Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

LISTI YA NILIOGOMBANA NAO …. YUPI NAWEZA KUELEWANA NAE??????
Mange 275 Comments Jun 3,2015

HILI GAZETI NI LA KUSOMA KWA WIKI NZIMA……. SOMA TARATIBU USIJE FUKUZWA KAZI HUKO..NIPO BUSY SI UDATE BLOG MPAKA FRIDAY AU SATURDAY SOO HII TOPIC IWA KEEP BUSY

Haya wadau mmedai kuwa nisijifanye kupatanisha watu wakati mie mwenyewe yangu yamenishinda..hahahahhaha
Mmmedai na list ya niliogombana nao then nyie mtanipatanisha nao…
OKEEEEYYY, HERE IS THE LIST…..UWIIIIII NDEFUJE SASA…
1. Rachel Temu – Huyu naweza kupatana nae any time na kusameheana nae anytime ila kwa mbali as in sitaki hata kikao cha kuongea yani tusameheane as in tusahay yaliyopita, tuheshimiane ,tukionane habari njema kila mtu aendelee na maisha yake… She is not a bad person ila kuna fuse moja kwenye kichwa yake imeungua so ni problem, Alafu ni yule rafiki ambae she can kill for you as in she is loyal ikija issue ya ugomvi atapigana ugomvi sio wake but also ni the kind of friend ambae if your husband is rich akamtaka basi andika maumivu…… I have always felt like money comes first to her….Dont get me wrong ukiwa rafiki na Rachel uta enjoy sana maana anajua kula bata ila ni rafiki ambae inabidi uwe unamwangalia kwa macho manne all the time…. Yani usimwamini. Na mie rafiki wa hivyo ataniumizaaaaa maana mie ni jingaaa yani nikiwa close na wewe nakutrust na kila kituuuu maisha yangu yanakuwa mikononi mwako. And I cant control this ndo maana huwa nakaa mbali na wabongo maana najijui jinsi nilivyo fala.
2. Julieth Johnson – Huyu ni mtu ambae kama ningekuwa naishi TZ ni mtu ambae ningeweza kusameheana nae. Hajawahi kunikosea kitu cha maana sanaa na mimi sijawahi kumkosea kitu kikubwa. Ilitokeaga tu akanichukia mpaka kesho bado kitendawili kwangu nilimfanyaga nini. Kulikuwa na bridal shower ya Adeline ya mwanae huyu wa mdogo ilifanyika kwa Julieth, yani mwanamke aligoma kata kata kunialika mpaka Adeline anashangaa why, mie nijikalia kimya….hahaha….Huyu ni wale marafiki ambao ni very loyal especially kwenye bad times, personally sijawahi kuwa nae very close ila alikuwa kwenye lile group na nilimuona alivyo loyal kwa marafiki ambao yuko nao close ila pia ni yule rafiki ambae inabidi umpende kwa yoote mazuri na mabaya. Huwa anasali sana ila pia ni mtu wa chuki sana na fitna sana….. So yes, ni mtu ambae naweza ku hang out nae tena huko mbeleni bila mimi kuomba sorry au yeye kuomba sorry……. Yani in short ni mtu ambae mpaka leo sijawahi kumuelewa why alinichukiaga…
3. Adeline Mushi – This might come
 
But it takes two tango.

She doesn't do it all by her lonesome or does she?

Clearly there is an obsession with her.
She is some one they love to hate lol.ila sikuzote lazima kuna anayeanzisha ugomvi so huwezi mlaumu mchokozwa kwa kuretaliate
 
3. Adeline Mushi – This might come as shock to many ,Adeline ni mtu mzuri mnooooooooooooo kama rafiki yupo very loyal. Kusema ukweli nilimpenda sana Adeline and yes ni mtu ambae naweza kurudiana nae urafiki anytime tena ukawa urafiki mzuri kama wa zamani maana kusema ukweli the only reason sasa hivi siongei na Adeline ni vile tu anafata mkumbo ila mimi na yeye hatuna beef. Jamani Adeline ni mtu poa sana, mcheshi sana and very real,she is not fake. She is crazy anachekesha ukikaa nae utacheka mpaka ukojoee sometimes huwa namiss vituko vyake…hahahaa… Ila ukiwa rafiki na Adeline uwe na pesa zako mambo ya offer au kuomba kukopa elfu 10 ukome, huyu ni mchaga ni mbahili hujapata kuona. Kama ni mtu wa kutegemea marafiki kipesa kwa Adeline mtashindwana siki mbili tu…hahahahahah….. Ila I like her alot na ana roho nzuri sana ni mtu wa kujitoa kwa marafiki ila tu usiwe mtu wa kuomba omba ovyo. Kwa kweli sidhani kama I owe Adeline an apology au kama yeye anatakiwa kuniomba sorry. Hata kipindi kile nilichombonda huku nna mimba haki ya nani tulidundana sababu tu mie nilikuwa mjamzito + nna kigugumizi so hasira zilikuwa usoni. Alikuwa anaongea sana alafu hanipi chance hata ya kumjibu ananisuta tuuu alafu watu wamejaa, tulikuwa dukani kwa Kiki tena. Also yeye hakuja pale kupigana, alikuja kunipa a piece of her mind ila hakujua kuwa hasira za mimba + kushindwa kuongea hata sentensi moja kungetufikisha pale…
4. Cynthia Masasi – Huyu aisee nilishapatana nae tena kwa kibahati mbaya tu au labda Ledi Peti alituchezea mchezo ila sijui ni nguvu za yesu ila ledi peti kama alituchanganya hivi tukajikuta tunachat whatsapp… Yani we were more than cool mpaka nimeondoka Bongo nimekuja Marekani tuko poa kishenzi ,mara kanichunia out of nowhere, ha!! Ndo nakuja kuambiwa kawa rafiki na kina Kiki so na yeye akajoin mkumbo, hahahahaha….. Then later on nikaja kuambiwa kuwa sio kama alifata mkumbo ila Nacky alimwambia Cynthia na Doreen Njuwa kuwa mimi nilikuwaga nawasema sana…. Jamani sijakataa kuwasema ila sasa sikuwa naongea peke yangu mimi na Nacky tulikuwa tunawateta pamoja eti kaenda kunisemea mimi yeye hajajisemea. Na pia nilimsema kipindi cha beef im sure hata yeye alinisema. Anyways, i didnt bother kumuuliza kwa nini kanichunia maana nilimuona ni mtu feki tu nae kama kweli angekuwa mtu mzuri angeniuliza kwanza. So na mie nikasema kama hakuniuliza why mie nimuulize. So huyu sina beef nae na mtu ambae huko mbeleni naweza peana nae hie and I dont think either of us anatakiwa kuomba sorry ila pia ni mtu wa kupeana nae hie basi maana I think ni mtu wa kukurupuka sana.
5. Sinta – Huyu kusema ukweli ni mtu ambae I feel like she need to apologize to me if ever nitakaa kusameheana nae. Mimi ni mtu wa kuomba msamaha pale napokosea. So huyu siku akijiskia yupo tayari kuomba msamaha nitasameheana nae na tutaheshimiana. Huyo aliingia kwenye unafki wa mama sembe na kumpampiwa akaanza kunitusi , sijui alidhani yeye ndo angeninyoosha,hahaha. Mimi sina problem na blogging yake maana blogging yake alikuwa anajaribu kuni copy mimi exactly. Yani alitaka awe kama Mange kila kituuu mpaka kabila… Hahhhahahha….. Ila nilimwambia wewe hiyo blogging kama ya Mange kwa TANZANIA itaku cost, hutoolewa ,hutokuwa na BF na ni hayo mpaka leo hii yupo single. Hakuna mwanaume wa kibongo anaweza kuoa mwanamke controversial , hawaweziiii. Na matokeo yake ndo hayo anajizeekea mwenyewe kwa mambo ya kuiga tembo kunya…hahahhaa…Ila Sinta mtu poa hana shida ni vile alidhani anamfurahisha mama sembe kwa kuanzisha balaa na mimi….
5. Eve Collections – Huyu dada , I think nilimkosea and I do need to apologize to her someday. Kupewa mahela na baba yake haimfanyi yeye kuwa fisadi. Pale nilichemka na siku moja ntamuomba msamaha. By the way sijuani na Eve ,sidhani hata kama nishawahi muona Live so hata nisipomuomba sorry its not like Im missing kitu ila ni ile kibinadamu , nilimkosea na natakiwa kumuomba msamaha.
6. Sophy Byanaku – Sophy yupo poa, last time nilivyokuwa Dar, Nov 2014 nilikutana nae Hyatt na tulipooNana tena kwa kupishana uso kwa uso tukajikuta wote tumesimama na kuanza kusalimiana yani hakuna aliemgonja mwenzie amuanze yani tulijikuta tu tunahamu ya kusalimiana na kuongea kidogo. It was genuine,yani We didnt even need to discuss nini kilichowahi kutokea , in short tulivyonana face face tulijuwa although we might not keep in touch or follow each other on IG sisi hatujawahi kugombana ni vile tu mambo ya magroup……
7. Chaya Shelukindo – For some reason nilikuwa naamini kuwa Chaya ana bonge la beef na mimi. Ila pia nilikutana nae Hyatt same day nilivyokutana na Sophie last time nilivyokuwa TZ , uwiii alinichangamkia as if nothing ever happened, kwanza nilikuwa in shock maana siku expect Chaya kunichangamkia vile, mpaka tuka hug,yani nilikuwa nimesikia maneno mengi mno kiasi kwamba siku expect Chaya kuniongelesha much less kunichangamkia ,tena alikuja hadi kwenye meza yetu….Dah, Chaya ni mwanamke aiseee. Maana kwa vitu Chaya alivyojazwa na Nacky Nyange alitakiwa anichukie mpaka anakufa,ila Mungu anajua jinsi ya kuumbua wachawi…. Basi kipindi kile tulivyogombana si mnakumbuka Blog ya chargabarbie bado ilikuwa hewani basi kuna posti Chaya alitukanwa sana pamoja na Nacky can you imagine Nacky alimwambia Chaya eti Mange ndo anaandika zile comments zote. Yani Nackie nyie. Imagine kina Chaya ni rafiki zangu mimi ndo nimemu introduce na anatuchochea hivyo ugomvi uzidi kuwaka moto. Na sasa imagine nani aliniletea habari? ushoga shogani.Ila Chaya nimemweshimu sana maana sikutegemea. So Chaya ni mtu ambae sihitaji hata kupatanishwa nae tuko powaaaaaa sana tu…… Although we dont follow each other on IG ila moyoni tunajua hatuna matatizo at all…..
8. Kiki Zimba – Kiki ndo alikuwa besti yangu kati ya watu wooote hawa. Problem is urafiki wangu na Kiki ulikuwa very one sided yani mimi kama nilikuwa nna force ule urafiki, yani kila siku watu walikuwa wananiambia Mange mbona wewe unampenda sana Kisa ila yeye anakusema vibaya all the time? Nimevumilia mengi mnooo kwa Kiki Mungu ndo anajua. Hakuna mtu anaejua ups and downs za urafiki wetu kama mumewe na kama sio mumewe kuwa anatupatanisha all the time labda tungekuwa tumeshagombana enzi zileeee…. Kutokana na damage iliyokwisha fanyika tena publicly , i mean both sides tulipitiliza vipimo vyoote difference is mimi nilikuwa nafanya kama Mange yeye alikuwa anafanya kwa kujificha ficha nyuma ya computer. So yes kibinadamu ni mtu ambae naweza kusameheana nae ila kwa msahama toka kwake yeye. Yani lazma aniombe sorry ndo nweza kupatana na KIKI. Yaliyotokea yoote yalitokea sababu ya yeye kuanza kunisema vibaya kisa tu eti nimeanza kuuza nguo kama yeye uwiii ila sasa nauza nipo marekani sikuwa hata Dar na kipindi naanza sikuwa hata nna plan ya kufungua business Dar ni baada ya uadui na yeye ndo nikaona why not. So huyu yes moyoni mwangu one day kama maajabu yakitokea yes naweza kusameheani nae ila labda aniombe msamaha tena msamaha very sincere. Ila pia namjua vizuri mnoooo ni Mnyakusya yule ,uwiii hata angewekewa bastola kichwani hatokaaa kuniomba msamaha, so lets just say mie na Kiki hakuna hope. So wapatanishi hapa ni mission impossible…. …
9. Nackitie Nyange – Oh lord I HATE this woman. Sijui ntafanyaje Mungu anitoe hii roho ya chuki juu ya huyu mwanamke…. Jamani huyu mwanamke nyie. Dah, no wonder huyu dada hata relationship na wadogo zake ni kazi haswaaaaa…… Jamani huyu dada ni mchonganishi nyie sijui nisemeje, yani the day nilivyowekaga ile post on fb kuhusu kugombana na rafiki zangu nikaona kaniblock IG, nikashangaa nikam contact kumwambia kuwa hapana mimi na yeye tuko cool hausiki.OMG, yani na kumuelezea kote huyu ndo alikuwa kichocheo cha moto mpaka kuwaambia kina Cynthia nilikuwa nawasema kwake, kumwambia Chaya Mange ndo anamtukana kwenye hiyo blog jamani hii ya Chaya iliniumaaaa nakumbuka 2 yrs ago nilikuwa naongea na Mwamvita niko Las Vegas nilimlalamikia about hili kidogo nilie maana nilishangaa Chaya kanikosea nini mpaka nikamtukane kwenye blog jamani…. Iliniuma sana ,unajua Nacky mpaka akamwambia mume wake yule mIHAYO eti Mange ndo anakutukana kwenye blog mumewe akanipigia akaniuliza vibaya nikaishia kumtukana matusi kibaooo… Kilichoniuma kati ya vyote, Nacky was my friend, hao kina Kiki, Adeline woooote walikuwa hawamtakiii kwenye group mimi ndo namuombea aingie, Nacky alikuwa ananililia nimu introduce kwa dada wa sauzi kipindi hiko yuko marekani. Ananiomba nimuombee aende New York aka hang out na huyo dada eti kampenda kwenye picha na mie namuombea, akarudi TZ akafanyiwaga welcome home dinner na rafiki zake jamani alinisumbua nimwalike dada wa sauzi aje, imagine anataka mtu ambae hata kumwalika yeye mwneyewe hawezi aje kwenye dinner yake, jamani mbona nilimake sure huyo dada kavaa kaja kwenye dinner jinsi niliyokuwa nampenda Nacky nataka afurahi,akawa ananiomba nimuite zile branch zetu za Hyatt jamani group zima linanuna especially Adeline, Ade alikuwa hafichi alikuwa ananisema kabisa Nacky usimlete sio mtu mzuri mie mbiiishi jamani hata mkitafuta picha za nyuma za branch za Hyatta mtaona Nacky lazma akae next to me maana mie ndo shogake ,basi akija hizo branchi atabeba zawadi ampe dada wa sauzi yani dada wa sauzi akimsifia hiko kbanio kizuri uwii next sunday atakuja brucnh na hicho kitu kama zawadi ampe…hahahah jamani dada ali fight kumjua dada wa sauth utadhani ana fight kujuana na mwanaume. Na mie ndo namuita kila mtoko awazoeee, jamani imagine siku mimi nimegombana na rafiki zangu yeye ndo akaingia kati kuwatia utambi vizuri badala awe side yangu maana mie ndo shogake au awe netral… DUH KWELI kutaka kujuana na watu wenye status mjini ni shida mtu anakosa hata utu…. Huyu dada sidhani kama nitakaa kuweza kumsamehe hata akiniomba msamaha maana ni muongooooooooooooooooo, mchonganishiiiiii,mnafkiiiiiiiiiiiiii. In short sijashangaa kuachwa na mume wake hakuna mwanaume anaweza kuishi na huyu dada ni mtu mbaya sana an very fake. Kaachwa basi kajikondeshaa sasa hivi madai yake anatafuta bwana mpya..hahahahaha…..Yani nyie nikiwawekea chat alizokuwa anaomba nimuombee kwa dada wa sauzi aende kumeet new york mtachokaaaaaaa…. Yani nilimshangaaa maana mimi niliamua mwenyewe siwezi kuwa kwenye kundi la fake friends wanaonisema behind my back na nikaamua kuwa blast on facebook. Maana niliumia sana yani just 2 days before nilitoka kumuona mtoto wa KiKI huyu mdogo s na picha nikarusha insta kumbe nimetoka kumuona mtoto wake na kaenda kunisema vibaya? eti wala sikumualika kwangu kaja mwenyewe, jamani niliumia,imagine alivyojifanya kufurahi nimeenda kumbe ndo anaeenda kunisema,mamaaa niliumiaaaa nikasema basi acha niwe peke yangu ndo nikatapika facebook… Ila sasa imagine mimi niliamua kutoka kwenye group sababu niliona halina faida kwangu Nacky yeye ndo alikuwa anaweza kufa kuingia kwenye hilo group mpaka kunigeuka mimi rafiki yake for the sake of watu ambao hata hajawazoea ,yani that day nimeweka ile posti facebook ya kusononeka that day ndo the first day Nacky kakutana na wale wadada bila mimi au bila kuitwa na mimi. Ila akajiweka yeye ndo kiranja wa ugomvi.Yule mwanamke jamani ni nyoka nyie hamuwezi kuelewa. Na kuna comment mtu aliweka about huyu dada kuwa close na mke wa Luca and now kahamia kwa Nacky its so true, Nacky is a snitch yeye ni about status and money basi. Alikuwaga very close friends wa mke wa Luca na alikuwa anamchukia Nancy kufaaa kwa kuiba mume wa shogake yani nilipokuja kumuona eti yeye ndo kawa official mpambaaji wa mtoto wa NANCY and Luca kisa Nancy kawa na status nilichokaaaaaaaaaa….. Yani yule dada kuna siku mtakuja kuniambia mimi……One day tutakuja kuongea topics ya huyu Nacky humu na nitawaambia mmeona allivyo snitch… she is by far the worst firiend I have ever had maana she ditched me when I needed her most maana nilikuwa nimewablast marafiki woote facebook nikijua yeye is with me ,uiii kumbe mwenzangu keshahanihama,that means she was just using me kujuana na wale wadada yani hakuwahi kunipenda alikuwa ananitumia tu especially kujuana na dada wa south and thats it. Huyu mwanamke naomba muwe mnanisalia niweze kupata nguvu ya kumsamehe ili niondokane na huu uzito rohini mwangu, hating someone is a full time job jamani. Ni utumwaaaa asikwambie mtu… I need to stop hating her mniombeeee. Ila kwa kusameheana nae siweziiiiiiiiiii, dah!!!
10. Nafue /Glam Madam – Huyu anytime akiwa ready mie niko nae poa, we dont even need to apologize to each other, tuligombana viugomvi vya kijinga jinga. Glam madam anavitu anaboa sana mkiwa close, she means well ila hajui kum complement rafiki yake atakutoa kasoro morning till evening.Yani ukishinda nae siku nzima utajikuta una stress za kufa mtu. Ila sio mtu mbaya at all, she is an amazing person ni vile I think hana communication skills basi. Like anawezakukwambia “we mange una viguu vibaya jamani” like 5 times a day ila anasema kama utani but after a fews time unaanza kuumia… Not just me marafiki zake wengi lalamiko lao ni hili hili….Ila kwingine kote she is amazing na sio back stabber kama dadake. Ila huyu nae mgomvi kama mimi na mbishi kama mimi so mimi na yeye tukispend muda mwingi pamoja lazma tuvaane.Ila ukweli ni kwamba sometimes I miss her kwa kweli, especially coz hatujawahi kukoseana kivile yani ni vimambo vya kitoto toto tu.Nafue ni vile yupo bossy like me but she is really harmless nachekaga wateja wake wanavyo complain kuwa anawagombeza saloon kwake, ndo alivyo Nafue yani mwenzenu hata besti friend anamuongelesha hivyo hivyo na hapo ndo anampenda and its hard ndo maana mimi pia nilikuwa nashindwa tunagombana na kurudiana ,ila ndo anavyoongea hivyo…hahahaha,na kukutoa kasoro ndo alivyo anapenda kuhighlight vitu vyako vyooote vibaya It doesnt means she hates you ila anapenda tu kusema vitu vya kumuuzi mtu….lol… Na mie nimesha muaccept kama alivyo maana na mie nna matatizo yangu ambayo ilibidi Nafue anivumilie….. No one is perfect……..
11. Ikumbo NYANGE -Huyu aliuvaa ugomvi wa dadake bila sababu. Ofcourse I had to understand dada ni dada tu. Ikumbo yuko protective sana na ndugu zake. PRIMARY school mie ndo nilikuwaga bully la shule,yani nilishindikana kwa uonevu shule nilikuwa nabutua watoto wa watu jamani. Ila ikumbo alinikomesha, nilikuwaga nikimbully Nafue weeeeeee ananifata utadhani ananiweza maana kalikuwa kembamba kama kijiti ila alikuwa anani challenge na ubully wangu. So nilielewa why ikUMBO ushoga na mimi ulikufa baada ya ugomvi na Nacky, although huyu nae nilimpigia simu akiwa minnesotta na kujaribu ku expplain kuwa mimi sielewi why dada ake anadhani tuna ugomvi nikajiongelesha kwenye simu eeeeh ili kuokoa urafiki wetu wa miaka karibia miaka 20 sasa ila blood is blood . So yes huyu sina tabu nae siku akiamua tuwe poa kama zamani yani ntamkumbatia coz I do miss her sometimes tumeshare mambo mengi toka tuko 7yrs old… But again dadake ni namchukiiiiiiaaaaa balaa so i guess mimi na Ikumbo na Nafue kueleewana ni mission impossible..hahahahahha…. Kati ya the 3 sisters huyu ndo mwenye busara zaidi ya wooote, huko very grounded and very easy to get along with. Yani huyu mtu ukigombana nae ujue wewe ndo problem. Ila Nafue na Nacky ni problem…hahahahahhahahahah..Though Nafue ni harmless problem ila Nacky will kill you with a smile on her face….
12. Mwamvita Makamba – Unlike what most think me and Mwamvita are actually good friends yani. Sio kama zamani but we are good. Nahisi hamjui ila baada ya like balaa nilijirudi na kumuomba Mwamvita msahamaha kwa kumblast on facebook vile and she forgave me instantly wala sio ya kusema let me think about it, nope pale pale. Why did I apologize to Mwamvita? Nilivyowekaga ile post fb YA kuwa blast mashoga zangu haki ya Mungu kati ya group lote lile hakuna hata mmoja aliejali wala kuniuliza Mange unaongelea nini maana walijua ni kweli wamesema, Yani no one bothered to reach out to me except MWAMVITA, Yeye peke yake ndo alinipigia simu tha whole night na nilikuwa sipokei,she emailed me sijibu mpaka akampigia mamangu kuuliza. Only she cared about our friendship. Na mie baadae hasira zilivyoisha na kuona kuwa haikuwa busara kuweka ile posti pale niliona the only persona alie deserve my apology is the Mwam. Maana niliona atleast she cared about saving the friendship, so nikamwambia im sorry. We have been okay since then, sina problem na Mwam at all. Ila ofcourse labda now kutakuwa na problem sababu ya issue ya shutup law na reaction yangu kwa kaka yake, damu nzito jamani. And that was a risk I was willing to take maana hii issue iligusa maisha yangu na maisha ya watz wengine mno. So mkiweka issue ya January pembeni Mwamvita na mimi tupo poa sanaaa…. Jamani I respect this woman, Mwamvita ana roho nzuri nyinyi hamuwezi kujua. Ana roho nzuri. Katika marafiki nilowahi kuwa nao wenye genuine good heart ni Mwamvita Makamba na Bimdo,yes BIMDO, najua watu wanaweza kupata shock hapo pa kumtaja bimdo , alipitiwa na jini tu ila that girl has a good heart,let me tell you…..Ila guys Mwam is an angel, she is a good person I wish yeye na sio kaka yake ndo angekuwa kaingia kwenye siasa sababu ana roho nzuri sana, I think Tanzania really lacks leaders with a simple good heart. Hivi mnajua Mwanmvita ni rafiki ambae anaweza kumpa rafiki $10,000 kama mkopo na akakusamehe? She is not rich she is simply nice like that. Kuna siku alikuja Dubai nikamsindikiza shopping akaninunulia CL ya $1,500 out of nowhere…she is just like that, like hawezi kushop peke yake anataka na wewe upendeze kama yeye,now thats a friend…,sio kwamba ana dola milioni benki haina kazi nope ana kazi nzuri yes ila sio tajiriiii but anatoa kushinda hata matajiri mnaowajua nyie, sasa dada enu Nacky nilikuwa nikimpa hizi story ndo anadata na Mwamvita, uwiii ni introduce jamani Mange uwii kakununulia CL kabisaaa uwiiii, uiii…hahaha,watu kwa kupenda vya bure….hahahhahaha…… One time Kiki aliiibiwa pesa few days before she travelled, sijui kama aliibiwa au alikuwa hana pesa anajua mwenyewe ila in short alikuwa anaadhirika akawa anahitaji $5,000 fasta aende china mie hapo nasomeshwa Masters na mzungu Dubai sina kazi nipo home, nkamwambia hapa nimekaa kama mtoto mdogo ,nasomeshwa kila kitu bure na mashauzi juu alafu niseme nataka $5000 nimkope rafiki mzungu atanitimua basi nikamwambia ngoja nikuombee kwa Mwamvita, eeh hapo yeye mwenyewe hajamzoea Mwamvita mimi ndo niko close na Mwamvita,yani hawa wote kina Kiki ,Nacky mimi ndo nimewaweka kwa Mwammy ,hahahaha…. Oh yeah mie nimejua Mwam through Bimdo back in 1999…Historia yetu ndefu mnooo…hahahhaa Basi nikamwambia usijali Mwammy wangu atakupa ,nikamzukia Mwammy, nikamwambia please mpe Kiki $5,000 anajua biashara akirudi tu atakulipa, Imagine nilivyokuwa nampenda Kiki sitaki aadhirike mjini nahangaika kutafuta hiyo dola elfu5 asafiri asichekwe mjini maana aibu yake ni aibu yangu. Mwamvita hakuwaza hata dakika mbili akasema sawa mwambie aje nyuombani leo ntampa. KIKI HAKUAMINI, maana imagine unakopwa na mtu ambae wewe mwenyewe tu hujamzoea enough kuweza kumuomba hata hizo pesa. Same day akapewa pesa akasafiri, amerudi kauza nikamuuliza vipi ushapata pesa za mwam akasema yeah ila kulipa zote ngumu nimpe kidogo kidogo nikamzukia Mwam nikamwambia pls chukia kidogo kidogo ili asiue biashara, guess Mwamvita aliniuliza nini? wewe unaona anilipe kidogo kidogo au nimwachie tu yote? nikamwambia chief kama unaweza kumwachia yote mwachie chief plsss, akasema mwabie nimemwachia, nikamwambia Mwam tell her yourself, akasema no mwambie wewe sijamzoe . Imagine wao tu kucommunicate hawawezi mie ndo middle men leo eti Kiki anajifanya bestiiiii ya Mwam,Mange ndo mbaya,hahahaha,jamani binadamu wanajua kusahau haraka…dah… Basi nikamzukia KIki nikamwambia Kiki mwam kakusamehe, eeeh kidogo adate , thank you mange, thank you mange, you a real friend, nkamwambia sio mimi mshukuru Mwam ndo akampigia Mwam kumshurkuku.. Jamani urafiki wa Kiki na Mwamvita ndo ulianza kuwa serious friendship siku hiyoooooooo na chanzo ni Mange….hahahaha….Jamani Mwamvita Makamba ndo binadamu wa aina hii. Naomba niwaulize honestly nani kati yenu anarafiki wa kumpa hata milioni 1 tu bure, hata kama anautajiriiii gani nani??? Ila mwam is that kind of a friend, ndo maana kina Nacky wanageuka marafiki for Mwam ambao hata hawamjui sababu wanajua misaada pale ni anytime huwezi kufa njaaa….hahahhahahah…… Mnajua ilifika time tunatoka out kila mtu hataki kulipa kiingilio anasubiriwa Mwamvita alipe for everyone, nikanza kumind na kusema jamani now kila mtu ajitegemeee this is unfair…. Huyu ni mwanamke mwenzetu plssss…. yani ni shidaaaaaa… In short Mwam ni generous person, na akikudai mkopo wake ujue she needs her money kwamba na yeye kabwanwa ,hhahha … Jamani mwam sio tajiri anakazi nzuri tu so hatoi because she is rich anatoa because ana moyo huo wakutoa yule mwanamke….. Kudadeki mie mwenyewe labda Mwam bado ananidai kidogo though I made sure kabla sijaondoka bongo nilimlipa every cent,hahahahah ila nahisi kuna ambazo alisahau…hahahahahhahahah…. Jamani huyu ndo mtu ambae sitokaa kumtusi ever coz I know who she is. hUYU mwanamke ni malaika. she is not perfect ila ana roho ya utu huyu dada. Wish ampe kakake roho yake aiseee……Uwiii kuna siku alini upgradia ticket nika travel business class, bila kumuomba alinipa offer tu, hivi rafiki gani anafanya hivi for friends??? Hakuna rafiki wa Mwamvita ambae hajasaidiwa kitu kikubwa na Mwamvita. Alafu katika marafiki waliomtia hasara mie wa kwanza I think. hahahhaa….Ile biashara ya nywele tulitoa wote 50% capital nikaenda bambikiwa manywele sio hayo in China, ila still Mwanvita any busines idea tunafanya tuna invest half half tunafanya….. Jamani hiyo ni marafiki sadaka sasa? I think mashekhe wa Dar wamepokea misaada ya Mwam mpaka mwisho, Anatoka sadaka huyu dada mimi mwenywe nyuma…Na kuna mtu nilimwambia this is why Mwamvita hatokaa kushuka sababu ana roho nzuri sana na anasaidia sana. Yani hakuna rafiki wa yake amabae hajawahi kusaidiwa kitu kikubwa hakunaaaaaaaa….. Again no one is perfect problem ya mwam ni moja tu sometimes she takes people for granted and she did take me for granted na nilimwambia one time you are taking me for granted. Because mimi urafiki kwanza everything else nyuma. Loyalty is not one of her strengths. Na mtu akikosa loyalty amekosa kitu kikubwa sana maisha yake…Mwam hana loyalty. sio kwamba alikuwa unloyal kwangu tu a few people would say the same. She is nice,caring, loving but loyalty is not her thing. And thats huge…….Mwamvita is the first friend I have ever respected and thats because she earned my respect. Jamani nothing moves me kama mtu mwenye utu…. Sio pesa ila utu, another friend in my life mwenye utu ni Loveness…. jamani usiombe kupata rafiki mwenye pesa omba rafiki wemnye roho nzuri,rafiki mwenye utu,hata akiwa hana loyalty ila ule utu wake can easily makeup for the other weaknesses… maana hakuna alie perfect ,najua I was a handful for her too ,watu walikuwuaga wnaamuuliza all the time hivi wewe na Mange inakuwaje mnaelewana , hahahha, its true we are totally different but we found some sort of common ground….. One thing that drew us together ni kwmba we are both driven, yani mimi na yeye most of the time tulikuwa ni tuna project za kutengeneza pesa tuuuu, au biashara yani hiyo ilitufanya tukaelewana sana.Kama ile project ya Diamonds are forever, tulikuwa partners pia kwenye ile project ofcourse pamoja na bosi Ruge….hahahahaha
 
13. Joseline Kamuhanda – I wouldnt say sorry to her maana i sincerely feel like alinikosea ila pia yeye haitaji kuniomba sorry coz mimi pia nilimkosea… Joselene pia alikuwa my friend sana. Loveness ndo alini introduce kwa Joselene. And tukaelewa mnooooo. Ofcourse nikamu introudece kwa Mwamvita mpaka nao wakawa marafiki then ofcourse problem ikaja hapo. Ugomvi wangu na Joselene ulianzia hapo tuuuuu, one time something happened kwenye ile blog ya chargabarbies aliyonifunguliaga anichambe, tukawa tunaongea something me,Jo and Kiki, Joselene katoka hapo kaenda kumwambia Mwamvita kitu kingine kabisaa dah nilichukiaaaa, yani sisi watatu tumekubaliani kitu kingine kesho ntafanya hivi na vile kudeal na problem hiyo, katoka hapo kampigia Mwamvita yani Mange wala hajali mwenzio, she doesnt care at all. Mwamvita kanipigia analalamika why hujali nimesikia maneno, yani wala sikumuuliza nani kamwambia, amekata simu tu nikamrukia Joselene nikawaka kishenziiiiii,nilimind mnoooo… I was like jamani huyu dada kasahau kuwa yeye ni rafiki yangu mimi nimemu introduce kwa Mwanvita juzi leo ananigeuka behind my back kumwambia Mwamvita something that will lead to us kugombana…Niliminddddd mnooo. And whats worse she never bothered kuniomba msahama the next day au the week after akadhani tutaendelea na maisha tu, 2 weeks later akaja kwenye diamonds are forever show akadhani atakuta nimemuwekea table ya mbele akae na sisi, weweee mbona alipata shock maana alipelekwa meza ya nyuma kabisaaa hata diamond hamuoni babake tena gizani,alafu alikuja na boyfriend wake wakajua wanakaa vip…. weeeek kumbe mpare bado nimechukia, yani yeye alidhani yameisha, imagine hata kusema sorry hajasema… Uwiiiii baada ya hiyo event ya diamonds are forver ndo Joselene akawa na chuki na mimi kama katiwa ndimu… Hahahahaha…Uwiii sasa ndo akaanza kuwajaza sumu na wengine tusipige tena picha za blog ya Mange sijui nini tutatukanwa,one day nikamuuliza wewe Jo nani kawahi kukutukana anywhere? nilikuwa nacheka maana mie najua exactly why anahasira na mimi alafu anashindwa kuwaambia wengine anajifanya blog yangu…Basi ndo ikawa isssue ,mamaaaa mwanamke alinisema huyu jamaniiii, dah… Sasa anaonisema kwao hao kina kiki,mwam sijui nani jamani ndo kwanza kawajua 2 months mie ndo shogake tumezoeana ila ndo hivyo labda alikuwa anapalilia kibarua chake…Yani in short jamani wanawake walikuwa wananitumia mimi jamani kumjua mwamvita, kha! alafu mimi mtu aliku akinifata anataka kumjua Mwamvita namwambia poa twende,maana why nimbanie mtu labda atapewa mchongo wa kazi. Ila sasa wakishamjua tu kosa,mimi mwenyewe naanza chonganishwa…AISEEEEE…… Ila still Joselene ni mtu ambae ningependa one day tu work out our issues na tuwe kama before. ila inabidi wote tusameheane kirohoni asi expect msamaha wangu na mimi sito expect wake… Maana Jo hatujagombana kitu cha maana ni ujinga tuuuuu… Ila let me say this Jo is a good person and a great friend,anajua maana ya urafiki. Huwa sielewagi really tuligombania nini anyways,hahahaha… Hata kama tusipokuja kuelewana I wish her the best. Huyu dada sio mmbea na hapendi umbea yani sijawahi hata kufatwa toka tugombane nikaambiwa Joselene alikuwa anakusema ….. Yani mzungu huyu dada na sometimes I miss her kwa kweli… Joselene kama kuna dhambi uliowahi kutenda ni ulivyomchunia LOveness ukidhani yeye ndo aliniambia maneno ya wewe kunisema…Dah ulimuumiza sana na ulimwonea… She never did… One day muombe Loveness msamaha ulimkosea sana na kumuumiza sana…..
14. BEDUI – UWIII mwanamke kanitukania babangu huyu jamaniiii na hachokiii daily anatukana na akitoka hapo anaenda kusali mwenzenu…hahahahahhahaha.. Bedui ana undugu na Mtume hawezi kuwa ana mtania hivi…lazma wanajuana….lol…. For some reason Bedui simchukii kivilee yani wala hafikii hata level ya Nacky….kwa vile tumetukanana sana yes naweza kusameheaana nae one day ile kibinadamu ila ni ile kama ya rachel temu tusameheane ya mbaliiiiiii, not talking or whatever yani tuheshimiane, lets not acknowledge each other’s existence, hivyo yani…… Alafu for some reason its so easy for me kumsamehe LINDA I feel like she doesnt know any better…. Anyways, ni hayo tu sijui kwanini nimeshindwa kumchukiaaaaaa kivileee, maybe coz nimemdharau sana…..
15. Mama Sembe – Jamani I hate fake people, uwiiii nachukia watu wanafki…Huyu dada ni mnafkiiiiiiiiii… Ila kusema ukweli I dont hate her. Ni mtu ambae naweza patana nae anytime na nilishawahi kupatanishwa nae na MH. Catherine huko whatsapp mwaka jana na wote tulisameheana tatizo ni moja tu hiyo kazi ya mume wake…. Yani huyu angekuwa hajaolewa na mtu wa kazi I think tungekuwa tushamsahau humu ila sasa sisi tuna vita ya unga alafu huyu ndo mtu tunaemjua wa mjini ambae kweli anaishi maisha hayo so hata ile sululu ya MH. Catherine haikudumu ..Sorry Mh. wangu nakupendaga sana dadake….. Ila jamani Mama sembe ni fake person nyie hamumjui….Mnafki too much….
16. Mboni Masimba – Huyu maskini nilichofanya ni kumtetea tu kwa kuibiwa Mr. Sembe wake kumbe ndo natengeza uadui. Nikawa nimemsahau kabisa ile issue ya mwanzo kumbe yeye bado, issue ya barbadian queen akavaa kibwebwe…Anywyas huyu anytime nasameheana nae.Mboni ni mtu poa tu hana tabu na mtu na hana wivu na mtu ushamba tu unamsumbuaga na hajiamini. Yani ni mtu wa kufosi urafiki na watu sijui why maskini. Hajiamini at all…..Pia najua hanichukii ila ndo hivyo anadhani akimshushua mange sijui mama sembe ndo atamrudia ushoga wa zamani anajua mwenyewe…..
17. JESTINA GEORGE – Huyu tumemalizana automatically tu imekuja, Jestina is cool problem yake moja tu nae ni kama Mboni hajiamini anahisi lazma ajuane na mastaa ili na yeye aonekane mtu. Kusema ukweli kajitahidi huyu dada na maisha yake kawashinda wengi mnooooooo yani she is doing good, so sijui why bado anahitaji kuwa validated na watu wenye majina……
18. Nancy Sumari. – I love Nancy. One day atanielewa na sina hata haja ya kupatanishwa nae maana hatuna ugomvi. Kama sio mtu wa mapride one day tutakuwa poa tu.
19. Nakaaya Sumari. -Nakaaya msela na mwelewaji hakuna issue kwanza siku nikmuona ntampa hie akinichunia ndo ntajua tuna beef for now najua bado tuko poa…
20. Flavianna Matata – Huyu mtoto niligombana nae kabla hata sijaondoka Dar, kitoto kilikuwa on my case,yani nisiweke post humu hiko kishamtumia message Mwamvita au KIKI huyo rafiki yenu huyo blah blah blah nilikuwa nachukia alafu sasa imagine hapo ndo nilikuwa nacho close tunachat and everything na hakiniambii mimi kina waambia rafikizi zangu. Flavianna is a fake kama dadake mama Sembe. Very fake. Nakumbuka that time wakati Jokate anagombana na Wema over Diamond mie nikawa namchamba Jokate kiaina huyu Flavvy nachat nae anasupport anasema yani mchambe mpaka yule shemzi sana sijui nini yanai anafurahi, sasa ikajaga ile event ya vintage chartiy ya mwamvita Jokate kaingia mie nimesimama next to Flavvy nikasema eeh Jokate huyo ataninunia na wewe flavy nakutaja tuliandika wote yani kwa utani, weeeee alibadilika sura kama hajui naongelea nini na Jokate akaingia waka hugiana kwa furaha, uwii toka that day sina hamu na yule mtoto, kumbe Jokate shogake alafu hampendi, anashadadia nimchambe humu,,,hahahhaa,,,,gosh,in sshort Flavianna bonge la snitchi, hafai yani….Alafu ukitaka kujua ni mnafki yeye ndo alitutia sumu sisi wooooooooote kuhusu Millen eeh mpaka mimi mwenywe mnakumbuka nilipostigi ile tamko yake wakati yuko S.A about millen kutokumsaidia. Yani kina Shamim ,KIki wote wakamchunia KIKI waulize kama wana ugomvi na Millen.Muulizeni shamim kwanini hamrushi Millen hata kwa bahati mbaya kwa blog yake millen alimfanya nini ?yoote flavianna,Kiki muulizeni imekuwaje maana Millen alikuwaga rafiki yake why hamrushi? hana sababu ya msingi yote flavianna.alafu sasa alivyo mshenzi watu walivyomsema humu yeye akajirudi fastaaa kwa millen wenzake watu wazima na akili zao waliofata mkumbo kina Kiki na Shamim wamebaki hawaongei na Millen huku aliewatia sumu kajisafisha mbele ya jamii anaongea zake na Millen. She is selfish…Kanajijali kenyewe tu….I think around January this year Mwamvita alijaribu kunipatanisha na Flaviana nilimwandika haya niliyoandika hapa kuwa ndo sababu nimempotezea na sikusoma hata her reply yake, mpaka leo I never opened the email she answered ,maana sikutaka kujua what she had to say coz she is fake. She cant help it ndo alivyo… Ila Mungu anajua kulipa hapa hapa duniani ukiwa na roho mbaya hufiki mbali ona walivyojiweka vikundi kumnyanyapaa Millen na huyo super model wao flavvy uwiii sasa millen anaenda BET, lazma kina Flavy wanaumwa homaaaaaaaa ya ndegue ila ndo hivyooo……..Jamani FLavy ni mmbea huyu mtoto nyie hamjapata kuona,mtot mchonganishi huyu….Ni hatareeeeee huyu mtoto… Siku ya kupatana na flavy inabidi nijue kuwa kweli kabadilika tabia yake maana siwezi patana na mnafki. Yani yeye anaweza kupatana na mimi hata dakika hii na huku hanipendiiiiiiii hata robo ndo alivyo yani….
21. Millen Magese- UWIII Kwanza congrats Millen kwa kushinda hiyo award you deserve it… Uwiii millen hanipendiiiii nyie hamjui…Msione vile nilikuwaga narusha na project zake za kujenga shule Tanzania ,uwiiiii pale ni kwamba najikomba, haniongeleshi wala hataki kunisikia.Kaniogopa kama Ebola. Issue iko hivi 2012 millen alikuja TZ tena hapo ndo kachuniwa na wadada wa mujini karibia wooote hana hata wa kuhang nae maskini. Nilimkuta pale lounge iko masaki nimeisahau jina, yuko peke yake maskini ,akanitumia kinote through waiter jamani aliniandikia maneno mazuriii nyie, I will never forget aliniambia stuff like i should start a TV show coz my life is very entertaining people will pay to watch me sponsors will pay yani imagine kaniona pale 5 minuts akachukua paper akaanza kuniandikia kinote akampa waiter anipe…. Yani nilishangaa basi tukawa tunaongea , najuana na Happy long time sio kiuzuri kivibaya lakini nilipopigwa kibuti na Baba Bhoke yeye ndo alikuwa akawa Mrs. Machozi alafu ndo katoka kuwa miss Tanzania sasa yupo hot cake, mamaaaa nilidata nilimfataga steers nataka kupimpiga eti alivyo mrefu vile jamani alafu najifanya nataka kuzipiga…hahahaha jamani nilikuwaga chizi kwa babake Bhoke…hahahahah imagine mtu hakutaki ana mtu wake eti na naenda pigana,,hahahahaha….Again that was 13 yrs ago. hhahahhaa…….anyways long story short, that night kuna mambo niliya observe kati ya Happy na mtu mwingine then mie nikapeleka umbea kwa mmoja wa rafiki zangu kwenye lile kundi….Mie siku feel kama nimembetray Happy maana she wasnt even my friend ila nilieenda kumpelekea umbea ndio alikuwa rafiki yangu…Dah basi likawa beef kati ya happy na huyo nilieenda kumpelekea umbea, uwiii Happy ndo hana hamu na mimi mpaka leo babake, I think alini trust na hakudhani ntakuwa mbea mbea labda nimekaa kizungu hakudhani nna tabia za kiswazi…Mie ni mtu mwepesi kuomba msamaha, basi nilivyofika US nikam contact happy IG, weeee alifuta comment yangu fastaa hakun block ila alidelete comment yangu tena nimesema kapendeza tu, nikajua tuuu demu bado kamind,badi nikamtumia email ya kuomba msamaha, jamani nimeomba sorry mwenzenu ila sikusamehewa hata siku zile namsifia project zake bado hanipendiiiii…hahahhaha… Ila bado nikawa namfagili coz najua mie ndo nilikuwa nna makosa…Anyways Mama Endromiosis embu nisamehe we mwanamke jamani, kha! roho gani hiyo lakini? BET award winners hawako hivyo wewe jamani. YANI kupeleka umbea tu ndo usinikubalie sorry yangu…
22. Diamond Platnumz – uteam Wema ndo unaoniponza ila kusema kweli ingekuwa sio mbwe mbwe zake na kunirushia roho mdogo wangu ningekuwa promoter wake wa marekani maana namfagilia sana…hahahahhaha….
23.Chaggabarbie – Bestie ake Ledi peti Santa alijaribisha kunipatanisha na huyu mtu maaana nilinunaaaaaa….. Huyu mwanamke nilikuwa nae okay sijui ikawaje eti akajianya kununua ugomvi wa Jestina na kimbembele chake kwenye kunifungulia blog. sasa jestina tuko okay yeye na jestina wako kichina china… Sijui hajioni mjinga??? Anyways, huyu mtu naweza sameheana nae anytime tena hata nikapeana nae hie maana sidhani kama ni mtu mbaya kihivyo yani hata siku zile kama nisingekuja kujua ile blog yake bado ningekuwa nae poa nadhani…hahahaha….Huyu sijawahi mchukia kwa kweli kama kuna mtu aliewahi kuniumiza ni Chagga peke yake maana ile blog yake ndo iliyonisambaratisha mimi na kina Kiki… ile blog ndo ilileta balaa ,maana alikuwa anatuweka mmoja mmoja alafu wale wanaona mie ndo nafanya wanatukanawa pale… weeeeee,chezea marafiki wa kwenye raha and not shida mbona walianza kuniteta mpaka habari zikanifikia….So for the fact that huyu mwanamke ndo aliniletea balaa kubwa siwezi kuwa nae friends ila kusamehenae kwa mbali naweza… Ila pia isingekuwa ile blog ya Chagga nisingekaa kujua kuwa nilikuwa nna marafiki feki…Everything happens for areason….
24. FK Collection/FAUSTA – Huyu ugomvi wetu ulianzia kwa Baba BHOKE wala sio mambo ya blog. ALAFU sasa whats funny yani wala hata nilikuwa simtaki Baba Bhoke kipindi huyu dada anatoka nae. Yani hata bureee nilikuwa simtaki ,ila nilikuwa nataka ugomvi tu, alafu sasa unadhani nilikuwa peke yangu ,mimi na yule Bimdo ndo tunagombana na huyu ndo maana nakwmabia hata huyo baba Bhoke nilikuwa sina time nae kipindi yupo na huyu maana jiulize mie na Bimdo tumejiunga kuwa harrass wanawake wa baba Bhoke for what??. Ila Bimdo nammisigi tulikuwa vichaa wasiokunya dawa… So FK uke wenza ndo uliletaga balaa…Na baadae tukaja kupatana sababu ya KIKI maana huyu dada yupogo rafiki na KIki kiaina… Sasa jiulize nilikuja gombana nae nini tena? KIKIII, Niliingilia ugomvi wake na Kiki..Huyu Aunty mwenzenu alimpa KIKI housegirl wake maana Kiki hakuwa na house girl. Basi guess what happened baadae house girl si akafunguka kuwa Huyu Fausta huwa anamuuliza mambo ya kiKI na mumewe humo ndani? Uwiii Kiki alidata, yani huyu anampigia housegirl daily anamuuliza Kiki anaishije na mumewe,,,Weeeee nikamwmabia KIKI tumkomeshee ,kiki akaenda facebook akamtukana huyuuu mpaka akajutaaa, mie nikaja kumalizia kwenye blog..Alikomaaa…ILA wameshapatana na Kiki , sijui hata ilikuwaje mimi na yeye hatukupatana wakati ugomvi haukuwa wangu…Mweeeh… Ila huyu dada ni mnafki sanaaaaaa, sana yani, hao kina KLYN, Sophie woote yani ni kaforce kuwajua kama Nacky vile ila hakuna mtu aliepigania kuwa nae close ikashindikana kama KIKI, na kiki ilishindaka sababu yangu … Ila huyu nae feki mnoooooo, hafai huyu dada navyowaambia. Alikuwa very close na Miriam Odemba now hata salam shida, wakaenda New York kwa yule Rosemary imagime ushoga hapo umenoga, hapo ni naongelea around 2013 hivi, basi Miriam akapata tajiri flani anakaa ATL, nimemsahau jina ila anajulikana mnoo anahela anasumbua kweli huko ATlanta,ni mtanzania basi Miriam akawa ana hongwa balaa na huyo jamaa ,ma dola elfu 10 anapewa kama mchezo ,wanatoka dinner miriam,jamaa na Rosemeary na huyu Fausta, sasa kilichotokea nini? Huyu Fausta asimgeuke Miriam akambeba huyo jamaa ni nini? Uwiii MIRIAM INAMUUMAGA MPAKA LEO. Naa sio kumpoteza huyo jamaa mwanaume ni mwanaume tu ila rafiki kumchukulia alafu sasa huyu rafiki kaolewa na tajiri huko Dar hana dhiki jamani ila still akaona Miriama ana enjoy sana akamnyang’anya, tena imagine Fausta ana date na huko jamaa behind Miriam’s back na Rosemary anajua kila kitu, nilimwambia Miriam I doesnt matter kuwa Rosemary was the one F*** the guy herself but she is not your friend wote lao moja maana Rosemary alitakiwa kumkataza Fausta.Anayways, long story short yule dada sio mtu mzuri at all. Mnakumbuka kipindi nna beef na Devota la balaa huyu akawa matron wa Devota weeeee, me na Devota tulivyokuja kupatana Devota alitaka kumnyonya huyu macho maana alikuja kufind out huyu kwa kujipendeza kwa Kiki alikuwa anamwambia siri Kiki siri za Devota and ofcurse habari zinanifikia mimi so nilivyopatana na Devota nikampa mastory yake yooote alichokaaaaaaaa Devota, matron kumbe anamwanika hivyo.Imagine hapo ni matron wa mtu… Huyu mtu mbaya sanaaaaa . Alimsemaga mpaka Sophy vibaya sana sophy akamchunia ila baadae akamsamehe, Sophy is very forgiving yule dad. Ila huwa sielewagi wale kina Klyn wamewezaje kuwa bestii na Fausta, she is a very bad person na kafosi mnooooooo kujuana na hao wadada wa town, na kilichomsaidia ni kuwa kaolewa na tajiri basi alikuwa na kazi ya kuwatafuta mastaa wa mjini anawaalika kwake we ukifika pale unadata mwenyewe unaanza kuwa ane rafiki. Nyumba yake ni balaaaa na anajua kukununua atakukopa sijui nini mpaka uwe nae close. Yani karibia wote ndo kawapatia hapo kwa kuwaonyesha nyumba yake….hahahhha…..Na huyu yupo kama Mama Sembe hawataki kabisa rafiki zake wa zamani hata bure hawataki na wanamsemaga sana sabbay fausta ni mzee sana yani watu wa age yake hawataki kawadaka hao watoto watown basi…Anyways,,huyu mie anytime napatana nae maana nilikuwaga namchokoza for no reason jamani…. Actually I think natakiwa kumwmabie sorry huyu maana mimi ndo nilikuwa mgovi most of the time… Nikiwa ready ntamuomba sorry….Na ubaya wake woote ila hajawahi kunichokoza mimi…
25. Aisha Senkoro – Yani huyu sijui hata alikurupukaje, eti kisa nilipatana na Cynthia Masasi basi ndo akaanza kuniwekea vijembe twitter kuniit snitch sijui nini. Akasahu kuwa mimi ugomvi wangu na Cynthia wooote ulianziaga kwake yeye. Anyways huyu yani anytime napataana nae but she need to apologize alinikosea mnoooo… Alafu hakuishia hapo akaanza kunisema kwa kina Saidi na mwanamke wake sijui nani, dah ila sijawahi kumchamba wala… I miss her crazy ass sometimes. The day akisema sorry Im game……Maana ni ujinga tu, sasa tuligombana kisa Cynthia, cynthis mwenywe huyo sijui hata yuko wapi siku hizi…hahahhahahaha… Aisha is a nice person jamani, i like her soooo much although sometimes alikuwaga too crazy even for a crazy person like me… Ili nilimpendaga sana Aisha tena nakumbuka group langu lile walikuwaga hawamtaki huyu ila mie nilikuwa nafind ime ya kuhang out na Aisha then nawale…. She is a sweet person.
26. Bella Wantong – Bella mmbea sanaaaaaaa ndo problem yake, anapenda kusema watu Bella , I think alinisemaga kwa dada flani hivi i fogot her name then huyo dada akaja kuniambia, duh hapo ndo nikanawa Bella…. Ila she is acool person akiacha umbea……HUYU ANYtime akipewa ruhusa na Aisha narudiana nae urafiki…hahaahhahahaha…..Ehh Bella mpaka apewe ruhusa na Aisha kwanza..hahahhahha…Uwiiiii., oh lorn nimekumbula mbali sana enzi za Edward…….Yani Bella na Aisha sina issue nao ni ujinga tu…. BELLA alisha apologize kwa kunisema na tukayamaliza ila sasa hana ruhusu ya Aisha ya kupatana na mimi ndo hapo kazi….hahhahahhaha
27. TEDDY KALONGA – Teddy ugomvi ulianza kijinga tu haki ya nani, I think aliniweka on her blog tena kwa kunisifia tu nikamtumia message inbox fb nikamwambia anitoe fastaaa kipindi hiko blogs ndo zimeingia naziogopa balaaa. Uwiii dada akaenda kuniweka post ingine alinichambaaaaaaa mpaka nilijutaaaa…. Hapo ndo sheshe langu na Teddy lilipoanzia… Tumetukaniana wazazi, familia kila kitu tulimaliza mi na TK. Alivyoanza kuokoka akawa anapata shida mara aweke status twitter nimemsamehe Mange, then after a week anarudi kwenye beef, I think forgiving me was one of the hardest things she has ever done. Ila kwa vile ameokoka ilimbidi… Bedui alitakiwa kujifunza kwa huyu, watu walioshika dini ndo wako hivi, yule mama anaswali akimaliza tu anamwaga matusi…LOL.. Anyways, TK tumesameheana kabisaaaaa tena ya kutoka rohoni na huwa tunachat facebook sometimes.I think alinitumiaga message inbox akaniambia Mange nimekusamehe for everything na mimi nikamjibu fasta na mie nimemsamehe. And we lived happily ever after….. TK ni amepokea wokovu kweli, ugomvi wangu na TK ulikuwa wa balaaaaaa ila alivyo okoka aliokoka kweli yani…. Na mimi nilivyoona tu kuwa TK ameokoa na hataki tena ugomvi na mimi nili back down haraka sana maana ni dhambi kubwa kumtia mtu majaribuni maana unaona kabisa TK anataka kuchoose another path but anashindwa coz watu bado wanatuchochea so nilisizi mara moja nikamwacha dada wa watu akamuimbie bwana kanisani…. I wish her all the best. TK wala hatakiwi kuwa in this list maana tumesameheana muda mrefu sana, kabla hata sijahamia marekani ila naona wengi mmemuulizia….
28.NARGIS MOHAMMED – Nargis jamani nargia ugomvi wetu ulianzia kwa Adeline, baada ya mie na Adeline kudundana tuliishia polisi basi polisi Ade anakuja na Nargis ,Nargis nae kaninua mpaka. Kha, nilikuwa namshangaa, then later on ikaja issue ya Bedui huyu ni ndugu na Bedui akawa kama anaingilia ugomvi…Yani in short sina ugomvi wa maana na Nargis. Nargis iso mtu mbaya problem ni kwamba ni mswahiliiiiiiiii basiii, yani anatabia za wanawake wa uswaziiii,thats her problem……. Nargis naweza kusameheana nae anytime maana sijui hata tuna ugomvi gani yani zaidi ya yeye kwua anadandiaga issue zangu na watu wengine….. Alafu kitchen party yake alinialika na sare akaniletea mpaka dukani kwa Kiki kwanza sis ndo tuliipa KP yake swagga….hahahahhahaha…
29. LADY JAY DEE : Huyu shangazi yake Bhoke sijui hata ilikuwaje maana ndo alikuwa mwimbaji wa kwenye harusi yangu, hata first dance alituimbia Live.
I think kilinuka baadae maana yeye alianza kublog before me na yeye alikuwa mmoja wa watu ambao walinipa shavu laa kutambulisha UTURN. Then after a few months nikaanza kujifanya mie ndo” Queen of all bongo social media” hahahahaha. Tena naandika kabisa mie blog yaangu ndo number one in all of bongo wakati that time blog ya Jide ilikuwa hot kweli….I think nilimboaga hapo Jide I’m not sure yani . kuna watu hawapendi tu watu wa kujisifu sifu ovyo kujifanya number 1 mpaka waliokukaribisha mjini unajifanya umewazidi, maana mpare nilikuwa najifanya mnoo. In short sina hata beef na Jide ila hali haiko sawa I think. Ila yule mkuria simchezei anabondaaaaaaa, hacheki na kima yule……Acha niwachezee kina Bedui wenye midomo and no action , Jide haongei anatembeza kichapo tu…. Yule nahisi ntamuomba msamaha bila hata kujua kosa langu ili mradi yaishe tukishaelewana ntamuuliza nilimkosea nini ili nisirudie….

SPECIAL CASE:
MBUTA NANGA – Hivi mnajua mbuta hawajahi hata kuniuzi…Yani Mbuta nashindwaga hata kukasikira kwa kweli…. Yani naonaga kumkasirikia Mbuta ni sawa na uwe unapita barabarani wale vichaa wakutukane then ukasirike kweli.. Mbuta ni mgonjwa serious and I FEEL Bad for her. Ndo maana namwitaga tu mtani wangu. Unajua maisha ya Mbuta ni ya mateso sana, huwa wanateseka sana na hayo mavoices in their heads.Sio utani Mbuta ugonjwa wake ni serious kiasi kwamba hata piki piki haruhusiwi kuendesha huko UK. Ni that serous so mie ndo maana namchukuliaga kama mtoto hajui asemalo… Hivi wewe mwenyewe ukimwangalia vile anavyokatika uchi you think anafanya vile sababu anapenda? she can’t control it asipofanya vile ndo basi atadai kabakwa yani hawezi kukaa still. So Mbuta mie sina ugomvi nae I swear kwanza najua soon atanisamehe maana kama aliweza kutangaza kamsamehe Lema aliembaka basi na mie atanisamehe. Mie nishamsamehe maana naona dhambi kutomsamehe Mbuta…
Uwiii jamani listi hiyoooo,hahahhaha…sio mbaya jamani kati ya watanzania milioni 40 kugombana na 29 sio mbaya…hahahahhaha… ila sasa nisiongeze number jamani….hahahhahaah
PS: Jamani sisemi mie ndo msafi kwenye urafiki, hapana mie pia nna problem zangu Im sure na hao hapo juu ilibidi wanivumilie . No one is perfect. Na mie nachukua responsibility for my part kuwa hata mie nilichangia urafiki kufa kwa njia moja ama nyingine…..290
 
[E="Nyani Ngabu, post: 16639027, member: 188"]But it takes two tango.

She doesn't do it all by her lonesome or does she?

Clearly there is an obsession with her.[/QUOTE]


Sometimes huwa nakuona unaongea point Sana but hapa umenianguasha! Can you even doubt people who have been attacked by Mange? By any means au unaongea kwa ushabiki tuu. Do you have to start kitu na Mange au anaweza anza yeye, To me it looks like your OK with her attacking people for no good reasons.
Some
 
Hahahaaa you got jokes!
Alafu kumbukeni Kenzo anasoma full time toka nimeingia marekani Kenzo alikuwa analipiwa $1,800 per month kusoma tu. Huyo bibi enu anaejifanya eti ananiumbua mwanae yupo nyumbani kuhesabu tu hajui

Maana anasubiria afike age ya kwenda kusome shule za bure za serikali…hahahahahhahaha
Mie mwanangu anasoma,kwanza hakuna mtanzania anaesomesha mtoto marekani ,kila mtu anasubiria mtoto afike miaka 5 akasome shule za bure….

Watanzania wachache mnooo, tena wakuhesabu ndo utakuta wanasomesha watoto ambao hawajafika 5yrs, tena mie nakaa LA, now namlipia Kenzo $2,900 per month maana LA ni balaa, sasa naomba chungulia insta zoooote tafuta Mtanzania anaesomesha mtoto Los Angeles.

Kila mtu analea mtoto nyumbani ila Kenzo anasoma tena sio shule za kijinga, anasoma na watoto wa kizungu tuuu, ila still mijitu eti Mange hana kituu,…hahahhhahaha… Na ukikuta mtanzania anasomesha basi anavizia anampeleka once a week mtoto kuuza sura shule…Kenzo anasoma full time from 8am -6 pm ila huwa namfata mapema maana staki ashinde huko….

hapo nimeweka hesabu za rent na shule ya Kenzo tu mafala nyie, yani wengi wenu bora mngerudi Tanzania maana mnawatesa watoto, hawasomi shule mpaka wafike 5yrs old ila hamjioni mmefulia ila MANGE ndo mnamuona kafulia….

acheni ushamba wajinga nyie, marekani nyumba zinaendana na State au mji, kila mtu anajua California ni noma, huyo anaewapa habari zangu anaishi mikoani huko naweza kumlipia maisha yake mara elfu 5 nikamlisha yeye na mume na msururu wake wa watoto&#823
 
22. Diamond Platnumz – uteam Wema ndo unaoniponza ila kusema kweli ingekuwa sio mbwe mbwe zake na kunirushia roho mdogo wangu ningekuwa promoter wake wa marekani maana namfagilia sana…hahahahhaha….
 
Duh, mjini shule jamani. Namwonea huruma. I am praying she gets counceling sooner. Pole Mange, wagomvi wako, haters wako, fans na wapenzi wako. Mungu akutie nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu.
 
She used to be somewhat entertaining wakati anaanza kublog mashauzi na trend za CL et al; then all of the sudden it turned dark full of malicious attacks. I think ana bank happinness yake kwa marafiki, siku wakisepa vita vinaanza.
 
She used to be somewhat entertaining wakati anaanza kublog mashauzi na trend za CL et al; then all of the sudden it turned dark full of malicious attacks. I think ana bank happinness yake kwa marafiki, siku wakisepa vita vinaanza.
mwenyewe nilikuwa nampenda kweli nilikuwa waziri mle
 
Yani mange aliwatukana Sana single mothers bora alivyoachwa
 
Ukitaka uishi kwa amani na kheri duniani usimjue wala kumfahamu Mange Kimambi.
 
Huyu mwanaume aliishi nae Dubai alishamsoma, kama angekuwa na pesa ndefu asingekuja kujibanza kwenye vinyumba vya watu wakati anasubiri visa ya USA, angechukua apartment Upanga, O'bey, Masaki au Mikocheni maeneo anayoyapenda yeye. Alipofika USA angeanza kujipanga. Hili ni fundisho sidhani kama tutamuona Mange mitandaoni kama ilivyokua.
 
Huyu mwanaume aliishi nae Dubai alishamsoma, kama angekuwa na pesa ndefu asingekuja kujibanza kwenye vinyumba vya watu wakati anasubiri visa ya USA, angechukua apartment Upanga, O'bey, Masaki au Mikocheni maeneo anayoyapenda yeye. Alipofika USA angeanza kujipanga. Hili ni fundisho sidhani kama tutamuona Mange mitandaoni kama ilivyokua.
yupo kajaa tele
 
Back
Top Bottom