Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
The wait is over, now the question is who is defeated?Ok, Let's Wait Then We Will See Who Will Be A Loser This Time [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The wait is over, now the question is who is defeated?Ok, Let's Wait Then We Will See Who Will Be A Loser This Time [emoji23]
Hahahaa ndondokela,hebu kazana tukutane final federation,japo najua Azam atakukwamishaBila shaka saizi umeanza kunielewa
Sawa ila hakikisheni safari hii misiba inapunguaHahahaa ndondokela,hebu kazana tukutane final federation,japo najua Azam atakukwamisha
Jamaa gani?huyu jamaa kakimbilia wapi[emoji38][emoji38]
Kwa Simba iliyofanya zahma hiiInawezekana wamesahau, lakini kwa Simba IPI labda?
Yes you said. Kwahiyo unamaanisha kufungwa na nyie ile juzi ndio tumepoteana? Au sijakuelewa?Once upon a time nilisema hii kitu
We mwenyewe si unaona lakiniYes you said. Kwahiyo unamaanisha kufungwa na nyie ile juzi ndio tumepoteana? Au sijakuelewa?
Inategemea naona nini au ww unataka nione nini.We mwenyewe si unaona lakini
Baada ya Ally Kamwe kusema jumapili wao hawachezi Derby bali wanakuja kutukanda, Haji Manara kamdhihaki Ally Kamwe.Inategemea naona nini au ww unataka nione nini.
Maana kufungwa kwenye derby sio kipimo Cha udhaifu wa timu nyingine. Kipindi mnachukua miaka 4 mfululizo, nadhani ulikuwa unaona derby zilivyokuwa ngumu kwenu.
Mmetufunga sisi, lakini utashangaa unaenda kupoteza mechi na timu ndogo kwenye ligi. Yanga hatujapoteana mkuu 😅😅
Mbona hii haihusiani na tulichokuwa tunajadili?Baada ya Ally Kamwe kusema jumapili wao hawachezi Derby bali wanakuja kutukanda, Haji Manara kamdhihaki Ally Kamwe.
Punguzeni porilai mtadhalilika
View attachment 2591726