Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Kwani mange amepitia magumu gani hasa mpaka kuwa hivi alivyo?
 
Hahahahaaaa katika picha inayonichekeshaga jamani ni ile ya Mange akiwa kavaa dira huku kapakata laptop uwani kwake.
Nachekaga sana kila nikiiona,ile ndio LA yenyewe ilivyo jamani?
Mhhhhhhh!
 
Huyo Mzungu alirogwa vby sana na mganga qa Chanika mpaka akatangaza ndoa. Alimuoa Mange kwa madawa haikuwa akili zake. Unaambiwa kwa huyo mganga kumejaa picha za wazungu.
Uwiiiiii jamani Mange huyu?
Ila Lance ile issue ya e-mail ilimchanganya sana.
Anaonekana alimpenda Mange masikini!
Maana alianza kutokujijali muda sana.
Yule kaka mwanzo alikuwaga smart hadi raha.
Lakini sasa hivi ukimuona kama mzungu pori,ile midevu khaaaaa!
 
Mhh namuonea tu huruma aiseh maana kurudi bongo haiwezekani maana wauza unga wata mpiga risasi za tako.
Unakumbuka alivyofanikiwa kurudi Marekani baada ya makasheshe yale alivyotukana?
Akasema hatokaa arudi milele.
Na akirudi tu,kwisha habari yake.
 
Mange hapo alichemsha kwa kweli,unamwaminije mtu kiasi hicho mpaka unamtumia email ya hivyo?
Email Gani??au ndoo Maana Mange ana Bifu Kali Na Mwanvitaa..kumbukaa Alipomaliza Chuo Dubai Mwanvita alikuwa Bega to Bega Mange..What happened..tunaombenj ubuyu Wanawake Wa Dar....Maana Ubuyuu mtamu pilipilii kwa Mbali.I used to.like Mange kiukweli..but Baada ya Mashambulizi kwa Lowassa kipindi kile nilimtapikaaa
 
Hahahahaaaa katika picha inayonichekeshaga jamani ni ile ya Mange akiwa kavaa dira huku kapakata laptop uwani kwake.
Nachekaga sana kila nikiiona,ile ndio LA yenyewe ilivyo jamani?
Mhhhhhhh!
Shoga hata mimi ile LA inanikatishaga mno tamaa pale migombani utadhani kijijini kwao KAHE khaa ndo mana hayupo huru kutuonyesha
Yule angewin bingo la Klinn wa Mengi tungerudi vijijini kwa usafiri wa chai maarage mana yule kutumia pesa ana qualified certificate sema midolare ndo hana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni kama alivyoelezea mwasu na nimeona umelike.
E-mail iliyovuruga maisha ya Mange,Mwamy mbaya?
Ila hii vita ilikuwa motooo,siri zilivuja nyingi sana.
Bora wewe uliyemtapika,mimi nilitamani nikamlipue na bomu.
 
Da Zenat alikuwa na usongo wa pesa zake, kumbe alikuwa anapiga picha chupi. IG ilinimazia sana bundle!!!!
Da zenat si alikuwa ka Dada ake VP tena waligombanaa tena. Anagombana Na kila.MTU tena Wa karibu yakee wotee kweli Awekwe kwenye Genius Book or Black book
 
Yule atakuwa haishi LA,nina mashaka sana.
Halafu mbona siku hizi hapigi picha akiwa nyumbani?
Muda wote yuko barabarani na kwa watu.
Weeeeee tungeshajitoa IG,tungekomaje?
Ila K-Lyn walaaa,busy na kuinspire wadada masikini.
Na alivyo mzuri sasa!
 
Hapo tu sithubutu kumcheka.
Hata kama niko nyuma ya keyboard lakini ukweli utabaki kuwa nami ni mwembamba japo Mange wa sasa kanizidi.
Hahaha... nifah una kilo kama ngapi vile... maana mange ana 55

Najua hautonijibu..
 
Hapo kwa Mwele umekosea kidogo..mwelee alikuwa mke Wa baba ake Mange..so ni mama mdogo
 
Nifah, ebu tupia hiyo email,naona nilipitwa hapo.
 
Hahaha... nifah una kilo kama ngapi vile... maana mange ana 55

Najua hautonijibu..
Mhhhhhh chaumbea ushafika?
Last time napima nilikuwa na 55 na ilikuwa miezi minne iliyopita.
Kwa sasa nimeongezeka,nitakuwa na 57/8.
Nadhani nimekujibu vyema.
 
Mhhhhhh chaumbea ushafika?
Last time napima nilikuwa na 55 na ilikuwa miezi minne iliyopita.
Kwa sasa nimeongezeka,nitakuwa na 57/8.
Nadhani nimekujibu vyema.
Haha.. asante nifah wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…