Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Princess Nifaa. Hapa ndipo watu wajifunze madara ya kuwachimbia kaburi watu wengine.

Huyu dada Amrudie Muumba wake kwa Toba Maana amechangia kuwachafua watu wengi sana na kusababisha athari kubwa juu ya watu aliowachafua.

Malipo ni hapa hapa Duniani, usifuraie mabaya ya mwenzako, bali mwombee mwenzako pindi anapopitia majaribu ya dunia, sasa huyu binti hakufanya hivi bali alichekelea na kuwapaka watu matope, haya ndiyo malipo yake.
Prince,umemwaga madini matupu kama kawaida yako.
Nawashangaa sana wanaosema hapa tusifurahie kuanguka kwake,walikuwa wapi wakati yeye alisherehekea kuanguka kwa wenzake?
Ni zamu yake sasa kuchekwa.
 
Tatizo sio kumsema vibaya wala nini...hanago dogo yule mdada
Hebu acheni kumuogopa huyo kikongwe,na afanye hivyo basi.
Halafu mbona nimeandika kiustaarabu sana jamani?
Ni wapi nilikomsema vibaya?
 
Hapana jamani.
Kweli Mange anakera sometimes ila kichwani yumo.
Ni huo upumbavu wake tu lakini akituliza kichwa anakuwaga na hoja zake za msingi sana.
Ila ndio hivyo,hataki kutumia akili yake kufanyia maendeleo,kachagua majungu.
Upstairs yuko F kabisa , she cant urgue kabisa, hawezi kusimamia hoja, ila kama upstairs kunakuwa fine kwa kuchamba yes she is?But ukifollow mijadala yake unaweza kumwona upstairs yuko vipi, hopeless kabisa , she cant compete labda kwa kazi za kubebwa ambazo now naona zinakufa taratibu
 
Hahahahaaaa kumbe nawe huwa mpole ukichokoza eeh?
Halafu hayo maandishi yako hapo chini umeniacha hoi sana.
Kajanja weeeeewe?

Yani nimefuta kama majibu matatu hivi, mpaka kuamua kupost hivyo ni baada ya kujihakikishia kwamba siibui ugomvi.
 
Kuna watu wanaishi US hawana vibali lakini wamenyoosha life, matatizo ya Mange alizidi sana kuishi kama public figure, ukiishi maisha ya kawaida watu hawajui, wengine tunakuja JF baada ya kuchambisha vibibi, kusafisha ofisi lakini tunajua ni kwamuda na tuna malengo. Alipokuwa na Da Zenat angechacharika na kazi asingeshidwa kumlipa $300 kwa mwezi walizokubaliana. Lakini no body is perfect, tunajfunza kutokana na makosa, ajipange upya.
Hahahahaaaa shoga umeuaaaaa
Khaaaa!
 
Sasa Mange akirudi bongo atakua fala, ameishi USA miaka yote hiyo ashindwe kujitegemea?!
Haaa haaa mkuu USA sio kama Bongo, hakuna Magumashi wala kubebwa kule, we unafikiri kwanini Lemutuz alirudi na dola 500?Pia ameishi USA miaka mingapi na alikuwa anafanya nini?Yeye ni mama wa Nyumbani , mama wa nyumabni anakuwa anafanya nini?Labda ategemee mgao wa Talaka je jamaa ana hela gani?
 
Sifurahii ndoa kuvunjika, ila Mange alizidi jamani kujinadi kha! mume wake ndio mume, mzuri, tajiri anajali, ameelimika, amemzalisha watoto wazuri, loo, ikafika mahali akatukana wabongo waliolewa na wanaume weusi, eti wanaume weusi hawajui kupenda, wanyanyasaji, washenzi wa tabia? Akaja na aIDEA ya kuwasaidia wanawake wa bongo kuolewa na wazungu.. mwe... wenye akili kama zake walitiirika balaa mpaka akasema atawachaji kwa walioshindwa kutumia huo mtandao wa kujiuza, leo MZUNGU ambae kwake ndio MUME kamuacha? balaa hilo ni kubwa ndio maana kazidi kuwa chizi.. pole sana na ajifunze kuwa HUJAFA HUJAUMBIKA.
Kwanza mimi nilifikiri huyo demu ni pini moja ya maana, kumbe kipo kiajabu ajabu tu. Wazungu nao muda mwingine huwa wanajitoa ufahamu
 
Kumbe Hauna Evidence Yoyote Ya Kuthibitisha Unachojaribu Kutueleza Kama Ni Tetesi!!! Nadhani Ungetuambia Ni Mtazamo Wako Na Chuki Zako Tu!! INASHANGAZA Kweli Now Days Jf Imegeuka Kuwa Instagram!!
 
My dear,nimekukataza usimpende?
Ni wapi nilikosema namchukia?
Halafu usinifanishe na Mange ambaye kanizidi kwa miaka 10.
Maisha yake acha yajadiliwe,kayataka mwenyewe.
Kama asingepost ningeyapatia wapi?
hahahaha @nifaaa nilitegemea kichambo zaidi ya icho asantee kwa kunionea uruma....ningejutaje
 
Mateso ya kujitakia; anapambana na so called maadui zake kuwaonyesha kuwa mambo yamewanyookea. Maisha yalikuwa enzi zetu aisee, wa Changombe tujajirusha kivyetu, wa Magomeni kivyao, Upanga hali kadhalika. Sana sana mtakutana Coco Beach na Disco la Mawingu. IG imewapumbaza kweli si uwongo
Una akili sana aisee
 
Kwanza mimi nilifikiri huyo demu ni pini moja ya maana, kumbe kipo kiajabu ajabu tu. Wazungu nao muda mwingine huwa wanajitoa ufahamu
Mzungu huwa haangalii uzuri, anaangalia upatikanaji wako tu, ndio maana wake wengi wa wazungu ni wanawake, wenye tamaa ya maisha ya juu, machangu wanaotafuta pa kupumzikia, wachache sana waliobahatisha kupata wake wanaojielewa.
 
Mzungu huwa haangalii uzuri, anaangalia upatikanaji wako tu, ndio maana wake wengi wa wazungu ni wanawake, wenye tamaa ya maisha ya juu, machangu wanaotafuta pa kupumzikia, wachache sana waliobahatisha kupata wake wanaojielewa.
Nakubaliana na wewe 100%
 
hahahaha @nifaaa nilitegemea kichambo zaidi ya icho asantee kwa kunionea uruma....ningejutaje
Hahahahahaa siku hizi nimekuwa mpole sana,sina kashkash kama zamani.
Karibu
 
Back
Top Bottom