Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamy alimkomesha..Nifah Mange kichomi ati!! Yule ni jambazi sugu la movie ya kijasusi akikuwahi anakuattack kiasi kwamba kabla hujakata roho inakua hamna rangi umeacha ona ha ha haaaa muosha huoshwaIla jamani Mwamvita ana moyo wa kipekee maana sio kwa kushambuliwa kule.
Ila Mwamy huyuhuyu ndio kasababisha mabalaa yote haya ya talaka kwa kusambaza email aliyotumiwa.
Sidhani kama kuna kitu Mange anajutia kama ile email aliyomtumia Mwamy!
Hahahahaaa Faiza you made my day....kumbe nawe wamo namna hii?Porojo zoooote nilizokuwa nazisoma kuhusu huyu Mange kumbe ni mrembo feki! Nywele za maiti, kope za maiti, rangi ya mwili mikorogo, sura imejaa wa ma foundation kama gari chakavu lililojazwa puti.
Miguu kaa fito zisizo na ubora.
Kuwa feki namna hiyo na kuwasema sema wenzake hata hai contrast.
Mie nilifikiri ni mwanamke wa maana kumbe kimekaa kama ki Faiza cha Sugu.!
Ha haaa tena anachamba na evidenceNifah mama huyu mpare labda asikusome maana daaa naogopa mdomo wake jaman,maana atakusanya data cjui wapi atakuchamba huyooooo
Ha haaaa...kweli kundi kubwaNampenda Mange vile anavyosumbua kundi kubwa sana la watu,anakipaji chaajabu.
Ila jamani Mwamvita ana moyo wa kipekee maana sio kwa kushambuliwa kule.
Ila Mwamy huyuhuyu ndio kasababisha mabalaa yote haya ya talaka kwa kusambaza email aliyotumiwa.
Sidhani kama kuna kitu Mange anajutia kama ile email aliyomtumia Mwamy!
natamani kufahamu kama ule mtaa anaokaa kuna mtu mweusi aliyeongezeka....maana mtaa wa matajiri ambao hauna ngozi nyeusi atiiiUlimbukeni wake wa kupenda sifa.
Mwisho e-mail hiyo imemvurugia maisha yake yote.
Dada ulipokuwa South Beach ulionekana ukifanya shopping Neyman Marcus na BloomingdalesMange alipokwenda US alipanda Emirates picha zikawekwa kwa blog, akaanza home hunting picha kwa blog, alipopata nyumba Miami hatukuonyeeshwa, tulionyeshwa duka la Bongolicious. Nikaenda Miami kutembelea ndugu na jamaa nikawa ninawapa story kuna mbongo ameolewa na mzungu mambo yake yako super sana, nyumba yake ina swimming pool, sasa vihela vyangu vya budget nikapelekwa Ross na TJ Max basi nikawa ninawaambia haya ndiyo maduka Mange anasema ya masikini. Kichwapaziii na Da Zenat wakatuonyesha uhalisia wa maisha!!! Mwe mjini sihami.
Haaaaa haaaaaKwanza mimi nilifikiri huyo demu ni pini moja ya maana, kumbe kipo kiajabu ajabu tu. Wazungu nao muda mwingine huwa wanajitoa ufahamu
Hahahahaaa Faiza you made my day....kumbe nawe wamo namna hii?
Asante.
Dada ulipokuwa South Beach ulionekana ukifanya shopping Neyman Marcus na Bloomingdales
TJ Maxx Ni Ya sisi makabwela
Jamani,naomba tuwe tunaheshimiana.
Watu kama nyie ndio mnaovunja ndoa za watu.
Mimi kusema humu kuwa nakaa ubungo kipindi kile cha kampeni isiwe sababu ya kujidai unanijua sana.
Na wala hakuna mwanaJF yeyote anayepajua kwangu,usiniletee balaa.