Cku zote ndoa ya showoff huwa haidumu na mwisho wke huwa mbaya......huyo dada atafute babu wa kulea huko mana kurudi huku hawezi
Tabia ni kma ngozi hawezi kuacha labda aishiwe hela ya bundle......maisha ya huko ni magumu lazma akili imkae sawaAachane na social media, alee watoto wake, utani mbali lakini written English yuko vizuri.
Arudi Kwao upande wa mama yake LindiMi nacho mshangaa kwa nini analazimisja Maisha kama Magumu si aachane nayo tu afanye mambo mengine na hii IG inawafanya watu waishi maisha wasiyoyaweza.
Arudi Kwao upande wa mama yake Lindi
HahahahahahPorojo zoooote nilizokuwa nazisoma kuhusu huyu Mange kumbe ni mrembo feki! Nywele za maiti, kope za maiti, rangi ya mwili mikorogo, sura imejaa wa ma foundation kama gari chakavu lililojazwa puti.
Miguu kaa fito zisizo na ubora.
Kuwa feki namna hiyo na kuwasema sema wenzake hata hai contrast.
Mie nilifikiri ni mwanamke wa maana kumbe kimekaa kama ki Faiza cha Sugu.!
Nitake radhi wewe Lindi hakuna watu wasiokuwa na kazi mjiniArudi Kwao upande wa mama yake Lindi
Haipo tena ishajifiaBlog yake inaitwaje?
Daah pole yake
Ila juzi lile li status #muke ya muzungu yaani watu bado wana mambo ya kishamba mzungu kwani hakunyi ama vipi
Acheni umbea