UnakoseaGaidi ni yule mwamba anae ning'inia pale msalabani na kichupi chake.
Alikua anajifanya fundi seremala kumbe ni gaidi, alivyo shtukiwa na wenye mamlaka ikabidi wampe kilicho stahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnakoseaGaidi ni yule mwamba anae ning'inia pale msalabani na kichupi chake.
Alikua anajifanya fundi seremala kumbe ni gaidi, alivyo shtukiwa na wenye mamlaka ikabidi wampe kilicho stahili.
Gaidi ni yule mwamba anae ning'inia pale msalabani na kichupi chake.
Alikua anajifanya fundi seremala kumbe ni gaidi, alivyo shtukiwa na wenye mamlaka ikabidi wampe kilicho stahili.
Noted mkuu nitajirekebisha. Heshima kwakoDaah.
Mnakosea sana wakuu.
Nyote mnakosea,
Mijadala iko tofauti sana na huku tunakoenda.
Tuheshimiane kiimani tujadili hoja kistaha.
Kuanza kumsema vibaya Yesu wa Wakrostu ama Muhammad inajenga mijadala au ni kutukanana tu.
Uungwana pia ni kuheshimu imani za mwenzako.
Alieanzisha zari Nani?? [emoji101][emoji101]Sawa mkuu kama umeamua hvyo lkn mm najua gaidi ni Yule anaye ua watoto na wanawake bila kujali au raia sasa ktk hesabu zako watoto 400 na zadi wameuli na Israel je we unaona wao wako Sawa. Je hao watoto ni hamasi mkuu.
Nimecheka kuwasikia Vijana wa kazi wakikemea vita [emoji1][emoji1]Hawasupport ugaid? Naona wameanza siasa! Kwasababu mwanasiasa akikwambia ni saa saba mchana mkiwa ndan toka nnje huwenda ni saa moja usiku
Wakuu mambo hubadilika. Miaka ya zamani Afghanistan haikuwa na hizi ishu za misimamo mikali kiasi kwamba hata mabeberu waliishi Kabul lakini baadae mambo yakabadilika. Somalia zamani ilikuwa msuluhishi wa mgogoro wa Tanzania na Uganda kabla ya vita ya Kagera. Leo hii Somalia ni nyumba ya machafuko. Zimbabwe ilikuwa na uchumi mkubwa kiasi kwamba iliweza kumsaidia Hayati Laurent Kabila asing'olewe madarakani kihuni na waasi kwa kutuma ndege zake za kivita na kusambaratisha waasi. Kwahiyo huenda Afghanistan chini ya Taliban imeshajipata na ndo mwanzo wa Afghanistan mpya. Nimeona wana page mitandaoni ya kutangaza nchi yao hasa jiji la Kabul.Nimecheka kuwasikia Vijana wa kazi wakikemea vita [emoji1][emoji1]
Unafikiri ni raisi kudili na wazungu mabepari. Wamepoteza watu wengi kwy vitaDunia inakimbia sana...Taliban hawa hawa
Sio kuwa wameshapata ulaji...sasa nchi ipo mikononi mwao hawataki fujo tenaUnafikiri ni raisi kudili na wazungu mabepari. Wamepoteza watu wengi kwy vita
Duh...Wakuu mambo hubadilika. Miaka ya zamani Afghanistan haikuwa na hizi ishu za misimamo mikali kiasi kwamba hata mabeberu waliishi Kabul lakini baadae mambo yakabadilika. Somalia zamani ilikuwa msuluhishi wa mgogoro wa Tanzania na Uganda kabla ya vita ya Kagera. Leo hii Somalia ni nyumba ya machafuko. Zimbabwe ilikuwa na uchumi mkubwa kiasi kwamba iliweza kumsaidia Hayati Laurent Kabila asing'olewe madarakani kihuni na waasi kwa kutuma ndege zake za kivita na kusambaratisha waasi. Kwahiyo huenda Afghanistan chini ya Taliban imeshajipata na ndo mwanzo wa Afghanistan mpya. Nimeona wana page mitandaoni ya kutangaza nchi yao hasa jiji la Kabul.
Yaani , enzi hizo wahakemea na washapiga na mkwara kabisa kwa US .Dunia inakimbia sana...Taliban hawa hawa
Kumbe wote wanasiasa wachumia tumbo tu kupitia dini....sasa hv wamepewa nchi..wanapeta tuYaani , enzi hizo wahakemea na washapiga na mkwara kabisa kwa US .
NAKUMBUKA Talwban + Alqaeda shughuli yao ilikuwa si ya kitoto.
Nabii ISSA BIN MARIAMGaidi ni yule mwamba anae ning'inia pale msalabani na kichupi chake.
Alikua anajifanya fundi seremala kumbe ni gaidi, alivyo shtukiwa na wenye mamlaka ikabidi wampe kilicho stahili.
Baada ya siku za hivi karibuni kuhusishwa na mpango wa kutuma wanajeshi kwenda kujiunga na Hezbollah kuipiga Israel, uongozi wa Taleban umejitokeza na kukanusha tuhuma hizo.
Taleban imetamka wazi kuwa haiungi mkono vitendo vya kigaidi na kuzitaka pande zote kuketi chini na kutafuta amani kwa njia ya mazungumzo.
Basi dunia si uwanja wa vita daa.Baada ya siku za hivi karibuni kuhusishwa na mpango wa kutuma wanajeshi kwenda kujiunga na Hezbollah kuipiga Israel, uongozi wa Taleban umejitokeza na kukanusha tuhuma hizo.
Taleban imetamka wazi kuwa haiungi mkono vitendo vya kigaidi na kuzitaka pande zote kuketi chini na kutafuta amani kwa njia ya mazungumzo.