Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kongole kwa kusikiliza wananchi.
Umeniquote mimi. Ndio maana nimekujibu!Soma niliyemquote ndio utaelewa
Uwezo gani?Alikandwa kwa sababu alizidiwa uwezo, full stop!
Kama Rivers alibahatisha, basi hata hawa waliomfunga Wydad jana nao walibahatisha.
Haya turudi kwenye takwimu za Kibu Vs Mayele!
Ndio, kumfunga Wydad sio big deal. Simba wamemfunga, na hata Rivers pia walimfunga.Wewe si ndiyo umesema "Itoshe kusema kwamba, kucheza na Wydad sio big deal", au nimekufananisha? Sasa kiongozi wako anapoitaja Wydad tena bila kuulizwa kuwa ni kipimo cha ubora anakosea?
Na hii tabia ya kulinganisha matokeo tulishawaonya muiache hamsikii tu.
Uwezo wao huohuo ulitosha kumfunga Wydad 2-1. Haikua mechi ya siri, ilichezwa hadharani!Uwezo gani?
We mwenyewe ulikuwa unaangali mechi ya leo, umeona uwezo gani pale?
Ina maana Wydad walicheza kiwango kilichozidiwa na Rivers na bado hutaki kubadilisha kauli kuwa ile ni game ambayo Wydad hakuamua?Uwezo wao huohuo ulitosha kumfunga Wydad 2-1. Haikua mechi ya siri, ilichezwa hadharani!
Mini nadhani kilichotokea kati ya Rivers na Wydad, ndicho kilichotokea kati ya Simba na Wydad. Sasa amua wewe, ni bahati au uwezo?
Usiishie kwa Rivers, malizia na kwa Simba kwamba Wydad hawakuamua!Ina maana Wydad walicheza kiwango kilichozidiwa na Rivers na bado hutaki kubadilisha kauli kuwa ile ni game ambayo Wydad hakuamua?
Hawa hata msingefunga, wangejifunga tu
Kwa mantiki hiyo sisi ni wababe kuliko maana tumemfunga pia Yanga iliyomfunga TP Mazembe, Monastir, Bamako na Rivers.Ndio, kumfunga Wydad sio big deal. Simba wamemfunga, na hata Rivers pia walimfunga.
Mnatutambia kwamba nyinyi ni wababe kwakua mmemfunga Wydad, ndio maana nawakumbusha hata Rivers walimfunga Wydad.
Hebu turudi kwenye takwimu za Kibu Vs Mayele!
Pale mod wanapokuwa wana lunyasiActive Mhariri Paw Moderator Mhariri Maxence Melo Boqin Cookie , inakuwa vipi mnafanya hujuma katika uzi huu na kubadilisha heading iliyodumu takribani mwaka mzima na kufuta post humu ?
Je uhuru wa maoni uko wapi wakati hatujaandika matusi wala kumshambulia mtu isipokuwa takwimu tu ?
Turudishieni heading yetu neno "Zingatia uchungu "liwepo maana huku ni kuondoa uhalisia la sivyo tutaamini kuwa hata mods mnapewa bahasha ..
Simba ndio haikuamua, na ndio maana mashabiki wanawasiwasi kwasababu ya zile nafasi za wazi ambazo tulikosa magoli.Usiishie kwa Rivers, malizia na kwa Simba kwamba Wydad hawakuamua!
Hapo tutakubaliana!
Rasmi wewe ndiye admin wa uzi huu ,umefuatilia mpaka kugundua mabadiliko wakati wengi tuliona kawaida tu.Kumbe tuna nguvu [emoji16][emoji16]
Unataka kusema ihefu pia ni mbabe wa hizo timu sababu alimfunga YangaKwa mantiki hiyo sisi ni wababe kuliko maana tumemfunga pia Yanga iliyomfunga TP Mazembe, Monastir, Bamako na Rivers.
Nimekwambia wanne kati ya hao 8Nakupa demo kwanza
Ahmed Reda Tagnaouti
DF: Yahia Attiat Allah
Yahya Jabrane
Halafu hapo ukumbuke kocha wa Morocco alikuwa ni Walid Regragui ambaye ni former coach wa Wydad
Hapo ni kwa uchache tu sijataka kujaza server
Nimekupa demo kwanzaNimekwambia wanne kati ya hao 8
Demo ya nini leta full packageNimekupa demo kwanza
Kwa hisani ya boban mwenyewe 😁Rasmi wewe ndiye admin wa uzi huu ,umefuatilia mpaka kugundua mabadiliko wakati wengi tuliona kawaida tu.
Nimesema hivyo kwa sababu huyo na wenzake wanapenda kufanya malinganyisho ya namna hiyo.Unataka kusema ihefu pia ni mbabe wa hizo timu sababu alimfunga Yanga
hahahaha,mtaniNaombeni mnisaidie kumuangalia Kibu jamani. 🤣🤣🤣View attachment 2584953