Taleban yazitaka Palestina na Israel kutafuta amani kwa njia ya mazungumzo. Yatamka kuwa haiungi mkono ugaidi

Taleban yazitaka Palestina na Israel kutafuta amani kwa njia ya mazungumzo. Yatamka kuwa haiungi mkono ugaidi

Wababe wa USA na NATO yake nzima, pia ndiyo wababe wa Mrusi na Muingereza.

Hao watu wanatisha na wanapenda sana amani, mradi usiwachokoze tu.

Hawajawahi kushindwa vita.
 
Gaidi ni yule mwamba anae ning'inia pale msalabani na kichupi chake.
Alikua anajifanya fundi seremala kumbe ni gaidi, alivyo shtukiwa na wenye mamlaka ikabidi wampe kilicho stahili.
Acha kufuru fuata maagizo ya vitabu vyako vya dini mengine muachie Mungu wako ndo anajua,Mungu hapiganiwi na binadamu ,yeye ni muumba wa vyote unavyovijua!Msitoleane mapovu bure.
 
Daah.

Mnakosea sana wakuu.

Nyote mnakosea,

Mijadala iko tofauti sana na huku tunakoenda.

Tuheshimiane kiimani tujadili hoja kistaha.

Kuanza kumsema vibaya Yesu wa Wakrostu ama Muhammad inajenga mijadala au ni kutukanana tu.

Uungwana pia ni kuheshimu imani za mwenzako.
Yaani afya ya akili ni janga!Maana watu wazima wanatoka nje ya mada;Amini Mungu yupo,ili ukikutana nae usije ukasema sasa naamini upi.Kila binadamu ataonja mauti na kila binadamu atahukumiwa kwa matendo yake!
 
Shida ya Hamas anatumia raia Kama Kinga. Ila Hamas ni Magaidi na ndio waliomuingiza kingi Arafat akaacha makubaliano ya Oslo kwa kuwaogopa.
Sio kweli, makubaliano ya Oslo yalifanikiwa na yalipelekea kuanzishwa kwa mamlaka ya Palestine mwaka 1993 na PLO kutambulika rasmi kama wawakilishi wa Palestine.

Ila mazungumzo ya camp david Kati ya Arafat na PM Ehud Barak yalifeli sababu Wapalestina kutokubaliana na baadhi ya mahitaji ya Israel hali iliyochochea 'intifada ya 2' baada ya ziara ya Sharon kule Al Aqsa.
 
Back
Top Bottom