u.gsm.anaachia ngazi.mtalipana matikitiZa down down,naskia Muddy kabla huu mwaka hujapinduka anaachia timu mazima,mnamtia hasara hakuna anachopata na hela zenyewe sio zake ni za familia,asa wachezaji watalipwa na nani na Hans Pope kasha die[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Simba timu ya Mudi na familia yake..
AzamNaona unaanza kuhamisha mada.
Kabla sijasahau. Hebu yataje matawi ya simba yote kabla hatujaendelea na ligi.
Haya yale ya Yanga ni yapi!?Azam
Namungo
Coastal union
Inawezekana wamesahau, lakini kwa Simba IPI labda?Wepesi kusahau sana
Swali zuri ila jibu lake tusubiri saa 3Inawezekana wamesahau, lakini kwa Simba IPI labda?
Yanga hawana tawi kwa sasaHaya yale ya Yanga ni yapi!?
Hebu tuambie wale Namungo wanaodhaminiwa GSM hebu toa maelezo hapo. Zile pesa zilizokuwa zinatolewa na GSM kuwavunja miguu wachezaji wa simba walipewa timu gani kweli!?Yanga hawana tawi kwa sasa
Gari ndo limewaka GSM hawajitoi leo wala kesho.Uaha
u.gsm.anaachia ngazi.mtalipana matikiti
GSM aka Home Shopping wazee wa kuuza ngada.Gari ndo limewaka GSM hawajitoi leo wala kesho.
Si mlidanganyana kuwa Yanga inacheza kipindi cha kwanza cha pili inakata pumziLabda kwa asiyeijua yanga
Tupe kwanza uthibitisho kuwa waliotoa pesa ni GSMHebu tuambie wale Namungo wanaodhaminiwa GSM hebu toa maelezo hapo. Zile pesa zilizokuwa zinatolewa na GSM kuwavunja miguu wachezaji wa simba walipewa timu gani kweli!?
AiseeeMbona pia uto nayo ya garibu
Endeleeni kuhangaika na takwimu wakati sie tukiwa serious na maandalizi ya mechi zetu..Halafu mkishushiwa vitu vizito tena kwenye mechi zenu muanze kuitana wasaliti na kufukuza makocha.... shubaaaaaaaamitHawa yanga aka UTOPOLO tulishawazoea na kelele zao za mwanzo wa ligi.
Ndio muda wao wa kufurahi na kupiga kelele. Hii ni kawaida ya chura kuzomea kupiga kelele ili Mnyama wasiweze kunywa maji.
Kweli tabia ya chura imewaingia vizuri washabiki wa UTOPOLO.
Hii hapa ni takwimu za list season round 1.
View attachment 1993427
Wanasimba wenzagu walamsiwasikilize hawa vyura ndio tabia yao ya kupiga kelele. Sisi tuendelee kushikamana wao waendelee kupiga kelele.
Hongera sana kwa ushindi wa goli kumi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpira mpaka muende kwa kina Mzee Mpili ndio mcheze.
Kwani ni mara ya kwanza kuifunga simba!? Sisi tunachukua makombe makubwa makubwa nyie ni wasindikizaji wetu.
Mechi mlizocheza ni 4 tu bado 26. Magoli mliyofunga ni sita tu.
Sisi leo ndio tunaanza sasa tuna piga mtu goli 10.
Imewekwa kwenye kumbukumbu kwa matumizi ya baadaye.Utoh wana match tatu tuu!! Wataanza kumtafuta mchawi
we ni shabiki maandazi,mpira hujui umebak kubwabwaja tu.Hata wachezaji wenyewe huwafatilii....hii ndio shida ya hii mitandao.Unaweza kuwa unabishana na jitu puuzi tu.Fiston Mayele. Tuliwagonga kigoma mkiwa na Fiston.