani
Hii timu ina walevi wengiKumbe mods mnatunza risiti ,nimekumbuka na najutia maamuzi yangu.
Nisamehe sana wakereketwa wa uzi huu mimi nilisema kiutani ili mods wafiche aibu ya mleta uzi sikujua kuwa litachukuliwa siriazi hili swala.
Kongole kwa kusikiliza wananchi.Title imerudishwa ilivyokuwa zamani
Asiwasumbue, acheni hivyo hivyo.Wewe si uliwaomba Mods wabadilishe hiyo title
Khaaaaaah wee tenaaaa??Kumbe mods mnatunza risiti ,nimekumbuka na najutia maamuzi yangu.
Nisamehe sana wakereketwa wa uzi huu mimi nilisema kiutani ili mods wafiche aibu ya mleta uzi sikujua kuwa litachukuliwa siriazi hili swala.
Kuna ombi jingine ,kama inawezekana tunaomba huu uzi uwe sticky thread pale juu kwa vizazi vijao kukumbuka umuhimu wa Takwimu, tuko radhi hata uzi wa Arsenyanus ufutwe maana wametelekeza jukwaa lao .Wewe si uliwaomba Mods wabadilishe hiyo title
We ebu acha ulimbukeni kwa vitu vidogo afu vya kipuuzi.Kuna ombi jingine ,kama inawezekana tunaomba huu uzi uwe sticky thread pale juu kwa vizazi vijao kukumbuka umuhimu wa Takwimu, tuko radhi hata uzi wa Arsenyanus ufutwe maana wametelekeza jukwaa lao .
Hizi ni hatua za mtoano sio kufungana zingatia hiloWe ebu acha ulimbukeni kwa vitu vidogo afu vya kipuuzi.
Simba imemfunga Bingwa mtetezi wa Club Bingwa na mitaa ina amani
Simba ilishinda goli 7, kwenye hizo 7 na hattrick ikiwemo na hakukuwa na usumbufu kwa mods.
Yeah, wakati huo unapima na uwezo wa opponent wako.Hizi ni hatua za mtoano sio kufungana zingatia hilo
Mitaa ina amani kwa sababu inajua kinachoenda kuwakuta uarabuni.We ebu acha ulimbukeni kwa vitu vidogo afu vya kipuuzi.
Simba imemfunga Bingwa mtetezi wa Club Bingwa na mitaa ina amani
Simba ilishinda goli 7, kwenye hizo 7 na hattrick ikiwemo na hakukuwa na usumbufu kwa mods.