Talaka inavyoniaribia Binti yangu mapemašŸ’”

Talaka inavyoniaribia Binti yangu mapemašŸ’”

AiseešŸ¤” MUNGU amlinde huyo mtoto wa kike.

Wazazi ni wajinga kabisa, hizi ni ndoa za ujanani au ndoa za fasheni. Watu mmezaa na watoto bado mnafikiria kuachana, kwasababu zipi za msingi?

Nyinyi wote ni viazi, akili zenu zinafanana.

Mwambiy huyo mjinga mwenzako, mlikuwa hamna sababu ya msingi ya kutengana, hakuna Jambo ambalo lilikuwa la msingi Kama kulea watoto.
Mi sikukasirikii coz naelewa unachokizungumza ila ukweli ni kwamba kuvunjika kwa ndoa si sababu ya fashion ama umri mdogo Bali ni upumbavu wa mwanamke... Nilipambana saana kuokoa ikashindikana
 
Kweli mkuu! Watoto wanatofautina uelewa.
Nakumbuka mimi kijana wangu alinipa wakati mgumu sana alipokuwa na miaka mitano. Alikuwa akiuliza maswali magumu na yenye kutaka majibu sahihi.
Lakini pacha mwenzie ambaye ni wa kike hakuwa na mambo hayo.
Kuna wakati nilikuwa naona aibu tunabaki tunaangaliana na mama yake.
Yap sisi tulikua tunakimbilia chumban kwetu tukigongwa maswali ya utosi
 
Mpaka hapo kakua ndo anakoelekea pia...mi mwanangu wa kiume ni miaka 9 pia lakini hathubutu kuniuliza maswali ambayo anajua yataniumiza japo najua anatamani kujua mengi ila anahuruma sana...huwa ananiangalia sana machoni kujua hali yangu au mood yangu.Ni mwema kwa kweli.
Kiukweli watoto wanaumia saana na nakumbuka wakati NAMI nakua bila baba nilimpa wakati mgumu saana mama yangu
 
Pole sana kwa changamoto hio.
Binti yako baada ya kujazwa hio sumu na mama yake. Basi nayeye kaanza kuona kilicho mtokea mama yake kinaweza kumtokea na yeye ndo maana hatamani kuzaa wala kuolewa. Mpe muda akikua ata Elewa
Kitu kingine mpige stop huyo Ex wako maana anakuaribia familia yako na hapendi furaha na maendeleo yake. Kata kabisa mazoea nae. Ishu ya feminism ina waharibu eti No marriage no Stress
Ni kweli na sku hizi kabaki kutembea na vipimio vya HIV anakazi ya kupima majamaa yanayomkaza bila mwelekeo... She is total frustrated
 
Nnaimani mnaendelea vizuri wanajamii forum,

Kama kawaida yangu kuwaleteeni Mikasa inayonitokea kwenye maisha yangu, sababu hapa ndio sehemu pekee nisiyojulikana uhalisia wangu, napata uhuru zaidi wa kufunguka ili kupata ushauri wa kunikosoa na kuniita moyo.

Ni hivi baada ya kutengana na aliyekua mke wangu, Sasa tunaelekea mwaka wa nne, na muda si mrefu tunakamilisha talaka.

Hapo awali mwanamke aling'ang'ania kukaa na watoto kitu ambacho kiliniumiza saana. lakini nikacheza na akili yake kiasi Cha yeye mwenyewe kutamka kuniachia watoto wangu niishi nao.

Hata hivyo nilishapata mwanamke kutoka nchi jirani ambaye niliamini ataishi vizuri na watoto wangu Hawa wadogo baada ya kua nae kwenye mahusiano kwa kipindi Cha mwaka kabla hajarudi kwao.

Nilimsafirisha kutoka nchini kwao Hadi hapa Tz na Sasa ananilelea watoto, na watoto wangu naona wakipendeza japo huyu Binti angu akibadilika badilika mood.

Mama Yao (mtalaka) aliumia saana kiskia kuna mwanamke naenda kuishi nae, kitu ambacho alitaka aje ampe masharti (kumtisha) huyu mwanamke wangu mpya (step mother) endapo hatoishi vizuri na watoto wake, kitu ambacho Mimi nilimkataza.

akasema anajua atakachofanya kwa watoto maana atawajaza sumu ili wajilinde dhidi ya huyo step mother wao hili nalo nilimuonya lakini nadhani alilifanya kwakua Kuna mambo napambana nayo Sasa nadhani ni matokeo ya hizo sumu.

Binti (9yrs) yangu amekua hamfurahii step mother wake bila sababu ya msingi hata nilipokaa nae kuzungumza nae aliniambia Hana tatizo nae zaidi aliniuliza kwann nimeachana na mama Yake?

Ni desturi yangu kufanya nao ibada pamoja na kuwasaidia masomo Yao hivo wamekua wakiniuliza maswali mbali mbali kwakua wanajua baba Yao hua sifichi.

Mara kadhaa nimekua nikiwasisitizia majukumu Yao ya baadae watakapokua wakubwa kwamba wakiume atakua baba na familia yake na wakike atakua mama wa familia yake.

kila ikifika hatua ya kusema Binti yangu ataolewa na kua na familia yeye anabadilika sura na kukataa kati kati kwamba hato olewa Wala kuzaa nikimuuliza kwann anasema hataki tuu...

Nawaza saana na kujiuliza yule mama yake ni kama mfeminist tuu anakauli za kusema hataki tena kuolewa na haamini katika ndoa na ndoa ni kama utumwa Sasa anaishia kuchapika tuu mjini naona kabisa hiki kilicho kichwani kwa Binti yangu ni matokeo ya kuachana na mama Yao na ndio sumu alizomtia Binti yangu...

Wataalamu nisaidieni nawezaje kumuokoa Binti yangu dhidi ya hili balaa maana Dunia ishaharibika..

Note: kataa ndoa ushauri wenu naujua MSIkomenti.
Hao watoto wadogo unawafundisha mambo ya ndoa ili iweje?
 
Kama ni mtu mwema utajua tu... kuchelewa kumuoa sio ujanja, anaweza pretend akisubiri aolewe. Wewe ndio unamjua, jaribu kumuelewa tabia yake.. utagundua tu ni mtu wa vipi.
Shida ake ni wivu tuu ila malezi na mapemzi anayo
 
Kitu ambacho nimejifunza wanaume inabidi tujijali sana wenyewe.

Maana mama hata awe muovu vipi bado watoto watamtetea na kumuonea huruma yeye kuliko wewe.

Na wewe baba hata uwajali vipi wanao, Bado watazidi kuzidisha mapenzi kwa mama.
Na watoto wanabadilika saana Niko makini nalo saana ilo
 
Kwa jinsi ulivyoandika inaonekana una experience kwenye hili, hongera kwa kuArchive...

Ni kweli ulichoandika mama Yao alishatamka anajua ananipenda ila hawezi kunirudia na mbaya zaidi ananiambia siku hizi anakitembeza balaa na amekua halali kwake akiwaacha watoto wanalala na house girl tuu... Aiseeeeh ni ngumu kurudisha ili kopo naona Bora liende tuu
Sawa mkuu, kama ni hivyo sasa inabidi ukae na binti umjenge kisaikolojia. Mweleze hali halisi ya maisha ilivyo na madhara ya yeye akiamua kuchagua maisha ambayo hata Mwenyezi Mungu hayampendezi.

Huku mtaani naona mabinti wengi waliohalibiwa kisaikolojia na baadhi ya mama zao ambao ni wenye chuki binafsi baada ya kulishwa sumu na mama zao. Hawataki kuolewa kwa kigezo cha kwamba "Watafute hela zao kwanza ili wanaume wasiwanyanyase". Inasikitisha sana. Binti umri unaenda na hela hapati, mwisho anajikuta ameamua kuolewa na mtu ambaye hakumtarajia.
 
Sawa mkuu, kama ni hivyo sasa inabidi ukae na binti umjenge kisaikolojia. Mweleze hali halisi ya maisha ilivyo na madhara ya yeye akiamua kuchagua maisha ambayo hata Mwenyezi Mungu hayampendezi.

Huku mtaani naona mabinti wengi waliohalibiwa kisaikolojia na baadhi ya mama zao ambao ni wenye chuki binafsi baada ya kulishwa sumu na mama zao. Hawataki kuolewa kwa kigezo cha kwamba "Watafute hela zao kwanza ili wanaume wasiwanyanyase". Inasikitisha sana. Binti umri unaenda na hela hapati, mwisho anajikuta ameamua kuolewa na mtu ambaye hakumtarajia.
Ni kweli na ndo mana sitaki hii kitu, Kuna mtu mmoja wa maombi alinishauri nimwombee kifo mama yoa nikasema hapana huko ni mbali saana
 
Kulikuwa na sababu ipi kubwa ambayo mlishindwa kukaa chini na Mkeo mtalikiwa hadi mfikie kutalikiana?

Wake zetu Kuna wakati Wana kera na kutuudhi, lakini kwani hukujua umemwoa binadamu mwenzio nasio Malaika?

Kwani wewe hukuwahi kumkosea Mkeo na akakusamehe mara kadhaa?

Anyways, Kwa maoni yangu ulifanya haraka Kuoa tena mara baada ya kutalikiana na aliyekuwa Mkeo.
Babu ukitaka kuongeza mke ututangazie, usiongeze kimya kimya.....
 
Nnaimani mnaendelea vizuri wanajamii forum,

Kama kawaida yangu kuwaleteeni Mikasa inayonitokea kwenye maisha yangu, sababu hapa ndio sehemu pekee nisiyojulikana uhalisia wangu, napata uhuru zaidi wa kufunguka ili kupata ushauri wa kunikosoa na kuniita moyo.

Ni hivi baada ya kutengana na aliyekua mke wangu, Sasa tunaelekea mwaka wa nne, na muda si mrefu tunakamilisha talaka.

Hapo awali mwanamke aling'ang'ania kukaa na watoto kitu ambacho kiliniumiza saana. lakini nikacheza na akili yake kiasi Cha yeye mwenyewe kutamka kuniachia watoto wangu niishi nao.

Hata hivyo nilishapata mwanamke kutoka nchi jirani ambaye niliamini ataishi vizuri na watoto wangu Hawa wadogo baada ya kua nae kwenye mahusiano kwa kipindi Cha mwaka kabla hajarudi kwao.

Nilimsafirisha kutoka nchini kwao Hadi hapa Tz na Sasa ananilelea watoto, na watoto wangu naona wakipendeza japo huyu Binti angu akibadilika badilika mood.

Mama Yao (mtalaka) aliumia saana kiskia kuna mwanamke naenda kuishi nae, kitu ambacho alitaka aje ampe masharti (kumtisha) huyu mwanamke wangu mpya (step mother) endapo hatoishi vizuri na watoto wake, kitu ambacho Mimi nilimkataza.

akasema anajua atakachofanya kwa watoto maana atawajaza sumu ili wajilinde dhidi ya huyo step mother wao hili nalo nilimuonya lakini nadhani alilifanya kwakua Kuna mambo napambana nayo Sasa nadhani ni matokeo ya hizo sumu.

Binti (9yrs) yangu amekua hamfurahii step mother wake bila sababu ya msingi hata nilipokaa nae kuzungumza nae aliniambia Hana tatizo nae zaidi aliniuliza kwann nimeachana na mama Yake?

Ni desturi yangu kufanya nao ibada pamoja na kuwasaidia masomo Yao hivo wamekua wakiniuliza maswali mbali mbali kwakua wanajua baba Yao hua sifichi.

Mara kadhaa nimekua nikiwasisitizia majukumu Yao ya baadae watakapokua wakubwa kwamba wakiume atakua baba na familia yake na wakike atakua mama wa familia yake.

kila ikifika hatua ya kusema Binti yangu ataolewa na kua na familia yeye anabadilika sura na kukataa kati kati kwamba hato olewa Wala kuzaa nikimuuliza kwann anasema hataki tuu...

Nawaza saana na kujiuliza yule mama yake ni kama mfeminist tuu anakauli za kusema hataki tena kuolewa na haamini katika ndoa na ndoa ni kama utumwa Sasa anaishia kuchapika tuu mjini naona kabisa hiki kilicho kichwani kwa Binti yangu ni matokeo ya kuachana na mama Yao na ndio sumu alizomtia Binti yangu...

Wataalamu nisaidieni nawezaje kumuokoa Binti yangu dhidi ya hili balaa maana Dunia ishaharibika..

Note: kataa ndoa ushauri wenu naujua MSIkomenti.
Unaisingizia talaka kam inajifanya yenyewe tu.

Sema umekosea. Ukishamtaliki mwanamke uliyezaa naye tu, umeshakosea sehemu.
 
Nnaimani mnaendelea vizuri wanajamii forum,

Kama kawaida yangu kuwaleteeni Mikasa inayonitokea kwenye maisha yangu, sababu hapa ndio sehemu pekee nisiyojulikana uhalisia wangu, napata uhuru zaidi wa kufunguka ili kupata ushauri wa kunikosoa na kuniita moyo.

Ni hivi baada ya kutengana na aliyekua mke wangu, Sasa tunaelekea mwaka wa nne, na muda si mrefu tunakamilisha talaka.

Hapo awali mwanamke aling'ang'ania kukaa na watoto kitu ambacho kiliniumiza saana. lakini nikacheza na akili yake kiasi Cha yeye mwenyewe kutamka kuniachia watoto wangu niishi nao.

Hata hivyo nilishapata mwanamke kutoka nchi jirani ambaye niliamini ataishi vizuri na watoto wangu Hawa wadogo baada ya kua nae kwenye mahusiano kwa kipindi Cha mwaka kabla hajarudi kwao.

Nilimsafirisha kutoka nchini kwao Hadi hapa Tz na Sasa ananilelea watoto, na watoto wangu naona wakipendeza japo huyu Binti angu akibadilika badilika mood.

Mama Yao (mtalaka) aliumia saana kiskia kuna mwanamke naenda kuishi nae, kitu ambacho alitaka aje ampe masharti (kumtisha) huyu mwanamke wangu mpya (step mother) endapo hatoishi vizuri na watoto wake, kitu ambacho Mimi nilimkataza.

akasema anajua atakachofanya kwa watoto maana atawajaza sumu ili wajilinde dhidi ya huyo step mother wao hili nalo nilimuonya lakini nadhani alilifanya kwakua Kuna mambo napambana nayo Sasa nadhani ni matokeo ya hizo sumu.

Binti (9yrs) yangu amekua hamfurahii step mother wake bila sababu ya msingi hata nilipokaa nae kuzungumza nae aliniambia Hana tatizo nae zaidi aliniuliza kwann nimeachana na mama Yake?

Ni desturi yangu kufanya nao ibada pamoja na kuwasaidia masomo Yao hivo wamekua wakiniuliza maswali mbali mbali kwakua wanajua baba Yao hua sifichi.

Mara kadhaa nimekua nikiwasisitizia majukumu Yao ya baadae watakapokua wakubwa kwamba wakiume atakua baba na familia yake na wakike atakua mama wa familia yake.

kila ikifika hatua ya kusema Binti yangu ataolewa na kua na familia yeye anabadilika sura na kukataa kati kati kwamba hato olewa Wala kuzaa nikimuuliza kwann anasema hataki tuu...

Nawaza saana na kujiuliza yule mama yake ni kama mfeminist tuu anakauli za kusema hataki tena kuolewa na haamini katika ndoa na ndoa ni kama utumwa Sasa anaishia kuchapika tuu mjini naona kabisa hiki kilicho kichwani kwa Binti yangu ni matokeo ya kuachana na mama Yao na ndio sumu alizomtia Binti yangu...

Wataalamu nisaidieni nawezaje kumuokoa Binti yangu dhidi ya hili balaa maana Dunia ishaharibika..

Note: kataa ndoa ushauri wenu naujua MSIkomenti.
ULiyemwacha ana tako?
 
Back
Top Bottom