Takwimu za Yanga msimu uliopita Round ya kwanza

Takwimu za Yanga msimu uliopita Round ya kwanza

Hivi unaangaliaga mpira kweli?

Huoni bado tofauti ya Yanga ya msimu ulopita na ya msimu huu?
Tofauti yake ni nini!? Yanga ya last year alikuwepo kisinda. Moroco karibii hata nusu kisinda. Mayele alikuwepo. Hebu nibie kipya ni kipi!? Kunga mechi nne!!! Hahahahhaha
 
Tofauti yake ni nini!? Yanga ya last year alikuwepo kisinda. Moroco karibii hata nusu kisinda. Mayele alikuwepo. Hebu nibie kipya ni kipi!? Kunga mechi nne!!! Hahahahhaha
Nimeona wewe ni wakupuuziwa tu kama hujui hata mayele kaja msimu gani?

Kingine jifunze kuandika sentensi zinazoeleweka sasa hapo juu umeandika nini?
 
Nimeona wewe ni wakupuuziwa tu kama hujui hata mayele kaja msimu gani?

Kingine jifunze kuandika sentensi zinazoeleweka sasa hapo juu umeandika nini?
Fiston Mayele. Tuliwagonga kigoma mkiwa na Fiston.
 
Tofauti yake ni nini!? Yanga ya last year alikuwepo kisinda. Moroco karibii hata nusu kisinda. Mayele alikuwepo. Hebu nibie kipya ni kipi!? Kunga mechi nne!!! Hahahahhaha
Tofauti ipo kubwa sana, msimu uliopita. tukianza na wachezaji ni kwamba kulikuwa na wachezaji walio na kiwango bora lakini pia kulikuwa na rundo la wachezaji wasiokuwa na ubora.
Kaseke
Adeyuni
Mukoko
Nchimbi
Farid musa
Mauya

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa wachezaji wanaotegemewa kwenye kikosi cha Yanga kupata matokeo au kubadilisha mchezo, lakini hao wote wamekuwa wasuguaji wa benchi kwa sasa hadi Mukoko ambaye aliimbwa sana msimu uliopita hivyo unaona ni quality ya wachezaji waliosajiliwa na Yanga.

La pili ni performance ya timu. Kwa misimu kadhaa iliyopita performance inaoneshwa na Yanga kwenye mchezo wa wiki ya wananchi haitotokea tena kuonekana kiwango kama kile katika mechi yoyote ile ya Yanga lakini saivi unaona utofauti. Yanga wanaonesha kuimarika mechi hadi mechi hivyo kadri siku inavyoenda timu inakuwa imara angalia aina ya mpira unaochezwa na Yanga siku hadi siku wanazidi kubadilika, anzia kwa soka waliochezewa Simba mpaka kufikia jana kwa Azam.

Tatu ni kwamba Yanga walikuwa wanafeli kwa kutokuwa na wachezaji mbada (ufinyu wa wachezaji) na ndio maana Yanga walikata moto kwenye mzunguko wa pili kwavile wachezaji walitumia nguvu nyingi sana mzunguko wa kwanza hivyo wakachoka. Ila kikosi kingekuwa kipana wangefanya rotation ya wachezaji. Saivi unaona ni tofauti Bangala kiungo anacheza beki anacheza. Mukoko hana nafasi kikosi cha kwanza lakini atatumika kwenye rotation ya timu kama ilivyo kwa wachezaji wengineo
 
Tofauti yake ni nini!? Yanga ya last year alikuwepo kisinda. Moroco karibii hata nusu kisinda. Mayele alikuwepo. Hebu nibie kipya ni kipi!? Kunga mechi nne!!! Hahahahhaha
Washabiki wengi wa mikia ni std 7
 
Tofauti ipo kubwa sana, msimu uliopita. tukianza na wachezaji ni kwamba kulikuwa na wachezaji walio na kiwango bora lakini pia kulikuwa na rundo la wachezaji wasiokuwa na ubora.
Kaseke
Adeyuni
Mukoko
Nchimbi
Farid musa
Mauya

Hawa ndio walikuwa miongoni mwa wachezaji wanaotegemewa kwenye kikosi cha Yanga kupata matokeo au kubadilisha mchezo, lakini hao wote wamekuwa wasuguaji wa benchi kwa sasa hadi Mukoko ambaye aliimbwa sana msimu uliopita hivyo unaona ni quality ya wachezaji waliosajiliwa na Yanga.

La pili ni performance ya timu. Kwa misimu kadhaa iliyopita performance inaoneshwa na Yanga kwenye mchezo wa wiki ya wananchi haitotokea tena kuonekana kiwango kama kile katika mechi yoyote ile ya Yanga lakini saivi unaona utofauti. Yanga wanaonesha kuimarika mechi hadi mechi hivyo kadri siku inavyoenda timu inakuwa imara angalia aina ya mpira unaochezwa na Yanga siku hadi siku wanazidi kubadilika, anzia kwa soka waliochezewa Simba mpaka kufikia jana kwa Azam.

Tatu ni kwamba Yanga walikuwa wanafeli kwa kutokuwa na wachezaji mbada (ufinyu wa wachezaji) na ndio maana Yanga walikata moto kwenye mzunguko wa pili kwavile wachezaji walitumia nguvu nyingi sana mzunguko wa kwanza hivyo wakachoka. Ila kikosi kingekuwa kipana wangefanya rotation ya wachezaji. Saivi unaona ni tofauti Bangala kiungo anacheza beki anacheza. Mukoko hana nafasi kikosi cha kwanza lakini atatumika kwenye rotation ya timu kama ilivyo kwa wachezaji wengineo
Umeandika maelezo marefu sana.
Leta statistic ya wachezaji ulionao Mzee.
Kuna makelele na hali halisi.

Kelele hizi mwaka jana zilipigwa sana. Mlileta piki piki Kisinda ilikuwa inakimbia kweli. Lakini wapi.

Football ni strategy kijana siyo makelele.
Kwenye team yenu nani anaweza kumzuia Morrison!?
Nani anaweza Kumzuia Bwalya
Nani naweza kupimana Nguvu na Mushimba!?
Nani atawezana na Mapafu ya Mzamiru!?

Aucho na Niyonzima ni wale wale tu. Hawawezi kukaa na Mpira.

Hapo Nyuma niambie ni center Back yupi anyeweza kuhimili mikikimikiki!?
Mzee ligi ndio imeanza.

Mzee Djuma akikimbizwa na Dilunga mara mbili tu hoi. Hiyo ni pacha Mzee. Haiwezi maliza msimu.


NAKUMBUKA KIKOMBE CHA MAPIMDUZI HUKO ZANZIBAR KILIWALEWESHA SANA MKATANGAZA MMEANZA KUCHUKUA MAKOMBE.
 
Umeandika maelezo marefu sana.
Leta statistic ya wachezaji ulionao Mzee.
Kuna makelele na hali halisi.

Kelele hizi mwaka jana zilipigwa sana. Mlileta piki piki Kisinda ilikuwa inakimbia kweli. Lakini wapi.

Football ni strategy kijana siyo makelele.
Kwenye team yenu nani anaweza kumzuia Morrison!?
Nani anaweza Kumzuia Bwalya
Nani naweza kupimana Nguvu na Mushimba!?
Nani atawezana na Mapafu ya Mzamiru!?

Aucho na Niyonzima ni wale wale tu. Hawawezi kukaa na Mpira.

Hapo Nyuma niambie ni center Back yupi anyeweza kuhimili mikikimikiki!?
Mzee ligi ndio imeanza.

Mzee Djuma akikimbizwa na Dilunga mara mbili tu hoi. Hiyo ni pacha Mzee. Haiwezi maliza msimu.


NAKUMBUKA KIKOMBE CHA MAPIMDUZI HUKO ZANZIBAR KILIWALEWESHA SANA MKATANGAZA MMEANZA KUCHUKUA MAKOMBE.
Unaonekana ulikuwa gerezani sijui gereza la segerea au la wapi haukujua kilitokea nini duniani, hauna habari kuwa Yanga imemfunga Simba goli moja kwenye ufunguzi wa pazia la ligi kuu (ngao ya Jamii ) bwalya alikuwepo, Mugalu nae alikuwepo, sakho alikuwepo, kanoute alikuwepo. Kocha wenu mliyemtimua akapagawa akaweka washambuliaji watatu kwa pamoja ili wapate goli lakini wapi. Ndio siku ya kwanza washabiki wa Simba kukiri kwa mara ya kwanza kuwa biriani la msimbazi linapigwa na Utopolo. Sio kwamba Simba walifungwa tu bali walichezea mpira mkubwa sana na Yanga
 
Umeandika maelezo marefu sana.
Leta statistic ya wachezaji ulionao Mzee.
Kuna makelele na hali halisi.

Kelele hizi mwaka jana zilipigwa sana. Mlileta piki piki Kisinda ilikuwa inakimbia kweli. Lakini wapi.

Football ni strategy kijana siyo makelele.
Kwenye team yenu nani anaweza kumzuia Morrison!?
Nani anaweza Kumzuia Bwalya
Nani naweza kupimana Nguvu na Mushimba!?
Nani atawezana na Mapafu ya Mzamiru!?

Aucho na Niyonzima ni wale wale tu. Hawawezi kukaa na Mpira.

Hapo Nyuma niambie ni center Back yupi anyeweza kuhimili mikikimikiki!?
Mzee ligi ndio imeanza.

Mzee Djuma akikimbizwa na Dilunga mara mbili tu hoi. Hiyo ni pacha Mzee. Haiwezi maliza msimu.


NAKUMBUKA KIKOMBE CHA MAPIMDUZI HUKO ZANZIBAR KILIWALEWESHA SANA MKATANGAZA MMEANZA KUCHUKUA MAKOMBE.
Wewe ni hamnazo unataka statistics wakati vitu viko wazi
Yanga kacheza mechi nne
Hawajaruhusu goli lolote
Wameshinda mechi nne
Wametupia magoli sita mpaka sasa
 
Anza kufwatilia mpira sasa naona kama unahadithiwa

Yule hakua Fiston mayele ( Congo DRC) bali yule ni Fiston abdulrazakh ( Burundi)
Huyu jamaa nimegundua ni mfuatilia wa rede na sio mpira wa miguu. Yaani anasema Mayele alikuwepo kigoma halafu anajitapa kuwa kikosi cha Yanga kingekutana na akina dilunga, bwalya, Mugali tusingetoka. Wakati tumewachapa na tukawapigia mpira mwingi tu na hao wote walikuwepo. Huyu ni kilaza aisee
 
Unaonekana ulikuwa gerezani sijui gereza la segerea au la wapi haukujua kilitokea nini duniani, hauna habari kuwa Yanga imemfunga Simba goli moja kwenye ufunguzi wa pazia la ligi kuu (ngao ya Jamii ) bwalya alikuwepo, Mugalu nae alikuwepo, sakho alikuwepo, kanoute alikuwepo. Kocha wenu mliyemtimua akapagawa akaweka washambuliaji watatu kwa pamoja ili wapate goli lakini wapi. Ndio siku ya kwanza washabiki wa Simba kukiri kwa mara ya kwanza kuwa biriani la msimbazi linapigwa na Utopolo. Sio kwamba Simba walifungwa tu bali walichezea mpira mkubwa sana na Yanga
🤣🤣🤣Kwani yanga ni mara ya kwanza kuifunga Simba!?

Au unaongea ukiwa umevuta bangi Mzee.
Mbona hata msimu uliopita mliifunga simba. Kwani mlichukua kombe!?

Moira ni strategy Mzee siyo kupiga makelele na Mzee Mpili. Ligi imeanza hao wazee wenu muda si mrefu mtaanza kupiga kelele.

NIKAWAIDA YENU TUMEWAZOEA KUPIGA KELELE.

Ukweli Yanga ya last time na hii ni zilezule tu.

Mlimlet Mchezaji kutoka Angola mtoto wa watu mkawa mnampeleka kwa waganga wa kienyeji achanjwe chale.
 
Huyu jamaa nimegundua ni mfuatilia wa rede na sio mpira wa miguu. Yaani anasema Mayele alikuwepo kigoma halafu anajitapa kuwa kikosi cha Yanga kingekutana na akina dilunga, bwalya, Mugali tusingetoka. Wakati tumewachapa na tukawapigia mpira mwingi tu na hao wote walikuwepo. Huyu ni kilaza aisee
🤣🤣🤣Mpira mpaka muende kwa kina Mzee Mpili ndio mcheze.
Kwani ni mara ya kwanza kuifunga simba!? Sisi tunachukua makombe makubwa makubwa nyie ni wasindikizaji wetu.

Mechi mlizocheza ni 4 tu bado 26. Magoli mliyofunga ni sita tu.
Sisi leo ndio tunaanza sasa tuna piga mtu goli 10.
 
Hawa yanga aka UTOPOLO tulishawazoea na kelele zao za mwanzo wa ligi.

Ndio muda wao wa kufurahi na kupiga kelele. Hii ni kawaida ya chura kuzomea kupiga kelele ili Mnyama wasiweze kunywa maji.

Kweli tabia ya chura imewaingia vizuri washabiki wa UTOPOLO.

Hii hapa ni takwimu za list season round 1.
View attachment 1993427

Wanasimba wenzagu walamsiwasikilize hawa vyura ndio tabia yao ya kupiga kelele. Sisi tuendelee kushikamana wao waendelee kupiga kelele.
Hizi takwimu zipo sahihi, ila unachosahau ni kitu kimoja mtani, mambo ya msimu sio sawa na ya msimu uliopita.

Msimu uliopita round ya kwanza, Yanga walikuwa unbeaten lakini ulikuwa ukiangalia uchezaji wao wala haukuwa na mipango. Magoli hayakuwa ya kutengenezwa. Msimu huu japo ni mapema sana, ila dalili zinaonekanaga asubuhi. Yanga pasi wanapiga, magoli wanafunga, beki zinakaba na kumlinda kipa vizuri.

Tukiwaangalia watani wetu, nyie ndio mmekuwa kama Yanga ya msimu uliopita, matokeo mnapata ila kwa jasho sana. Tuweke ushabiki pembeni katika ili mtani.

Yanga wamesajili wachezaji wengi, lakini wamezingatia sana mahitaji yao uwanjani. Wameondoa wachezaji wengi, na wamekuwa replaced na wengi.

Simba mmesajili wachezaji wengi lakini sidhani kama mliangalia mashimo au uhitaji wenu. Wameondoka Chama, Miquison na Chikwende, lakini mliowaleta ni wengi mno as if viongozi walikuwa wanajaribu kuwalidhisha mashabiki badala ya kuangalia uhitaji.

Wawa, Nyoni, Onyango, Kagere na Boko hawa wote hawatakiwi kucheza dakika 90 kama ilivyokuwa hapo hawali. Walau Onyango ni mzee lakini anajituma sana uwanjani, ila hao waliobaki wakipigiwa pass mbali na walipo, hawajisumbui kukimbia. Wawa anakabia macho, Boko anasimama sana uwanjani.

Mtani unajaribu kuficha madhaifu ya timu yako kwa kuangalia takwimu za mwaka jana. Basi ili kujisaidia, chukua takwimu zenu za mwaka jana pia alaf zilinganishe na mwaka huu, hapo utaona wazi msimu kuna tofauti sana.
 
Kwenye team yenu nani anaweza kumzuia Morrison!?
Nani anaweza Kumzuia Bwalya
Nani naweza kupimana Nguvu na Mushimba!?
Nani atawezana na Mapafu ya Mzamiru!?

Aucho na Niyonzima ni wale wale tu. Hawawezi kukaa na Mpira.

Hapo Nyuma niambie ni center Back yupi anyeweza kuhimili mikikimikiki!?
Mzee ligi ndio imeanza.

Mzee Djuma akikimbizwa na Dilunga mara mbili tu hoi. Hiyo ni pacha Mzee. Haiwezi maliza msimu.
.
Soma ulichoandika halafu unajifanya unaujua mpira Wewe ni shabiki wa rede
 
Hizi takwimu zipo sahihi, ila unachosahau ni kitu kimoja mtani, mambo ya msimu sio sawa na ya msimu uliopita.

Msimu uliopita round ya kwanza, Yanga walikuwa unbeaten lakini ulikuwa ukiangalia uchezaji wao wala haukuwa na mipango. Magoli hayakuwa ya kutengenezwa. Msimu huu japo ni mapema sana, ila dalili zinaonekanaga asubuhi. Yanga pasi wanapiga, magoli wanafunga, beki zinakaba na kumlinda kipa vizuri.

Tukiwaangalia watani wetu, nyie ndio mmekuwa kama Yanga ya msimu uliopita, matokeo mnapata ila kwa jasho sana. Tuweke ushabiki pembeni katika ili mtani.

Yanga wamesajili wachezaji wengi, lakini wamezingatia sana mahitaji yao uwanjani. Wameondoa wachezaji wengi, na wamekuwa replaced na wengi.

Simba mmesajili wachezaji wengi lakini sidhani kama mliangalia mashimo au uhitaji wenu. Wameondoka Chama, Miquison na Chikwende, lakini mliowaleta ni wengi mno as if viongozi walikuwa wanajaribu kuwalidhisha mashabiki badala ya kuangalia uhitaji.

Wawa, Nyoni, Onyango, Kagere na Boko hawa wote hawatakiwi kucheza dakika 90 kama ilivyokuwa hapo hawali. Walau Onyango ni mzee lakini anajituma sana uwanjani, ila hao waliobaki wakipigiwa pass mbali na walipo, hawajisumbui kukimbia. Wawa anakabia macho, Boko anasimama sana uwanjani.

Mtani unajaribu kuficha madhaifu ya timu yako kwa kuangalia takwimu za mwaka jana. Basi ili kujisaidia, chukua takwimu zenu za mwaka jana pia alaf zilinganishe na mwaka huu, hapo utaona wazi msimu kuna tofauti sana.
Mzee mipango ipi hiyo KuIfunga Geita Gold, Kuifunga KMC!?

Timu bora inafunga bao nyingi siyo hizo za kupewa na refa. Ile ya kagera mlipewa refa.

Ya AZAM refa kawabeba sana. IDD Nardo kaangushwa ndani ya pernat lakini lefa kapeta.

Nitajie nichezaji yupo bora mliye sajili wa kumzidi Kisinda!?
Mchezaji yupi mliyesajili wa kumzid Niyonzima!?
Mchezaji yupi mliye sajili wakumzidi Cortino!?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpira mpaka muende kwa kina Mzee Mpili ndio mcheze.
Kwani ni mara ya kwanza kuifunga simba!? Sisi tunachukua makombe makubwa makubwa nyie ni wasindikizaji wetu.

Mechi mlizocheza ni 4 tu bado 26. Magoli mliyofunga ni sita tu.
Sisi leo ndio tunaanza sasa tuna piga mtu goli 10.
Usiame hoja, wewe ulisema wakina Djuma shabani hawawezi wakina Bwalya, Dilunga, Mugalu. Tumewachapa na hao wakiwepo vipi una la kusema tena?

Mzee mpili angekuwa na msaada basi tungekuwa hatufungwi na timu yoyote duniani.

Kuwafanya coastal union hata magoli mia hata haitustui kwasababu tunajua ni tawi la Simba kama ilivyokuwa Toto Africa kwa Yanga
 
Usiame hoja, wewe ulisema wakina Djuma shabani hawawezi wakina Bwalya, Dilunga, Mugalu. Tumewachapa na hao wakiwepo vipi una la kusema tena?

Mzee mpili angekuwa na msaada basi tungekuwa hatufungwi na timu yoyote duniani.

Kuwafanya coastal union hata magoli mia hata haitustui kwasababu tunajua ni tawi la Simba kama ilivyokuwa Toto Africa kwa Yanga
Naona unaanza kuhamisha mada.
Kabla sijasahau. Hebu yataje matawi ya simba yote kabla hatujaendelea na ligi.
 
Back
Top Bottom